Mwigulu Nchemba kuongoza Wizara ya fedha ni pigo kubwa kwa Wafanyabiashara na Walipa kodi

Mwigulu Nchemba kuongoza Wizara ya fedha ni pigo kubwa kwa Wafanyabiashara na Walipa kodi

Kwa Lameck haijakaa sawa, ila hongera madame President kwa kufuata katiba
 
Mwigulu nchemba ee njoo huku ujibu tuhuma ,member wenzio tunakudic huku kama vipi change mwamba tutakuchomesha mahindi bure uanze laumu na kulia lia humu shauri zako!
 
Tumwache afanye kazi kwanza tusimhukumu kwa ambayo hata hajatenda
 
Wanasema mchawi muachie mtoto amlee...trust me mwigulu atayaibua magenge yote ya wapigaji ili amkonge moyo mama...kumbuka hulka yake ya kupenda sifa...huyu mama hamjui...anacheza karata zake vzr sana
 
Mke wake ester naye anafanya biashara ya usafirishaji wa abiria dar kwenda kule arusha.ester safari coach. Alipe kodi
 


Kisemwacho kwenye jukwaa la siasa sio cha kulalia mlango wazi. Kuna watu wamewahi kuwekwa na CDM kwenye “list of shame”, lakini waliishia kuwa wapeperusha bendera wa CDM miaka kadhaa baadaye!
 
Economist kama Mpango, seems hujui hilo.
Asante kwa kunijuza, basi mamlala yake ya uteuzi ilikua inamuharibia taaluma yake maana alipelekwa kwenye wizara ambazo hazihusiani na taaluma yake
 
Mama kwa Mwigulu amechemka tena vibaya mnooo
Kawekwa pale kimkakati zaidi, ili iwe rahisi kwa ccm kuchota hela wakati wa uchaguzi,.hii kazi anaijua vizuri alishaifanya kipindi cha hiko akiwa naibu waziri wa hiyo wizara, rejea andiko la mkapa, wizi wa EPA.
 
Kawekwa pale kimkakati zaidi, ili iwe rahisi kwa ccm kuchota hela wakati wa uchaguzi,.hii kazi anaijua vizuri alishaifanya kipindi cha hiko akiwa naibu waziri wa hiyo wizara, rejea andiko la mkapa, wizi wa EPA.
Nimeelewa
 
Humjui mwigulu wewe
Vumilia aharibu apigwe chini,usuuzike nafsi yako.
Kwanza mnasemaga CCM na serikali yake yote ni mbaya,hata akitoka Mwigulu akaja mwingine bado mtamuona mbaya.
Usisahau hii ni serikali iliyompiga za uso Chadema kwa kura nyingi za halali uchaguzi wa 2020!!,,si ndio bwashee[emoji23][emoji23]
 
Vumilia aharibu apigwe chini,usuuzike nafsi yako.
Kwanza mnasemaga CCM na serikali yake yote ni mbaya,hata akitoka Mwigulu akaja mwingine bado mtamuona mbaya.
Usisahau hii ni serikali iliyompiga za uso Chadema kwa kura nyingi za halali uchaguzi wa 2020!!,,si ndio bwashee[emoji23][emoji23]
CR_millard_ayo_on_Instagram:_““Waziri_wa_Fedha_(Mwigulu_Nchemba)_umepewa_kigezo_hapa_cha_Trili...jpg
 
Wakuu naomba kutangaza kwamba ninayo maslahi kwenye suala hili maana mimi ni mfanyabiashara wa ndani na nje ya nchi , ni mlipa kodi

Kwa takribani miaka sita sasa Sisi wafanyabiashara wa nchi hii tunahenya , makadirio ya kodi kubwa , vitendea kazi tunavyoagiza kutoka nje ya nchi zikiwemo matirio za kutengenzea bidhaa kodi tunayotwangwa kwenye bandari ya Dar es Salaam haina urafiki wowote ule , kwa ujumla Wafanyabiashara wakubwa kwa wadogo ambao ndio walipa kodi wa kutegemewa kwenye nchi hii Wamegeuzwa kuwa maadui , hakuna asiyeelewa hiki ninachoandika hapa , hela zetu zimeng'olewa kwenye akaunti za benki bila hata maelezo yoyote .

Kwa mtu katiri na mwenye mihemko na visasi kama Mwigulu kupewa Wizara hii ni pigo kubwa kwa wafanyabiashara , wenye viwanda , wazalishaji na wasambazaji wa bidhaa nchini , kuna hatari ya vyuma kukaza zaidi .

Wizara hii muhimu ilihitaji Waziri msikivu asiyejikweza kwa kiburi cha madaraka , inahitaji waziri atakayekaa na wafanyabiashara na anayeamini katika majadiliano , ingekuwa vema Waziri wa fedha atokane na Walipa kodi wanaofahamu ugumu na umuhimu wa kulipa kodi , huyu Mwigulu hajui lolote kuhusu mambo haya , ataleta shida zaidi .

Itaendelea ........
CCM mbele kwa mbele
 
Back
Top Bottom