Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,559
- 11,180
Hadi tunakwenda mitamboni bado lengo la uzi halijatimia maana kinachotolewa ni kuhusu huduma yake na wengi wameonyesha anatumia nguvu za giza. Nilichojifunza wengi wanaamini kwenye nguvu za uganga kwenye kufanya miujiza kuliko nguvu za Mungu kwenye miujiza.