Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Kama ni Mkristo na unasoma Biblia vipawa vipo na vimetajwa. Mimi kutokuwa navyo hakusababishi visiwepo. Au mimi kutoamini hakusababishi visiwepo. Biblia haijabadilika hata kidogo. Kosoa utendaji wake but si Vipawa. Kama kuna sehemu anakosea kibiblia ainisha hapa.

Hajakosoa kipawa, Bali kasema kwamba kipawa kinakaa ndani ya mtu sio kwenye mafuta na udongo au maji.
 
Siri ya nguvu zao Huruhusiwi kuishi na mwanamke kama una mke jitenge Nate mbali in najisi
 
Kipawa? Ule ni uganga tu kama uganga mwingine. Kwa wakristo Kipawa kipo ndani ya mtu sio mafuta/keki Wala kutoa fedha Ili uombewe/appointment na Mtume!!
Hawa manabii wa aina hii na waganga wa kienyeji ni kundi moja linalotumia ujinga, umasikini wa mali na fikra wa jamii kujinufaisha.
Msingi wa umaarufu wao umejengeka kwenye ujinga wa wananchi.
 
Kutumia mafuta mfululizo pia ni doctorine na msingi wa imani

Kasome

Yakobo 5:14​

Mtu wa kwenu amekuwa hawezi? Na awaite wazee wa kanisa; nao wamwombee, na kumpaka mafuta kwa jina la Bwana.

Umeeelewa hicho kifungu?. Au kwa sababu kimeandikwa mafuta?. Aliyekuwa anaambiwa ni Nani na ni Nani alikuwa anawaambia hayo maneno?. Kitabu Cha Ayubu kimetumika Kama exception.
 
Yesu alihubiri na kuponya pia..so mwamposa anahubiri na kuponya pia.

#MaendeleoHayanaChama

Anahubiri nini Mwamposa? Yesu anahubiri kuhusu ufalme wa Mungu na toba ya dhambi Mwamposa msingi wake wanahubiri ni Nini?. Mwamposa msingi wake ni kuponya Basi Hana injili ya kweli.
 
Ndugu tofautisha doctrine imani na revelation mafunuo. Doctrine ya mkristo ni kuliamini jina la Yesu Kristo na kuliitia pale inapobidi kwa kukesha na kuomba.

Revelation ni mafunuo ya muda mfupi. Kwa mfano Yesu alipompaka matooe yule kipofu ilikuwa revelation ya muda mfupi sio imani au doctrine. Imani Ni muda wote wa ukristo ila mafunuo ni kwaajili ya muda huo pekee. Ndio maana humuoni Yesu akimpaka matope kipofu mwingine maana ilikuwa kwa wakati na kwa kusudi maalum.

Sasa manabii wa Leo wanatumia mafunuo na kuyanya imani. Yani watu waache kuliitia jina la Yesu Kristo na kuhangaika na mafuta na maji, ukiuliza wanakwambia mbona Yesu alifanya hivi. Njia moja ya kumjua Nabii wa uongo ni pale anapotumia mafunuo kama msingi wa imani.
Nimekusaluti bro.
Umeongea kweli yote.

Ukristo ni kuwa na ufahamu sahihi wa neno/doctrine na kuyaishi.
Huu ndio msingi wa ukristo.

Hawa manabii wapige pesa za muda na anayeumia ni hawa washirika wao.
Tujifunze jinsi wanavyokuja na kupotea au kufifia;
Kakobe
Komanya alikuwa vyema mwishowe akaanza kupotoka.
GeorDavie alivuma sana sasa anafifia na ameanza kuwa na machawa lkn hawezi kurudia.

Venon wa ATN na kupuliza watu.
Hata Mwamposa ni suala la muda tu
 
Hawa manabii wa aina hii na waganga wa kienyeji ni kundi moja linalotumia ujinga, umasikini wa mali na fikra wa jamii kujinufaisha.
Msingi wa umaarufu wao umejengeka kwenye ujinga wa wananchi.
Basi kwa hili hakuna imani salama..mana zote zimejengwa kwenye hiyo misingi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Hawa manabii wa aina hii na waganga wa kienyeji ni kundi moja linalotumia ujinga, umasikini wa mali na fikra wa jamii kujinufaisha.
Msingi wa umaarufu wao umejengeka kwenye ujinga wa wananchi.
Kwa mwamposya ulishafika ? Sehemu hata ya kupaki magari shida siku ya jumapili hakuna kanisa lina matajiri wenye magari mengi hadi Park shida kama kwa Mwamposya pamoja na kuweko kiwanja kikubwa sana cha kupaki

Jumapili barabara zote kwenda kanisani kwake hujaa foleni za,magari na wasababishao ni wenye magari waumini wa Kwa Mwamposya waendao kwa Mwamposya au kutoka ibadani

Mimi pia nasali kwake

Maskiki aweza miliki magari ya uhakika la kwenda na kurudi kanisani kwa Mwamposya?

