Pole sana,usimwamini mtu kwamuonekano wa njeNyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.
Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.
View attachment 2897819
Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.
Hana uzuri wowote ndugu alikuwa malaya huyo wewe ukadhani bint wamaanaNyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.
Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.
View attachment 2897819
Hiki ndo naendelea nacho kwa sasa.
Mkuu hapa Nina Azuma vidonge 6 nakunywa kwa siku sita. Na hizo zingine zingine sasa.Kunywa vidonge viwili vya Azuma,
Nenda dukani chukua cefixime 400mg, kidonge kimoja,
Kunywa kwa pamoja,
Kisha kaa siku 5 bila sex, usije muambukize mwenzako,
Kisha maisha yaendelee siku ya 6
Kweli mkuu, nilikutana na Malaya.Hana uzuri wowote ndugu alikuwa malaya huyo wewe ukadhani bint wamaana
Ajali kaziniπππ pole sana
Sasa kwanini unalalamika mpk umeleta uzi?Ajali kazini
Nilikuwa sina, baada ya kutembea nae ndo nimepata.Kwa hiyo wanaume huwa hamna UTI mnaambukizwa na wanawake tu
π€£π€£βοΈUtakula ulikopeleka mboga
Ahsante kwa hiloPole sana,usimwamini mtu kwamuonekano wa nje
ππ€£π€£βοΈ
Dah πSure. Nilitumia hii:
Ceftriaxone 1gm OD 3/7
Nyie wanawake mbona hamjijali kiasi hiki, Msichana unaonekana mzuri kwa nje ila kwa ndani ni balaaa una magonjwa kama yote.
Nilikutana na ka Binti kazuri nikakaamini nikakapelekea moto kavu kavu, leo siku ya nne nimeanza kusikia maumivu kila nikikojoa pia natokwa kama usaha nikikojoa, sijui ndo UTI sijui Gono.
ππSasa nani asiyejijali hapa, wewe uliyepiga kavu au huyo mdada?
Wiki nne zijazo pima ngoma...
πππCheki na umeme mkuu, ili kama unao uanze dozi mapema usisubiri mpaka mda uende
DuhRip in advance