Mwigulu Nchemba ang'aka kuagiza mabasi 60, asema hana biashara hata ya bajaji


Ni hivi, Lowassa alikuwa mwizi, na alipewa nafasi ya kugombea na viongozi wa CDM kwa kuwahonga na sio kwamba alikuwa msafi. Huyo Mwigulu ni mwizi na asitegemee kukanusha ndio atakuwa sio mwizi. Kama yuko madarakani kwa wizi wa kura na anasema alishinda kwa kishindo, unaweza kumwamini kwa lolote?
 
Kuwa tajiri au kumiriki mali sio kosa na wala sio tatizo ni haki yake. Ila wanachemka pa dogo tu kuchanganya ofisi na biashara zao
Kisheria tunafahamu hawatakiwi kuchanganya nafasi zao na biashara.
Lakini wanafanya biashara tena kubwa tu na wannandika majina ya ndugu au rafiki zao
 

Umezunguka Seema ni chadema tu. Maana furaha yako uiseme chadema.
 

Umejuaje Ni uongo?
 
Nani kakwambia Tanzania ni maskini? Wewe ndo mjinga sasa
Wewe ni mjinga wa mwisho, Tanzania sio nchi maskini? Au unavyoambiwa Tanzania ni maskini unafikiri hadi kina bakhressa na Mo ni maskini? Au unavyoambiwa Marekani ni nchi tajiri unafikiri kila mtu ni tajiri?

Mjinga wa mwisho kabisa wewe
 
Kwamba yeye miaka yote ya ubunge na uwaziri hana uwezo wa kumiliki bus?
Aache uongo wa kindezi!!
 
Una upumbavu hadi sio poa....nchi yetu sio maskini sema watu ndio maskini huku wanasiasa kama mwigulu kutumia hiyo kauli ya "wananchi maskini" kula na vipofu.
Wewe ndio umezidisha kuwa mpumbavu, Sasa kuna nchi bila watu? Au unafikiri kinachofanya nchi kuwa maskini ni nn Kama sio watu? Au unafikiri ni criteria gani hupimwa kwa nchi kuwa maskini au tajiri? Wanaangalia kipato Cha mtu/watu na ndio huja na data Kama nchi ni maskini au tajiri.
 
Kwa hiyo umekubali kuwa viongozi wa chadema walinunuliwa?
 
Wapi imeandikwa kuhusu watoto wa mawaziri wasome shule fulani? Hizo ni roho cha kichawi na umaskini.

Kiongozi ni mfano. Huwezi kukaribisha watu chakula nyumbani kwako halafu usile ukaagiza chakula hotelini.
 

Tofautisha utajiri wa raslimali za nchi na utajiri wa mwananchi mmoja mmoja.
 
Biashara za watumishi nyingi hazijiendeshi kwa hela ya biashara bali kodi zetu thus wakistaafu na biashara ustaafu. Unategemea kuendesha daladala kwa mafuta ya serikali
Tunajua sana wanajificha kwenye biashara na majina ya wengine!
 
Jibu swali wapi imeandikwa watoto wa waziri wasome shule fulani?
Ninyi Ndiyo mnaowapa kibri viongozi cha kutumia ovyo rasilimali za taifa na kuwafanya Wananchi wajinga.

Kama kiongozi unatuaminisha kuwa huduma za jamii kama vile shule na hospitali ni nzuri, aoneshe kwa vitendo kwa kuzitumia hizo huduma, "ila kama hazitumii huu ni ulaghai wa kiwango cha juu"

Tufike mahali sisi Wananchi tukubaliane na tuanze kuwashinikiza Hawa viongozi kuwa kama kweli wanasema huduma hizi ni bora na tuone nao wanazitumia, tuache kudanganywa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…