Nenda mwenyewe ukaangalie.Watu wengi wanasali kule ni wenye pesa zao na elimu zao na wana exposure kubwa za kimataifa

Hakuna mtu wa kulaghaiwa

Pale sadaka kukusanywa milioni 50 ibada moja wala sio kitu kikubwa ndio maana unaona yuko kwenye TV,Radio nk watu wanatoa sana kama shukrani ya kutatuliwa changamoto zao

Mtu akitatuliwa changamoto yake kuna matajiri kutoa sadaka ya shukrani kwa Mungu ya milioni 100 ni kitu kidogo mno pale na hawapigi yowe kama wa kwenu huko akitoa elfu moja tu kelele kibao na akitoa elfu 10 sadaka mchungaji au padri anamwabudu huyo mtoa elfu 10

Kama unafikiri kwa Mwamposya wamejaa maskini wa Mali tembelea jumapili yeyote usiingie kanisani pita nje tu ndipo utajua wasali ni watu wa aina gani angalia Park ya magari
 
Anahubiri nini Mwamposa? Yesu anahubiri kuhusu ufalme wa Mungu na toba ya dhambi Mwamposa msingi wake wanahubiri ni Nini?. Mwamposa msingi wake ni kuponya Basi Hana injili ya kweli.
Hujawahi msikiliza..huwezi jua.

Acha kulia anza kuamini

#MaendeleoHayanaChama
 
huyu ndugu ninamfahamu tangia akiwa kijana alipotoka tukuyu safari yake ya huduma kabla hajafahamika ilianzia tunduma akiwa na sambamba na mchungaji efraim mwaitebele wa kanisa la restoration bible church tunduma ,alikuwa mpenda maombi sana hasa ya kwenda milimani, alikuwa anafanyabiashara pale soko la black tunduma amewahi kuuza viatu pia, kwa sisi vijana wa kipindi kile maombi mengi tulikuwa tunafanyia milimani,mwamposa alikuwa kiongozi wa maombi nawakumbuka vijana kama pasta mwankenja ambae kwa sasa ni mchungaji kitunda tulikuwa nao pamoja .badae alipata wito akawa anaalikwa sehemu mbalimbali kanisa lake kubwa na mahali watu walianza kumjua ni moshi ,pale jamaa alipiga kazi sana na alikuwa na waumini wengi mno sikuwahi fikiria kama angehama moshi.inasemekana badae ilitokea migogoro flani ya kifamilia kati yake na mke wake,mwamposa aliamua kuondoka moshi kwa hasira na kuamua kwenda dar kuanza huduma upya.haikuwa kazi rahisi maana alikuwa hana hata mahali pakufanyia huduma,alianzia sebulen kwa mtu akiwa n
 
Nimekusaluti bro.
Umeongea kweli yote.

Ukristo ni kuwa na ufahamu sahihi wa neno/doctrine na kuyaishi.
Huu ndio msingi wa ukristo.

Hawa manabii wapige pesa za muda na anayeumia ni hawa washirika wao.
Tujifunze jinsi wanavyokuja na kupotea au kufifia;
Kakobe
Komanya alikuwa vyema mwishowe akaanza kupotoka.
GeorDavie alivuma sana sasa anafifia na ameanza kuwa na machawa lkn hawezi kurudia.

Venon wa ATN na kupuliza watu.
Hata Mwamposa ni suala la muda tu
Kila kitu kitapita..hilo lisikutishe sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
huyu ndugu ninamfahamu tangia akiwa kijana alipotoka tukuyu safari yake ya huduma kabla hajafahamika ilianzia tunduma akiwa na sambamba na mchungaji efraim mwaitebele wa kanisa la restoration bible church tunduma ,alikuwa mpenda maombi sana hasa ya kwenda milimani, alikuwa anafanyabiashara pale soko la black tunduma amewahi kuuza viatu pia, kwa sisi vijana wa kipindi kile maombi mengi tulikuwa tunafanyia milimani,mwamposa alikuwa kiongozi wa maombi nawakumbuka vijana kama pasta mwankenja ambae kwa sasa ni mchungaji kitunda tulikuwa nao pamoja .badae alipata wito akawa anaalikwa sehemu mbalimbali kanisa lake kubwa na mahali watu walianza kumjua ni moshi ,pale jamaa alipiga kazi sana na alikuwa na waumini wengi mno sikuwahi fikiria kama angehama moshi.inasemekana badae ilitokea migogoro flani ya kifamilia kati yake na mke wake,mwamposa aliamua kuondoka moshi kwa hasira na kuamua kwenda dar kuanza huduma upya.haikuwa kazi rahisi maana alikuwa hana hata mahali pakufanyia huduma,alianzia sebulen kwa mtu akiwa n
Kuna watu watakuja kubisha..

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom