usijali hali hiyo huisha na kutokomea kabisa, subiri utakapo fika miaka 35 nadhani vichocheo vya mwili na hata hamu ya mbususu itakoma kabisa na huenda hata kusumamisha ikawa ndio basi....Mm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
Umemaliza.Tafuta kazi mkuu. Kama unayo ongeza nyingine, na nyingine till wen you have no time for stupidity
Ukiwa na malengo ya kukua kimaisha hiyo hali itaondoka yenyewe , hiyo ni dalili umekubali kuwa masikiniMm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
NakaziaJaribu kuweka mafuta ya taa kwenye mboga unazokula, nunua gari mbovu na ukope mkopo wenye riba kubwa.
Ni hali ya kawaida kama huna kazi. Huna akili. So unawaza ngono tu. Si jambo la kustaajabisha. Ukikua na kutoka hapo alipoolewa dada yako utaona hali inavyokuwa kama utaweza jitegemea na kufanya kazi halali. Pengine ulidhani hii inawdza kuku boost kutafuta mademu. Hapana watakudharau kuwa dogo huna la maana unalowaza zaidi ya ngono.Mm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimecheka had machoziii.Jaribu kuweka mafuta ya taa kwenye mboga unazokula, nunua gari mbovu na ukope mkopo wenye riba kubwa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Vijana wa ivi wana mchango mdogo sana kwenye jamii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena hapo itakua, kazi imempata mfanyaji.Tafuta sugar mummy
Kazi yako itakua ni moja tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbona mabwakuuuuChukua mkopo mkubwa bank na nunua daladala used ndio dawa ya nyege
Huyo Doreeen ni yupi? Nahisi unakula mchepuko wangu 😔Kama hutaki kutromba
Utatrombwah
Trombah ndugu
Hizi kyuma zimeletwa ili zitrombweh
Opps ngoja niitrombeh hi doreeen hapa