Sawa hayo ya nyuma na je safari yake ya kumtafuta Mungu ilianzaje,,?? Fuata Uzi ulivyosemaAlikua anafanya kazi kwenye machinjio ya nguruwe pale Mwanjelwa kabla hajaiba ugali ndoo ndogo na vichwa vinne vya nguruwe na kutokomea Moshi ambapo akawa dalali wa mitumba kwenye soko la memorial.
Sio kweli...sio kweli sio kweli..Tangu amehamia hapa kawe na mimi nikiwa jirani kabisa na ilipo huduma yake,sijawahi sikia akiongoza watu sara ya toba.sijawahi sikia
Tujuze Basi jomba..tupe madiniHapa unamtetea Mwamposa sio Mungu.
Unatetea matumizi ya maji na mafuta.
Hata hili hujui kutofautisha?
Watz wengi wana matatizo mengi Sana, hivyo wanaenda kuyapooza. Na mengi yamesababishwa na serikali na washirikina!Ile ni ajali na uzembe wa watendaji lakini huwezi ukasema kuwa hilo limetokea kisa ni mtumishi ndiyo kaua au mafuta ndiyo yameua
Inawezekana sijui Basi si una uwanja Mpana wa kumwagika ili tujue..tupe nondo sasaHapa unamtetea Mwamposa sio Mungu.
Unatetea matumizi ya maji na mafuta.
Hata hili hujui kutofautisha?
Inshu sio kujibizana..inshu ni hoja..huna hoja zaidi ya wivu wa kike kuona huduma ya mwamposa inakua kila siku na kuwafikia wengi na kuwafungua kutoka vifungo vya shetani.Yaani kuanzia Leo sijibizani na wewe,kumbe mfuasi wa maajabu ya upako!!!
Jomba nashukuru umekuja mulemule..nilikuwa nataka vitu kama hivi..ubarikiwe sana..nasisi wengine tunaelimika pia..ingawa kiswahili hujakinyoosha vizuri vileMleta mada nimemwelewa vizuri hatimaye anachotaka kujua Ni Mwamposya katokea wapi kihuduma,baba yake wa kiroho nani aliyemkuza kufikia hapo na elimu yake ya theolojia alusoma wapi na aliwekwa wakfu na nani kuwa na huduma hiyo
Nijibu miswali hiyo ya kidini ya kifarisayo kama ifuatavyo .Mitume waliamini sana kuwa mtu kuwa mhudumu wa Yesu lazima apitie taratibu walipitia wao!!!
Luka 9:49-50
Yohana akasema, “Bwana, tumemwona mtu akitoa pepo wachafu kwa jina lako, nasi tukamzuia, kwa sababu yeye si mmoja wetu.”50Yesu akamwambia, Msimkataze, kwa kuwa yeye ambaye si kinyume chenu yu upande wenu.
Hajapitia mivyuo yao ya theolojia wakamzuia yule hakuwemo kundi la mitume 12 walioa attend chuo cha Yesu darasani kwao hawajawahi muona au kwenye kidini chao
Yesu akasema ninyi hamumujui mimi.namjua
Ndio maana kazinya kuweka nani awe kwenye huduma tano kazi hiyo hajakabidhi kwa kanisa hasa kabaki nayo mwenyewe aluyepewa na Mungu Mwenyewe Rahisi kumjua kuliko aliyejipa au kupewa na dini yake kisa kasoma lichuo la theolojia Kazi ya kuweka watumishi Mungu wa kweli Mungu kabaki nayo mwenyewe
Efesi 4:11-13
Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe; hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo
Waliowekwa na Mungu mwenyewe utaona matokeo na kazi zao.Yesu Mwenyewe alitamka kama hamjuamini angalieni kazi nitendazo
Kanisa lolote kama linadhani laweza pora kazi ya Mungu ya kusimika wahudumu wa kanisa hakitaweza yeye ndie huweka
Kanisa likiweka wake mbeleni lazima wataonaekana kupwaya watashangaa akina Mwamposya ambao hawakusoma mivyuo yao ya theolojia na mitaratibu yao ya kidini yao wanawapiga bao!!
