Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Mwenye historia ya Nabii Mwamposa kabla ya kuanza huduma yake

Mleta mada nimemwelewa vizuri hatimaye anachotaka kujua Ni Mwamposya katokea wapi kihuduma,baba yake wa kiroho nani aliyemkuza kufikia hapo na elimu yake ya theolojia alusoma wapi na aliwekwa wakfu na nani kuwa na huduma hiyo

Nijibu miswali hiyo ya kidini ya kifarisayo kama ifuatavyo .Mitume waliamini sana kuwa mtu kuwa mhudumu wa Yesu lazima apitie taratibu walipitia wao!!!

Luka 9:49-50​

Yohana akasema, “Bwana, tumemwona mtu akitoa pepo wachafu kwa jina lako, nasi tukamzuia, kwa sababu yeye si mmoja wetu.”50Yesu akamwambia, Msimkataze, kwa kuwa yeye ambaye si kinyume chenu yu upande wenu.

Hajapitia mivyuo yao ya theolojia wakamzuia yule hakuwemo kundi la mitume 12 walioa attend chuo cha Yesu darasani kwao hawajawahi muona au kwenye kidini chao

Yesu akasema ninyi hamumujui mimi.namjua

Ndio maana kazi ya kuweka nani awe kwenye huduma yeyote kati ya tano kazi hiyo hajakabidhi kwa kanisa hasa kabaki nayo mwenyewe mtu alyepewa na Mungu Mwenyewe rahisi kumjua kuliko aliyejipa au kupewa na dini yake kisa kasoma lichuo lao lan theolojia Kazi ya kuweka watumishi Mungu wa kweli Mungu kabaki nayo mwenyewe

Efeso 4:11-13​

Naye alitoa wengine kuwa mitume, na wengine kuwa manabii; na wengine kuwa wainjilisti na wengine kuwa wachungaji na waalimu; kwa kusudi la kuwakamilisha watakatifu, hata kazi ya huduma itendeke, hata mwili wa Kristo ujengwe; hata na sisi sote tutakapoufikia umoja wa imani na kumfahamu sana Mwana wa Mungu, hata kuwa mtu mkamilifu, hata kufika kwenye cheo cha kimo cha utimilifu wa Kristo

Waliowekwa na Mungu mwenyewe utaona matokeo na kazi zao.Yesu Mwenyewe alitamka kama hamjuamini angalieni kazi nitendazo

Kanisa lolote kama linadhani laweza pora kazi ya Mungu ya kusimika wahudumu wa kanisa hakitaweza yeye ndie huweka

Kanisa likiweka wake mbeleni lazima wataonaekana kupwaya watashangaa akina Mwamposya ambao hawakusoma mivyuo yao ya theolojia na mitaratibu yao ya kidini yao wanawapiga bao!!

Tatizo la kanisa ineonekana ni kudhani lenyewe ndio lenye mamlaka ya kuweka wahudumu wa huduma tano.Wakati Biblia inaeleza wazi kuwa hiyo ni kazi ya Mungu

Hata mitume kabla kuweka mtu huduma walifunga waliomba na kuongea na Mungu kabla kumwekea mikono mtu kuwa mhudumu huduma yeyote kati ya tani sasa hivi sifa maliza tu chuo cha Biblia au thelojia na kutimiza Vigezo vya kidini wanakupa huduma iwe upadri au huduma tano yeyote!!
We sio mchaMungu
 
Mkuu kiongozi wa Mkristo ni biblia.
Hakuna mahali chumvi ilirudiwa kutumia mara kwa mara au mafuta.

Kila kitu huwa ni ufunuo na hutumika mara moja tu.

Unapotumia mara kwa mara au kusisitiza matumizi yake tayari hiyo ni imani potofu uliyoijengea imani.

Wakristo tuweni na akili na tuwe makini kujifunza neno kwani tunapoteza muda kwa vitu visivyo vya imani sahihi.

Haya maigizo ni upepo wa muda hautusaidii kitu.

Lengo kuu la Mungu ni mwanadamu kukombolewa dhambini na sio muujiza.

Muujiza ni msaada wa dharura lakini ukristo ni maisha ya mwamini kuuendea uzima wa milele.

Hadi lini tutakuwa watoto tukichukuliwa na kila upepo?

Maigizo haya yalianza kitambo enzi za biblia walikuwepo akina Simioni mchawi
HV umeandika upuuzi gani kaija siyo kila kitu uchangie kijana
 
Mkuu kiongozi wa Mkristo ni biblia.
Hakuna mahali chumvi ilirudiwa kutumia mara kwa mara au mafuta.

Kila kitu huwa ni ufunuo na hutumika mara moja tu.

Unapotumia mara kwa mara au kusisitiza matumizi yake tayari hiyo ni imani potofu uliyoijengea imani.

Wakristo tuweni na akili na tuwe makini kujifunza neno kwani tunapoteza muda kwa vitu visivyo vya imani sahihi.

