Mrs Thabo Bester
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 3,145
- 7,921
Sipend kabisa kusikia habari za kujinyima kula...maana kama unaidhulumu nafsi..yaani unajiona unalala na njaa kisa?..ni kutembea tu kuchoma caloriesMimi nikila kwa diet lazima usiku niamke kusonga ugali, sijui wengine wanawezaje kula matunda na kulala
Una mimba?Hayo maji ni kwa siku moja siyo ubwie yote hapo hapo si mimba itatoka.
Famasihara nini! 😂Mimi nikila kwa diet lazima usiku niamke kusonga ugali, sijui wengine wanawezaje kula matunda na kulala
Nina kilo 95 mimi kituntufye jamaniNina uzito wa kilo 84 nataka nipunguze angalau zibaki 70!
Nina kitambi kama mfuko kiasi cha kupata shida sana wakati wa kuvaa soksi...
Ww umeanza kwa mkurupuko sana mkuu, kulingana na uzito wako mkubwa unatakiwa kuanza mazoezi taratibu, usiji overdoze ndo maana ulikuwa unaenda mbali kurudi umekata moto unarudi na boda au daladala. Fanya yoooote ila mazoezi yanakupa uzito unaouweza amini nakwambia.Nina uzito wa kilo 84 nataka nipunguze angalau zibaki 70!
Nina kitambi kama mfuko kiasi cha kupata shida sana wakati wa kuvaa soksi!
Njia ya mazoezi nimejaribu imenishinda! Naambiwa kuna dawa za mitishamba zinauzwa huko ukinywa unahalisha mafuta kitambi na uzito unapungua!
Naomba kama kuna mtu katumia au kuna mtu anamjua atupatie mrejesho hapa! Natamani sana kuitumia Ila sijui kimbembe chake!
Ushauri wa gym na mazoezi siutaki! Maana nimejaribu nimeshindwa kabisa! Vifaa vyote vya gym ninavyo nimeshindwa, nikikimbia mbio huwa narudi kwa daladala!
Naomba mrejesho wa hizo dawa kwa aliyewahi kutumia kama hazina madhara!
Ulifanya diet kwa siku ngapi?1. Tembea angalau km 5 kwa siku.
2. Punguza vyakula vya wanga, mafuta, sukari na protein.
3. Kunywa maji kwa wingi kama 4 litres a day.
4. Kula mboga mboga na matunda kwa wingi
5. Punguza/acha vilevi, soda na jamii yake.
*Utakuja kunishukuru baadae.
NB: Nilikuwa na 100 kg hapo nina 6ft sasa Nina 82 kg na namaintain hizo. Hakuna mchawi ni wewe mwenyewe.
Looooh hapa sasa pazito mazoezi hutaki, diet huwezi, sasa utakunywa dawa uharishe huku unasonga ugali unakula yaani weka niwekeMimi nikila kwa diet lazima usiku niamke kusonga ugali, sijui wengine wanawezaje kula matunda na kulala
Huyu labda akamuliwe tu yeye kama yeye hana kabisa morari ya kupungua kama anaamka usiku kusonga ugali.Famasihara nini! [emoji23]
Duuuuh kwa mwendo huo ukipunguza hata kilo 3 niite mbwa niko pale nimekaaMimi nikila kwa diet lazima usiku niamke kusonga ugali, sijui wengine wanawezaje kula matunda na kulala
Umeshindwa vipi kufanya mazoezi? Mtoamada unaishi wapi pengine unahitaji sapoti ya mazoezi. Mm binafs natafuta dawa ya kupunguza kufanya mazoez 😆Nina uzito wa kilo 84 nataka nipunguze angalau zibaki 70!
Nina kitambi kama mfuko kiasi cha kupata shida sana wakati wa kuvaa soksi!
Njia ya mazoezi nimejaribu imenishinda! Naambiwa kuna dawa za mitishamba zinauzwa huko ukinywa unahalisha mafuta kitambi na uzito unapungua!
Naomba kama kuna mtu katumia au kuna mtu anamjua atupatie mrejesho hapa! Natamani sana kuitumia Ila sijui kimbembe chake!
Ushauri wa gym na mazoezi siutaki! Maana nimejaribu nimeshindwa kabisa! Vifaa vyote vya gym ninavyo nimeshindwa, nikikimbia mbio huwa narudi kwa daladala!
Naomba mrejesho wa hizo dawa kwa aliyewahi kutumia kama hazina madhara!
Mazoez ndugu kipaji. Kuna watu hawwez hata uwauweWw umeanza kwa mkurupuko sana mkuu, kulingana na uzito wako mkubwa unatakiwa kuanza mazoezi taratibu, usiji overdoze ndo maana ulikuwa unaenda mbali kurudi umekata moto unarudi na boda au daladala. Fanya yoooote ila mazoezi yanakupa uzito unaouweza amini nakwambia.
Uliipata ile? Vp mrejesho?Mwanzo wa mwezi wa 8 usiku niliumwa moyo sana. Nikajisemehe peke yangu nakufa naacha watoto wangu wadogo hawa sbb ya kula tuu shenzi sana.
Nilianza kula mara moja saa 11 jioni tena ugali na kachumbali kabeji au saladi na samaki wa kukaanga kidogo at least niweze kumeza ule ugali. Nimeona mabadiliko sana na hivi sipendi ugali nakula kidogo tuu nakinai. Usikupe nikipata matunda mpk kesho teeena. Si haba nimeona mabadiliko sana. Sifanyi diet yoyote maana nina cheat balaa hasa jumapili home ni kitu cha pilau maisha yanakuwa shida kidogo.
Lita nne za maji kwa siku ni nyingi sana. Kunywa lita mbili tu zinatosha, hata ufikie lita 3 hazibadili chochote kwenye mlinganyo zaidi kuchosha figo kuchuja maji1. Tembea angalau km 5 kwa siku.
2. Punguza vyakula vya wanga, mafuta, sukari na protein.
3. Kunywa maji kwa wingi kama 4 litres a day.
4. Kula mboga mboga na matunda kwa wingi
5. Punguza/acha vilevi, soda na jamii yake.
*Utakuja kunishukuru baadae.
NB: Nilikuwa na 100 kg hapo nina 6ft sasa Nina 82 kg na namaintain hizo. Hakuna mchawi ni wewe mwenyewe.
Eti Unasema?Duuuuh kwa mwendo huo ukipunguza hata kilo 3 niite mbwa niko pale nimekaa
Miezi 5 nikafikia 82 kg from 100 kg. Inatakiwa usijitese unafanya ukifurahia.Ulifanya diet kwa siku ngapi?
Mi ME.Una mimba?
Inategemea, mi mpaka sasa nakunywa si chini ya 3ltr a day, tena kwa furaha. Inabidi kujenga mazoea kidogo kidogo.Lita nne za maji kwa siku ni nyingi sana. Kunywa lita mbili tu zinatosha, hata ufikie lita 3 hazibadili chochote kwenye mlinganyo zaidi kuchosha figo kuchuja maji
Mkuu salute sana. Naona hautaki unafiki, nikikimbia mbio huwa narudi kwa daladala
Do not go for it.Sawa! Vipi kuhusu hizo dawa nasikia zipo za kuhalisha mafuta Siku tatu