Pre GE2025 Mwenezi akiwa Makonda, Chadema na Lissu walipoteana, Masikio ya Watanzania yalielekezwa Kwa Makonda, kwasasa Lissu anajipigia tu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Msoga ndio wenye nchi ngoja wafanye wanavyojisikia.
 
Kama hujui kwamba Sekretariati yote ya CCM imepoteana kuliko wakati wowote basi katafute tu Ulojo ubwie.

Yaani kama mpaka leo hujui kama hata mama ameanza kuyakimbi majukwaa basi kajisaidie haraka kabla haja zote mbili hazijatoka kwa pamoja.

Tuweni wakweli ili tumsaidie mama, Uchawa wenu unamchanganya ndo maana kila siku Sekretariati inabadilishwa. Au hayo mabadiliko unadhani ni jambo la kawaida!?? CHAWA badilikeni muwe wakweli.

Na kwa taarifa yako, huku mtaani mijini na vijijini, wazee na vijana, wanawake na wanaume wamemchoka vibaya mama na hawamtaki. Mwambieni ukweli ikiwa muda bado upo
 
Waliochukua nafasi ya Makonda wamechemka
 
 
Mjomba Lissu njoo utoe neno🤣
Amemiss ving'ora uwenda akakubali, tukaiyona Tanzania tuitakayo..
 
Ndiyo Ndiyo akili yako ilikoishia? Bashite huyu huyu? Bila shaka we ni mwehu
 
Kumbe kuna jinga km Bashite? We kwl hamnazo
 
Wasukuma mmeishiwa kiasi hicho mpk mumwone Bashite lulu?
 
We We kaharishe huo uvundo wako
 
Mama hahitaji msaada wa nyie wajinga. Siasa ni akili wala siyo kuropoka. Kama huko mtaani kwenu wamemchoka, shauri yao na kura zao wapeleke wanakotaka. Ila Samia hadi 2030
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…