Tatizo la kanisa ineonekana ni kudhani lenyewe ndio lenye mamlaka ya kuweka wahudumu wa huduma tano.Wakati Biblia inaeleza wazi kuwa hiyo ni kazi ya Mungu
Hata mitume kabla kuweka mtu huduma walifunga waliomba na kuongea na Mungu kabla kumwekea mikono mtu kuwa mhudumu huduma yeyote kati ya tani sasa hivi sifa maliza tu chuo cha Biblia au thelojia na kutimiza Vigezo vya kidini wanakupa huduma iwe upadri au huduma tano yeyote!!
Wewe ni mjinga sana!Basi yule jamaa ni mshirikina kwa taarifa yako. Anapopanda gari baada ya ibada huwa anavua nguo zote na kubaki na boksa tu huku wapambe na walinzi wake wakiwa wamemzunguka.
Ndiyo maana ninyi waumini wake hamjawahi kumuona akipanda gari lake baada ya ibada. Uliza kila mmoja atakuambia hajawahi kumuona
Na wakati wa kushuka anapoingia ibadani huwa mikonoo yakoe inakuwa mfukoni alikoweka hirizi.
Wewe ni Muongo sana na kwa uongo huu Mungu atakukumbusha jamboTangu amehamia hapa kawe na mimi nikiwa jirani kabisa na ilipo huduma yake,sijawahi sikia akiongoza watu sara ya toba.sijawahi sikia
From today salute kwako Mzee, Tukiacha mambo ya Siasa Uko njema SanaMleta mada nimemwelewa vizuri hatimaye anachotaka kujua Ni Mwamposya katokea wapi kihuduma,baba yake wa kiroho nani aliyemkuza kufikia hapo na elimu yake ya theolojia alusoma wapi na aliwekwa wakfu na nani kuwa na huduma hiyo
Nijibu miswali hiyo ya kidini ya kifarisayo kama ifuatavyo .Mitume waliamini sana kuwa mtu kuwa mhudumu wa Yesu lazima apitie taratibu walipitia wao!!!
Luka 9:49-50
Yohana akasema, “Bwana, tumemwona mtu akitoa pepo wachafu kwa jina lako, nasi tukamzuia, kwa sababu yeye si mmoja wetu.”50Yesu akamwambia, Msimkataze, kwa kuwa yeye ambaye si kinyume chenu yu upande wenu.
Hajapitia mivyuo yao ya theolojia wakamzuia yule hakuwemo kundi la mitume 12 walioa attend chuo cha Yesu darasani kwao hawajawahi muona au kwenye kidini chao
Yesu akasema ninyi hamumujui mimi.namjua
Ndio maana kazinya kuweka nani awe kwenye huduma tano kazi hiyo hajakabidhi kwa kanisa hasa kabaki nayo mwenyewe aluyepewa na Mungu Mwenyewe Rahisi kumjua kuliko aliyejipa au kupewa na dini yake kisa kasoma lichuo la theolojia Kazi ya kuweka watumishi Mungu wa kweli Mungu kabaki nayo mwenyewe
Efesi 4:11-13
Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe; hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo
Waliowekwa na Mungu mwenyewe utaona matokeo na kazi zao.Yesu Mwenyewe alitamka kama hamjuamini angalieni kazi nitendazo
Kanisa lolote kama linadhani laweza pora kazi ya Mungu ya kusimika wahudumu wa kanisa hakitaweza yeye ndie huweka
Kanisa likiweka wake mbeleni lazima wataonaekana kupwaya watashangaa akina Mwamposya ambao hawakusoma mivyuo yao ya theolojia na mitaratibu yao ya kidini yao wanawapiga bao!!
Tatizo la kanisa ineonekana ni kudhani lenyewe ndio lenye mamlaka ya kuweka wahudumu wa huduma tano.Wakati Biblia inaeleza wazi kuwa hiyo ni kazi ya Mungu
Hata mitume kabla kuweka mtu huduma walifunga waliomba na kuongea na Mungu kabla kumwekea mikono mtu kuwa mhudumu huduma yeyote kati ya tani sasa hivi sifa maliza tu chuo cha Biblia au thelojia na kutimiza Vigezo vya kidini wanakupa huduma iwe upadri au huduma tano yeyote!!
Wewe ndio umeongea la maana!Kama sisi waumini hatumuoni wewe ambaye siyo Muumini Umemuonea wapi Kakaka....hahahahahahah hata kakobe mlisemaga ana nyoka kubwa?
