dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
Kwenye gari bovu hapo umepatiaaa hatoweza hata kusimamisha kwa mwez nzimaJaribu kuweka mafuta ya taa kwenye mboga unazokula, nunua gari mbovu na ukope mkopo wenye riba kubwa.
Anapata utamu na hela[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tena hapo itakua, kazi imempata mfanyaji.
Kwenye kukaa pekee ako na kwenda vijiweni hapo haviusiani Sasa atakwenda kijiwe gani Cha kuongea Simba na yangaFanya mazoezi, jishughulishe , usipende kukaa peke yako maana mawazo huanzia hapo, epuka vijiwe vyenye stories ya mademu, .. yote kwa yote bado hujapata majukumu, ukipata hiyo hamu itakuwa mbali kama mbingu na ardhi
StressMm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
Ni dories sio Doreen 😂Huyo Doreeen ni yupi? Nahisi unakula mchepuko wangu 😔
Ulichoandika mwanzo ndio hiyo, kaniaga anaenda kwa shangazi yake toka jana kumbe huko nae dahNi dories sio Doreen 😂
Tafuta kazi mkuu. Kama unayo ongeza nyingine, na nyingine till wen you have no time for stupidity
Dawa ni kuachaMm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
Au aanze kubetJaribu kuweka mafuta ya taa kwenye mboga unazokula, nunua gari mbovu na ukope mkopo wenye riba kubwa.
In those days nilikuwa napiga kutwa nzima ukienda mbele Sana utalainika taratibu kwenye madeni ya kiuxhumi na majungu ya mke,piga mpaka wakimbie hata wafike kumi piga tuu mpka wakukimbie wote utapata wa kukomaa nae.Mm ni kijana 28 nina hamu sana na sex hata nikisex na mwanamke siku nzima kesho najikuta natamani tena kusex , mwanamke niliyekua naishi naye ameshindwa imebidi aondoke, hii hali naona kabisa inanitesa kiafya mwili wangu naona unadhoofika , kwahiyo anayejua dawa ya kupunguza hamu ya tendo anijuze!
Nakubali. Akishakua na majukumu, unaweza guswa na mbususu mdomoni, ukaishia kuitandika kibao "toka hapa!!!!"Bado hauna majukumu kijana, ukikua utaacha
Hapana sio huyuUlichoandika mwanzo ndio hiyo, kaniaga anaenda kwa shangazi yake toka jana kumbe huko nae dah
Vijiwe viko vingi saanaKwenye kukaa pekee ako na kwenda vijiweni hapo haviusiani Sasa atakwenda kijiwe gani Cha kuongea Simba na yanga