Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
CCM sio chama cha mtu, hivyo hoja ya CCM hawanitaki ni hoja muflis!.Ndugu unaezezaje kuwakisoa maccm wenzio japo hawakutaki lakini bado inajipendekeza,
Hiyo Chanel ten kwa sasa inamilikiwa na CCM wenzio.
Sasa watu walipita bila kupingwa unataka wapokee maoni yanayokataza wao kurudi tena kwa Style pendwa![emoji23][emoji23][emoji23]
Hakuna mwanaccm anayeweza kuukata mkono unaomlishaCCM sio chama cha mtu, hivyo hoja ya CCM hawanitaki ni hoja muflis!.
Licha ya mimi kuwa ni kada, ila ukosoaji uko pale pale!
P
Huwezi kukosoa sababu 2025 unataka kuchukua fomu ya kugombea Ubunge, japo wajumbe watakukata.CCM sio chama cha mtu, hivyo hoja ya CCM hawanitaki ni hoja muflis!.
Licha ya mimi kuwa ni kada, ila ukosoaji uko pale pale!
P
Kabisa !Huyu Sheikh ndiye alistahili PhD ya heshima, sijaona wa kumfananisha naye katika mpangilio wa content yake, mtiririko wa hoja na mawazo na hata umakini kwenye uwasilishaji wake.
Atapita this time. !Huwezi kukosoa sababu 2025 unataka kuchukua fomu ya kugombea Ubunge, japo wajumbe watakukata.
Na huo ndio ukweli wenyewe !Hakuna mwanaccm anayeweza kuukata mkono unaomlisha
Duh 🙄 !Tayari uko u tube
Nakukubali sana !!CCM sio chama cha mtu, hivyo hoja ya CCM hawanitaki ni hoja muflis!.
Licha ya mimi kuwa ni kada, ila ukosoaji uko pale pale!
P
Upendeleo kwenye masuala ya Uchaguzi ndicho anachokiongelea Sheikh Kundecha !🔹Tafuta urafiki kati ya Ponda na Lissu ulianza lini
🔹Oanisha malengo ya siasa za Lissu na chama chenu wanataka nini na je kama Wana consensus ijapokuwa wapp kwenye jukwaa Moja na wanahutubia watu wa aina mojana huyo Mgeni wao mpya tunayemwona kwenye majukwaa akitoa maombi ya kutisha
🔹 Fuatilia mwingine ambaye alikuwa anamtumia mtu mmoja aliyekuja kwenu akijinasibu na kauli mbio ya safari za matumaini, alikuja kwenu baada ya kusambaratika kwa kwa kile chenye jina kama shurikisho la michezo Afrika ana ambacho walikuwa wanakitumia kwenye propaganda zao za kidini kwenye nchi. Lifuatilie hilo kundi kuanzia kwenye mkutano wao pale DIAMOND JUBILEE hilo kundi ndio hilo hilo linajipachika kwenye siasa lakini Wana lengo lao la muda mrefu
Mmh !BAKWATA
Hapo sasa !Sasa watu walipita bila kupingwa unataka wapokee maoni yanayokataza wao kurudi tena kwa Style pendwa!
Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app
Kama lengo lake ni hilo ashafeli mapema sana haitakaa itokeeHawa na akina ponda, Katimba huwa hawana kipya zaidi ya kuangalia platform yoyote wanayoipata kuiingiza nchi kuwa Islamic state either kujipenyeza kwenye legal process kama kwenye vyama vya siasa kujifanya na wao ni miongoni kumbe wanatafuta viongozi dhaifu na waroho wa Madaraka kuwarubuni kwa kuwadanganya wakikubali mashart Yao watapata support ya waamini wao. Hawa ni watu ambao hawaamini kuwa Kuna mfumo mwingine wa kuendesha na kusimama nchi zaidi ya mfumo na taratibu zilizoainishwa kwenye kitabu Chao. Ni watu ambao hawatambui mfumo wa ki secular wa kueshimu Kila mtu na tofauti zao wa kiimani, wao huamini dini Yao tuu na hufanya Jitihada zozote kuwa eti Ipo siku watafanikiwa kufuta Imani nyingine. Hivyo ijapokuwa sijaona mchango wake ila naambini contextual itakuwa imejaa mambo ya kuitetea dini yake iingizwe kwenye mifumo ya kiserikali
Tulia wewe tulambe asali sisi pambana uingie kwenye mfumo ulambe asaliMaelekezo na mchango wake mzuri sana..katiba mpta Bongo bila kuchapana haitakuja kuletwa mtaniambia.....watawala na machawa hawana nia dhati kufanya wanayosema juu juu..
.watavuruga tu apoteze muda miaka iende yeye amuachie mwingine nae atuchezee tena
Hujui chochote wewe tulia kimyaMbona Zanzibar ni nchi ya kiisilamu na imeingia kwenye mifumo ya serikali.
Badala ujibu hoja yake, unaleta udikteta wa kumnyamazisha?Hujui chochote wewe tulia kimya
WATANZANIA MNA TABIA YA KUTUPUUZA WATU WENYE AKILI NA KUTHAMINI WAPUMBAVU WASOMI ....KILA SIKU NA SISITIZA KUWA NCHI IPO MIKONONI MWA GENGE LA RAIA FEKI AMNIELEWI MAANA YAKE NINI!
Taarifa zilizozagaa kila mahali zinadokeza kwamba , mchango wa maoni ya Sheikh Amiri Musa Kundecha aliyoyatoa kwa Kamati ya Bunge ya Sheria na Katiba , kuhusu marekebisho ya Sheria za Uchaguzi umedhibitiwa na kufichwa.
Taarifa zingine zikidokeza kwamba Waandishi wa Habari wameonywa wasiusambaze popote na wala haijulikani sababu ya jambo hilo kudhibitiwa kiasi hicho.
Natoa wito kwa wadau wa JF kuutafuta mchango huo wa Shehe Kundecha na kuuanika hadharani ili tuone yaliyomo, JF Haijawahi kushindwa jambo.
Naomba kuwasilisha.
===
TATIZO NI RAIA FEKI WALIO JIPENYEZA SERIKALINI KWA KUTUMIA CCM NA KUSHIKA HATAMU SERIKALINI NA KUKIWEKA CCM CHINI YA HIMAYA YAO ....HAO RAIA FEKI NI HATARI SANA KWA TAIFACcm ni kansa kwenye jamii. Wabunge haramu ati wana taka kuhalalisha uchaguzi? Maajabu