Castr
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 35,012
- 70,201
Unajua majukumu ya mwenezi au ndo nyie lengo ni kuonekana mmechangia tu..
Kabla ya kueneza hakua DC? RC?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unajua majukumu ya mwenezi au ndo nyie lengo ni kuonekana mmechangia tu..
Hata bk Makalla ni mkaa jomba,🤣😂🤣Hiv utakua wewe mfipa eeh
Mkalla kifipa ni mkaa/ mweusi
Samia aliwasikiliza Wahafidhina ndani ya chama hakamwaacha Makonda, Subiri mziki wake ngoja Lissu hakoleze moto kwanza, wakati wa zomeazomea CCM unakaribia, Maana Makalla na Mchimbi kipangua hoja za Lissu hawawezi hata robo, mpaka mwakani kuna Watu wataomba PO.Leo hii unaweza kumwambia Makalla aitishe mkutano wa hadhara na Makonda aitishe na utashangaa watu wamejaa mkutano wa Makonda bila hata kuambatana na wasanii.
Ni rahisi raia wa kawaida kwenda kwenye mkutano wa Makonda na sio mkutano wa Makalla au kumsikiliza.
Sasa kwenye siasa mtaji ni watu ambao hupiga Kura pia, unaweza kusema hao wanaompenda ni wajinga ukawa sawa lakini ndio kundi kubwa la wananchi na kundi hilo ndio linalochagua viongozi ukiweza kuteka hisia zao kisiasa unakua umeshinda.
Siasa zinataka idadi ya watu sio kingine kama utapata idadi kubwa ya watu uwezekano wa kupigiwa kura ni mkubwa Sana.
Ukiniuliza Makalla na Nchimbi wanaushawishi kwa siasa za sasa zenye kundi kubwa la vijana waliozaliwa miaka ya 90 mpaka 2000 jibu ni hapana.
Lissu anaweza kuligusa kundi la vijana vizuri na Makonda anaweza ila Nchimbi na Makalla hapana.
Ukiuliza Makonda amefanya nini itabidi tuulize Makalla amefanya nini? Kazi ya kukieneza chama inataka mtu mwenye ushawishi Sana.
Kuna mkoa alipita Makonda kama mwenezi viongozi wa chama hawakupata tabu ya kukusanya watu ilikua rahisi ni kutangaza tu Makonda anakuja watu wanajaa uwanjani lakini walipopita Nchimbi na Makalla ilibidi mpaka wasanii pia wawepo lasivyo ingekua shughuli pevu kupata watu uwanjani.
Siasa ni namba ya watu(wapiga Kura) haijalishi uelewa wao ni wa miwango gani.
Wananchi wanapata hisia kwamba Makonda anaweza kutatua shida zao hata kama hawezi hata kama ni maigizo ila wanaimani Sana na Makonda. Nadhani pia kuna watu wanatokea kupendwa tu bila hata sababu.
Kama wenye siasa huwa hakuna adui wala rafiki wa kudumu basi ni vyema hawa watu wamalize tofauti zao na tuwaone wakipambania Nchi.
Lissu atoke Chadema na Makonda atoke CCM.
-Wote ni wazalendo
- Wote wana misimamo na wanayo yaamini
Wote wanapendwa na wananchi, nawaza.
Muwe na weekend Njema
Ongezea hapo na Katibu Mkuu wa chama Luhaga Mpina na Mwenezi wake Polepole.Kama wenye siasa huwa hakuna adui wala rafiki wa kudumu basi ni vyema hawa watu wamalize tofauti zao na tuwaone wakipambania Nchi.
Lissu atoke Chadema na Makonda atoke CCM.
-Wote ni wazalendo
- Wote wana misimamo na wanayo yaamini
Wote wanapendwa na wananchi, nawaza.
Muwe na weekend Njema
Ata Lowasa aliitwa fisadi na CHADEMA ila baadaye akawa mgombea Urais kwa tiketi ya CHADEMA.Siasa haipo hivyo,nchi kwanza.Ukitaka utakatifu jiunge na TEC au BAKWATA!Acha kumuunga Lissu na vitu vya kijinga. Wakati Lissu anapigwa risasi Bashite alikuwa Dodoma
Shida Watanzania tunapenda vyama kuliko nchi!Siasa sio uadui !
Hapo zamani ilikuwa haiwezekani kabisa kabisa mchezaji wa Yanga akahamia Simba au mchezaji wa Simba akahamia Yanga !
Lakini kwa sasa hiyo kitu ni ya kawaida sana !
Kama Kibu Denis kuhamia Yanga ! 😅🙏
CCM ilishakufa sema unaifahamu TISS -CCM na Polisi -CCM waliokosa uzalendo kwa taifa!Unaifahamu CCM?