Haya maigizo ni upepo wa muda hautusaidii kitu.

Lengo kuu la Mungu ni mwanadamu kukombolewa dhambini na sio muujiza.

Muujiza ni msaada wa dharura lakini ukristo ni maisha ya mwamini kuuendea uzima wa milele.

Hadi lini tutakuwa watoto tukichukuliwa na kila upepo?

Maigizo haya yalianza kitambo enzi za biblia walikuwepo akina Simioni mchawi
Ss tunataka history ya mwamposa siyo hisia zako

Taja history acha mbwembwe na ujuwaji
 
Unafahamu kuwa hata shetani anaponya? Kwahiyo kufunguliwa kwa watu siyo hoja.

Je, wajua kwamba jina Yesu linatumikq hata ktk nguvu za giza? Kwahiyo kutajwa kwa jina la Yesu kisikuzubaishe.

Mwamposa mhuni Kama wahuni wengine. Umewahi kumshuhudia akishuka ama kupata gari lake? Kama bado tuulize sisi tuliyowahi kuwa waambata wake tukujuze. Unaibiwa wewe.
Uonaongeaa uzushi Sana

Kama mwamposa ni wa mungu na itajulikana tu
 
Inaonyesha huwa unasoma biblia lakini huilewi kama yule Towashi aliyebatizwa na Filipo.
Ukristo una misingi yake ya uponyaji na sio huu uganga.
Uponyaji sio kigezo pekee kuwa wewe ni mtumishi wa Mungu.
Hata wapiga ramli huponya.
Dawa huponya.
Wanajimu huponya.

Lijue neno la Mungu kama ilivyoandikwa;
Mkiijua kweli hiyo kweli itawaweka huru.
Kjna acha ujuwaji na hujui kitu yaani
 
Mimi nilikua simkumbali lkn baada ya kumfuatilia nilimuelewa. Mungu amjalie mtumishi wake maisha marefu. Watu wengi wanataabika na giza lakini kwa kipawa alichopewa.

Kama unasikia kwa watu na maneno maneno jaribu mfatilie utamuelewa kuliko kusema sema ndo wale.
Someni Biblia Kila kitu akifanyacho ni nguvu za Mungu.
Unesema Kweli mm hapo awali ilikuwa simuelewi kbsa ilaa baada ya kumfatiliaa nikamuelewaa mno
 
Unatukana watu , mlevi , then unajiita Mcha Mungu!!
Lengo lako kutoa watu nje ya hoja jikite kwenye hoja iliyoletwa

Mwamposya yupo ataendelea kuwepo na nyie kama Mungu hawakuwaita mtashuka chini mtaona Mwamposya akipaa juu sana Kuliko nyie na kujitumbukiza kanisani bila kuitwa na Mungu mwenyewe
 
JF,

Kwa heshima na taadhima ningependa kujua Nabii Mwamposa amefikaje fikaje hapo alipo na namna Mungu anavyoendelea kumtumia.

Nadhani ni muhimu watumishi Hawa wawe wanatuwekea historia zao ili kuweka mazingira halisi ya mahusiano yao na Mungu wetu kabla ya kufikia hatua hiyo...wengine utakuta waliishi maporini na milimali wakimtafuta.

Mungu kabla hawajafanikiwa
Mkuu naona ulitaka history ya huyu mtume ila naona wajuwaji kina Glen wameharibu

Namm pia i was interested with the story
 
Jadili hoja iliyopo wewe

Usitoe watu nje ya reli
Utakufa endapo utakataa kubadilika.
Lengo lako kutoa watu nje ya hojs jikite kwenye hoja iliyoletwa

Mwamposya yupo ataendelea kuwepo na nyie kama Mungu hawakuwaita mtashuka chini mtaona Mwamposya akipaa juu sana Kuliko nyie na kujitumbukiza kanisani bila kuitwa na Mungu mwenyewe
Mtu Kama wewe , unatukana watu hauna Maadili ya kumjua Mungu.
 
Utakufa endapo utakataa kubadilika.

Mtu Kama wewe , unatukana watu hauna Maadili ya kumjua Mungu.
Sijatukana popote

Kifupi nikwambie kama wewe.ni mmojawapo wa waponda Mwamposya kama kweli wewe unajiita mtumishi wa Mungu kama alivyomwambia Eliya alipojitia kabaki peke yake anza kuandaa Elisha wa kushika huduma yako sababu wewe umefikia ukingoni kama Eliya.Usije acha huduma haina Elisha

Anza maandalizi haraka ya nani wa kushika hiyo kazi yako ukiondoka.Take this issue seriously
 
regardless mkuu as long as watu wanafungulia maswahibu yao na wanatoa ushuhuda baada ya kujibiwa shida zao sioni shida kabisa... hata huko katholic kuna maji ya baraka nayo yapo tu brother so i believe that Man ever
Wewe umeshafunguliwa? au naww unasikia kwenye Radio tu
 
Back
Top Bottom