Mwezi wa Ramadhani umeingia Masheikh wako Jela

Nakumbuka sn hicho kipindi mkuu

Walikuwa wanamfamya sn ziara mikoani Wenyewe wanaita daawa

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Hivi leo shehk Abubakari zuberi akiamua kuzishawishi mamlaka kua waislamu fulani na fulani wawekwe jela hilo wewe litakupa wasiwasi?

Kwa wanaoelewa halitowapa wasiwasi hata wewe pia halitokupa wasiwasi kwa sababu hao wanaotambulika na mamlaka kua ni sehemu ya taasisi fulani hao ndio washiriki wao katika kufanikisha mambo yao

Iko hivo
 
Masheikh wapunguze ujuaji huwezi kumuita binadamu mwenzio kafiri

Hata Kama binadamu ana dhambi kazi ya kuhukumu aachiwe MUNGU pekee
 
Kama ni dua zao mbona hazijampata kikwete aliyewalundika humo gerezani
 
Kama aliyewaweka jela ni mwenzao dini moja sisi hatuwezi kuwatoa labda mama ambae ni mmoja wao
 
Sheikh Abubakari Zuberi ana mamlaka yeyote ya kumuweka mtu ndani? Unadhani hapa kwanini sikumtaja Pengo au sheikh Simba?
 
Kipindi kile hali ilikuwa inatisha, watoto walikutwa wamefichwa kwenye manyumba huko tanga,morogoro,n.k kazi ilikuwa ni kuwalisha mafunzo jamaa walijipanga, ni bora wakae tu huko na wenye mamlaka wakijichanganya tu basi huenda hali itakuwa ni mbaya kuliko ya awali.kwa sasa hali sio mbaya mana hata mihadhara ya kipuuzi hakuna, hata kwenye vibanda sisikii wala kuona vi cd vyao,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wapi niliposema shehk Abubakari ana mamlaka ya kumuweka mtu ndani?
HAta hiyo ya kushawishi tu; kwenye sheria hao vingozi wa dini ni raia kama sisi so kwanini useme eti sheikh Abubakari ashawishi fulani na fulani wawekwe ndani?
 
Kwanini hizo dua wasisomewe JK, BILAL, SHEIN na IDD waislam wenzao ambao ndio waliwakamata?

Kuna mambo sio ya kufanyia siasa na mzaha. USALAMA WA NCHI ni moja wapo. Katika nchi au jamii yoyote, UGAIDI ni jambo la kuogopwa sana. Uhalifu wowote unaviashiria fulani. Ugaidi ni uhalifu ambao viashiria vyake ni mahubiri ya chuki, ubaguzi, vurugu na utiifu wa mamlaka na utaratibu wa maisha. Sasa usipovidhibiti mapema, vinashamiri na kuwa vikundi vya kigaidi. Hawa masheikh walikuwa wanapinga serikali, vyama vyote vya siasa, demokrasia kwao ni ushetani, njia yao ni kuwataka wazanzibar kutumia maandamano na vurugu. Mf walikuwa wakishusha za cuf na ccm na kupandisha zao, wanachapa bakora wanawake wasiovaa kiislam. Hivi wangeachwa hawa si ni AL SHABAB nyingine?
 
Mnao waoneaga huruma hawa magaidi hivi hamfuatilii kinachoendelea Msumbiji jinsi majitu type hii yanavyo chinja wenzao. Kuweni serious bhana

Kama ni kweli waliyokuwa wanafanya basi hawa watu inabidi waendelee kukaa ndani ,ugaidi ni hatari sana..Magaidi hawafai kuishi maana atthari zao ni kubwa sana wakiachwa uraiani.
 
Mimi mtu akiniita kafiri lazima nmkafilue kidogo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…