Hivi Kwa nini kila Mtu akiweza kuwa na jambo kubwa lazima awe implicated kwenye mambo ya hovyo ingekuwa hivyo basi kila mtu angekuwa Mtumishi.
Lakini niseme vyovyote iwavyo kama hiyo hirizi au huko kuwa uchi ndiko kunakoleta Neema na Uponyaji kwa wenye shida sugu na kweli kila mtu mwenye shida anaponywa Basi na Mungu aendelee kumuweka Hai kwa kuwa yatendwayo Usiku katika ulimwengu wa Hiza ni Makubwa Mno na watu wanateswa sana yaani Sana . Ushirikina Upo na Ulozi Upo na Unatesa watu wasiokuwa na hatia kama tumepata mtu wa kuwafunguwa watu na mwenye Kipawa hicho na Aendelee kuponya watu.
kesho fuatilia vizuri ndio utaelewa mkuu, Yule ni Mtumishi wa Mungu Usicheke nae kabisaMi nauliza...Jana ikitokea bahati tu nlikuta anamalizia hubiri Tv E, Sasa..nikashangaa anamalizia kama kuhubiri dakika moja magari yashaanza kuondoka Hadi nikauliza mbona sijaona anavoshuka au kuagana na watu just tu magari yashajipanga na kuondoka?
Ndo inakua hivo??
Hata mimi nilimfahamu 2011 sinza Vatican, kusema ukweli tangu nimfahamu nina mashaka naeNilianza kumsikia akiwa Vatican sinza bar, hii ni maarufu kipindi enzi zetu tunasoma,
Siku moja nimetoka arusha nikasema ngoja nikapate biere baridi moja nikashangaa hakuna bar kuna Injili inapigwa kuulizia somebody Mwamposa nikasema haleluya.
Ila Aache mazingaombe kutapika nyembe na mende,kunya hirizi na shanga
Waelimishe hao wajinga!Ninachojua Ulozi au Uchawi hauna nia njema bali kutesa watu lakini kama huu wa huyu Mtumishi unaousema ambao umejithihisha pasipo shaka kuwa Unaponya walio na shida Basi hata Mimi nipo Tayari kuwa nao kwa kuwa hakuna anayetaka kuishi kwa kutesa wengine. Unaolewa huzai kisa mchawi kasema huwezi kuolewa kabla ya watoto wake, Umepata kazi kabla ya wanae yeye anaenda kuroga na kukufunga, mara mtu anafungwa breed hata kabla ya menopause .. Hapana... Mateso haya yakemewe
Elimisha wajinga hao!Kupitia maombezi yake kuptia Tv nimepona vidonda vya tumbo sugu
We ni muongo balaa!Basi yule jamaa ni mshirikina kwa taarifa yako. Anapopanda gari baada ya ibada huwa anavua nguo zote na kubaki na boksa tu huku wapambe na walinzi wake wakiwa wamemzunguka.
Ndiyo maana ninyi waumini wake hamjawahi kumuona akipanda gari lake baada ya ibada. Uliza kila mmoja atakuambia hajawahi kumuona
Na wakati wa kushuka anapoingia ibadani huwa mikonoo yakoe inakuwa mfukoni alikoweka hirizi.
Acha ujinga weweAcha kukariri..unaikumbuka story ya naamani yule jemedari?
Unaikumbuka habari ya nyoka wa shaba?
Unakumbuka yule kipofu aliyepakwa tope?
Unafahamu wafalme walikua wakipakwa mafuta kwaajili ya upako wa kuwa wafalme?
Kama unaamini hizo story kwanini usiamini la mafuta na maji ya upako?
Huyu Glenn Ni mijinga tu hajui kitu ndio maan yupo uku kila Uzi kuzurura zurua tu usibishane nae kuhusu swla la imani Ni kija mpumbavu mno hajui lolote kuhusu imaniHahaha jomba unaonekana haujaiva kidini...na umekariri maneno tu .ni nani alikwambia mtu anatakiwa kuomba Mungu Mara moja tu halaf Basi unakaa na kupumzika..kulingana na maneno yako Sasa kwanini kila siku tunapaswa kumuomba Mungu bila kukoma kwa sababu hatujui siku Wala saa tutakayotwaliwa...nadhan Rudi kwenye maandiko.. nadhan Jenga hoja tena na urudi hapa...lakini sio kutuambia eti tuombe Mara moja halafu tupunzike