AdvocateFi
JF-Expert Member
- Jan 15, 2012
- 11,492
- 5,047
Hawa jamaa watatuua,inabidi tulale na mask usoni
kwi kwi kwi kwi! Ha ha ha ha..
We jamaa Mingoi umenivunja mbavu aiseeee.
Last edited by a moderator:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa jamaa watatuua,inabidi tulale na mask usoni
Unatafuta mchawi nyumba ya jirani wakati uchawi unao mwenyewe majirani wakusaidieje kama si kukuchoma moto tu!!!.hivi chadema mnaipeleka wapi nchi?? kwann hamuachi kula nyama za watu???
Chadema mtatumaliza jamani tuoneeni huruma sisi ni binadamu kama nyie.
Ungemalizia hii nayo ni CDM,Mwandosya kuugua maradhi ya ajabu yasiyo na kichwa wala miguu huku wanyamanyafu wakidai it is a war within CCM Hii nayo ni CDM Kweli CDM Mnaiota hata mkiwa na wake zenu vitandani puu!!!13. Mwakyembe kuwekewa taulo lenye sumu ofisini kwake na mwili wake kuanza kutoa unga kama KITIMOTO aliyekomaa
:focus:
​Membe si amekataza watu wasiende dar??????Muda huu yupo safarini anakimbizwa Dar kwa matibabu zaidi baada ya uso wake kuharibika.
---------------------------------------
Hii ndio lugha aliyokufundisha Mama yako kuitumia hadharani?upumbavu mwingine huu
Mwigulu?wapo wengine huku mtaani..
wanaotaka madaraka hata kwa kumwaga damu ni chadema na haya matukio ni mageni na mapya kwa nchi yetu.
huyu nae watazunguka nae jukwaani kuhadaa wananchi kuwa ni CHADEMA wanahusika?
CCM mtamalizana wenyewe hiini hatari sana