Pre GE2025 Mwenye mchango wa Shehe Musa Kundecha kuhusu Sheria za Uchaguzi auweke hapa, yasemekana umefichwa

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Nondo kuntu
 
Kundecha huyu aliyofuta matokeo ya uchaguzi na kumnyima urais maalim seif au mwingine?
 
Mkuu ni vyema ukajikita kwenye mchango au hoja yake, maana hicho ndicho muhimu zaidi kuliko kumshambulia mtu mwenyewe! Kumbuka baniani mmbaya ila kiatu chake dawa!
 
Kundecha huyu aliyofuta matokeo ya uchaguzi na kumnyima urais maalim seif au mwingine?

Mkuu naona unaanza kuwa balozi wa channel Ten! Wasikuache patupu tu! Shigongo aliwahi kulia!
 
Na nyinyi mnataka tutambue mfumo wa kisekula wenu wa kufumuliwa mtaro
hauna chochote zaidi ya kuutetea masilahi yenu yasiyo na tija kwa vizazi vya nchi kwa kufuata mila, utamaduni na asili yetu ya kuwa punga aadhibiwe
Utasubiri sana na hizo NGO zenu za kishoga,
Mkiingia 18 na uchoko wenu tunawashughulikia ipasavyo.
 
Mbona hatukusikia akimaliza? Hata ile tafsiri ya 'hakuna kitu na kila kitu hakuna' hatukuisikia
Mwenye mwendelezo aweke video, very interesting!

JokaKuu Pascal Mayalla
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…