Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wangu CCM Taifa, Rais Dkt. Magufuli tafadhali achana na Kauli kama hii katika 'Kampeni' zako kwani zinakuharibia na zinachanganya

Uchaguzi 2020 Mwenyekiti wangu CCM Taifa, Rais Dkt. Magufuli tafadhali achana na Kauli kama hii katika 'Kampeni' zako kwani zinakuharibia na zinachanganya

Kauli inakatisha tamaa. Maana ni kama ikiwa raid chama chako kinakupa pesa kuleta maendeleo hivyo inabidi uzipeleke huko walikokuchagua. Makini cha ajabu hizo fedha za barabara ni za yao unaokataa kuwajengea. Hii ni kauli iliyojaa dhuruma. Nadhani Mkuu alipitiwa tu hawezi kusema hivyo kwa kumaanisha.

Ndio maana watu wako bize mitaani na mambo yao hawana time na uchaguzi wala kampeni
 
"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli

ITV Tanzania / Nipashe

Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Magufuli ni mbaguzi
 
"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli

ITV Tanzania / Nipashe

Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
MAENDELEO ni kodi zetu

Hazikusanywi kwa kadi za vyama vyetu

Tusipewe kwa rangi zetu

Kuchaguliwa/kuchagua ni haki yetu

Kodi ni pesa ya watanzania wote

Wasipochagua chama chako usiwachukie

Wasipokupenda, wakikukosoa, usiwakasirikie

Wanalipa kodi, wapewe maendeleo, magufuli Usiwafokee
 
Wapinzani hawataki maendeleo ya vitu sasa asingekuwepo Kapuya mbunge wa CCM mdai maendeleo ya barabara hiyo barabara isingejengwa.Kasome sera ya Chadema hawana mpango na maendeleo ya vitu ina maana ukichagua mbunge wa Chadema sabau maendeleo ya vitu sababu hatayatafuta sera yake hairuhusu
Wala Dr Magufuli hajakosea
Walipo wabunge wa Chadema apeleke maendeleo ya vitu ya nini? Kuchagua mbunge wa Chadema ni kuchagua sera kuwa watu wa eneo hilo hawataki maendeleo ya vitu sasa kama hawataki unawalazimisha kuwapelekea?
Wewe naye umeshapuuzwa na hoja yako hiyo mfu ila bado unahangaika tu!
 
MAENDELEO ni kodi zetu

Hazikusanywi kwa kadi za vyama vyetu

Tusipewe kwa rangi zetu

Kuchaguliwa/kuchagua ni haki yetu

Kodi ni pesa ya watanzania wote

Wasipochagua chama chako usiwachukie

Wasipokupenda, wakikukosoa, usiwakasirikie

Wanalipa kodi, wapewe maendeleo, magufuli Usiwafokee
Magufuli ni mbaguzi
 
Hizi lugha za kibaguzi zinapendwa sana kutumiwa na mkuu wetu!
Sijui washauri wake wanasemaje au wanashindwa kumshauri aache hizi lugha?
Amefanya upinzani uonekane ni uadui na vita! Kiongozi anatakiwa kuunganisha watu siku zote.
Hii kauli ya 'maendeleo hayana vyama' sijui kwanini tunadanganywa!
 
Mleta mada Magufuli yuko sahihi ukichagua mbunge wa Chadema ujue hutaki maendeleo ya vitu iwe barabara shule hospital nk

Sababu sera yao hawataki vitu Na wako wazi .Uchaguzi ni kuchagua sera sio mtu tu

Ukichagua Chadema ni ujumbe kwa serikali kuwa eneo hilo hamtaki vitu na Raisi anawajibika kuheshimu maamuzi yenu kwa kutoleta vitu iwe barabara au mradi wowote
Wewe jamaa una akili kweli?Halafu unaweza ukakuta una familia kabisa,wewe ni mzigo hadi kwa watoto wako!Sijui utawafundisha nini!
Nimeshangaa sana!
 
"Leo tutakubaliana?, kwa sababu siku nyingine huwa nawaeleza halafu hamfuati,niliwaambia mnichague mimi mkasema sawa, nikawaambia mnichagulie na mbunge wa CCM hamkunichagulia,nataka niwaeleze ukweli wala siwafichi asingekuwa Kapuya hii barabara nisingeijenga...mambo ndivyo yanavyokwenda hivyo".Dkt.Magufuli

ITV Tanzania / Nipashe

Hivi nyie mlio karibu nae akina Dkt. Bashiru Ali na Mzee Philip Mangula kwanini msishauri aachane na Kauli za 'Kibabe' kama hizi? Tunachoka sasa!!
Wewe kila siku unamuunga mkono Lissu, leo unasema Magufuli ni m/kiti wako, siyo unafiki wa siasa? Ukweli Magufuli hafai, lakini ni bora kuliko waliopita na Lissu hafai zaidi!
 
Mleta mada Magufuli yuko sahihi ukichagua mbunge wa Chadema ujue hutaki maendeleo ya vitu iwe barabara shule hospital nk

Sababu sera yao hawataki vitu Na wako wazi .Uchaguzi ni kuchagua sera sio mtu tu

Ukichagua Chadema ni ujumbe kwa serikali kuwa eneo hilo hamtaki vitu na Raisi anawajibika kuheshimu maamuzi yenu kwa kutoleta vitu iwe barabara au mradi wowote
Kaka YEHODAYA kwa mantiki hii, bhasi kama anawapatia watu kulingana na sera waliochagua i.e waliochangua upinzani bhas awapatie yale ya ilani ya upinzani!
Kwanini msumeno ukate upande mmoja?
Mimi binafsi nlikuwa namuona JPM bonge la genius lakini kiukweli am very disappointed!
Ni mweupe mno....if you know what am saying!
 
TBC, Chanel ten na ITV naomba wakati wa marejeo ya taarifa ya habari, habari ya Urambo msikate sehemu zenye MAELEKEZO ya Mgombea.
 
Tafuta mchi yako na wewe uiongize kwa upole,usimrekebishe MUNGU alichoumba wala usimlaumu MUNGU kwa kuwaumba waTanzania hawa ambao ukiwabembeleza wanakuvuruga akili
 
Back
Top Bottom