Mwigulu: Aliyetaka kuwashusha matajiri waishi kama masikini alikuwa na ''Sadist mind''

Mnafki mkubwa,angeongea wakati ule aliokua anasifu...mla punda wahed.
 
Mtihani mkubwa kuongoza hizi nchi za dunia ya tatu. Mpina ajipange kwani 2026 anaweza asiwemo bungeni.

Jina lake linaweza kuchinjiwa baharini akajikuta ananuna mpaka anazeeka.
 
lakini ndio huyohuyo alimpa uwaziri na alikula nchi sana kipindi chake.
 
Haya mambo ya DP WORLD ukiwa serious nayo usiku unaweza iacha mbususu ya mkeo ili ukaharibu mabango ya mama Samia
 
Usije ukawa unaanza kuchanganyikiwa mkuu maana Hata vichaa huanza kuongea na watu ambao hawawaoni
 
Leo Yuko na Samia anamponda aliyepita , na Samia akipita atampondea kwa ajaye, utaskia Yule bibi alituuza watanganyika , atuombe radhi huko aliko!!

NB. ukiwa na rafiki mwanasiasa usimwamini , ishi nae kimachale !!
 
Leo Yuko na Samia anamponda aliyepita , na Samia akipita atampondea kwa ajaye, utaskia Yule bibi alituuza watanganyika , atuombe radhi huko aliko!!

NB. ukiwa na rafiki mwanasiasa usimwamini , ishi nae kimachale !!
Kwani hapo kamponda nani?
 
Hiyo ni ndoto ya mchana inayosukumwa na sukuma gang emotions.

Sahaun kuhusu hilo. Nchi iko vizuri na uongozi huu ni mzuri mara 100 kuliko ule wa jiwe. Jiwe alikuwa mwehu, mbaguzi na mbinafsi.
[emoji23] [emoji23] Kwa sababu alikuwa anakubutua bure ndio unaona alikuwa mwehu?
 
Sasa hizo ndiyo unaona ni fadhila wakati huo ni udhaliloshaji?? Jiwe alikuwa mshamba sana. Acha atukanwe na kila mtu
Mshamba wakati ulikuwa una mpa papa yako?
 
Mwendqzake akimaanisha matajiri wa Tanzaniq waliotokana na rushwa na wizi anbao walikuwa wengi kipindi kile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…