dolevaby
JF-Expert Member
- Aug 25, 2013
- 12,958
- 9,516
Huu ni ukweli mchungu hao wapuuzi wanaopenda kujiita wasomi ni waoga wa maisha hujawahi kuwaza wako tayari kutukuza wanaume wenzao ili wateuliwe jinga haoNilichogundua watz wengi wana ugonjwa wakutojiamini hususan wasomi walioko kwenye kitengo.mtanzania alieishia std 7 anajiamini sna kuliko yule aliyegrduate.fanya tafiti.kuna haja kurekebisha elimu yev