Huo ndio ujinga tulionao !Shida Watanzania tunapenda vyama kuliko nchi!
🤣🤣🤣Lissu mropokaji na Makonda mropokaji wote wanapenda visasi wote hawana hekima na busara, Lissu anaibomoa Chadema na Makonda anaibomoa CCM,wakiungana sawa tabia zao zinalingana
Hakuna aliyeweza kuthibitisha Makonda amehusika na ugaidi aliofanyiwa Lissu.Acha kumuunga Lissu na vitu vya kijinga. Wakati Lissu anapigwa risasi Bashite alikuwa Dodoma
Kama unaweza ukawa na akili za kumuona Makonda ni mtu wa maana kwako, basi kwa Tundu Lissu itakuwa umevutwa na upepo tu.Kama wenye siasa huwa hakuna adui wala rafiki wa kudumu basi ni vyema hawa watu wamalize tofauti zao na tuwaone wakipambania Nchi.
Lissu atoke Chadema na Makonda atoke CCM.
-Wote ni wazalendo
- Wote wana misimamo na wanayo yaamini
Wote wanapendwa na wananchi, nawaza.
Muwe na weekend Njema
Ukiweza kuchanganya diesel na maji vikanyweka na hilo litawezekanaKama wenye siasa huwa hakuna adui wala rafiki wa kudumu basi ni vyema hawa watu wamalize tofauti zao na tuwaone wakipambania Nchi.
Lissu atoke Chadema na Makonda atoke CCM.
-Wote ni wazalendo
- Wote wana misimamo na wanayo yaamini
Wote wanapendwa na wananchi, nawaza.
Muwe na weekend Njema
Wewe utakuwa ni sukuma gang!
Mwenezi hapaswi kuwa mropokaji na mpotoshaji kama Makonda. Wenye akili wameona mbali wakamuondoa, mmebakia mbumbumbu mnalalama.
Umefafanua vizuri.ila yule jamaa asee , ndug yangu anafanya kaz Lindi,walikuwa wanakesha kumaliza maliza mrad wao kummuliza akasema makonda anakuja isije kuwa balaa, luckily enough ndio msiba ukatokea wa lowasa na makonda msafara wake ukapata ajali ndio ikawa pona ya Lindi,Leo hii unaweza kumwambia Makalla aitishe mkutano wa hadhara na Makonda aitishe na utashangaa watu wamejaa mkutano wa Makonda bila hata kuambatana na wasanii.
Ni rahisi raia wa kawaida kwenda kwenye mkutano wa Makonda na sio mkutano wa Makalla au kumsikiliza.
Sasa kwenye siasa mtaji ni watu ambao hupiga Kura pia, unaweza kusema hao wanaompenda ni wajinga ukawa sawa lakini ndio kundi kubwa la wananchi na kundi hilo ndio linalochagua viongozi ukiweza kuteka hisia zao kisiasa unakua umeshinda.
Siasa zinataka idadi ya watu sio kingine kama utapata idadi kubwa ya watu uwezekano wa kupigiwa kura ni mkubwa Sana.
Ukiniuliza Makalla na Nchimbi wanaushawishi kwa siasa za sasa zenye kundi kubwa la vijana waliozaliwa miaka ya 90 mpaka 2000 jibu ni hapana.
Lissu anaweza kuligusa kundi la vijana vizuri na Makonda anaweza ila Nchimbi na Makalla hapana.
Ukiuliza Makonda amefanya nini itabidi tuulize Makalla amefanya nini? Kazi ya kukieneza chama inataka mtu mwenye ushawishi Sana.
Kuna mkoa alipita Makonda kama mwenezi viongozi wa chama hawakupata tabu ya kukusanya watu ilikua rahisi ni kutangaza tu Makonda anakuja watu wanajaa uwanjani lakini walipopita Nchimbi na Makalla ilibidi mpaka wasanii pia wawepo lasivyo ingekua shughuli pevu kupata watu uwanjani.
Siasa ni namba ya watu(wapiga Kura) haijalishi uelewa wao ni wa miwango gani.
Wananchi wanapata hisia kwamba Makonda anaweza kutatua shida zao hata kama hawezi hata kama ni maigizo ila wanaimani Sana na Makonda. Nadhani pia kuna watu wanatokea kupendwa tu bila hata sababu.
Nani kakwambia siasa za tz na afrika zinataka u serious ewe kupe wa mama Abdul?Acheni kushabikia upumbavu!! Zile za kuingia na mikokoteni ndiyo mnaona siasa?
Hivi nyie vichwa vyenu vina akili au vimejaza kamasi?