Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 15,101
- 56,054
Safi sana, huu ndo uongozi sasa tunaoutaka.
Watanzania hatutaki dhulma na uonevu
Watanzania hatutaki dhulma na uonevu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuwa mtu yuleMagu aliharibu sana hii nchi!!
Za kuambiwa changanya zako..Taarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba.
Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.
Mhesh Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.
Hapa kazi tu & Zege halilali
MCL
mamaaanze na CRDB malalamiko ya upotevu wa pesa yanazidi kila kukicha
Mchukua pesa za watu amelala mbeleTaarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba.
Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.
Mhesh Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.
Hapa kazi tu & Zege halilali
MCL
Hakuwa mtu yule
Jee na pesa zinazo ingia pia?Taarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba.
Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.
Dkt. Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.
Hapa kazi tu & Zege halilali
MCL
Wamethibitisha kuwa walikua wanachukua pesa za wanachi kwenye account zao na kuwabambikia kesi za uhujumu uchumi
Wewe uko na kiasi ngapi cha pesa nyumbani mkuu...!?Taarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba.
Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.
Dkt. Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.
Hapa kazi tu & Zege halilali
MCL
aanze na CRDB malalamiko ya upotevu wa pesa yanazidi kila kukicha
juzi nimechek balance nimekuta nimepigwa panga.jirani yangu nae kuna withdraw zaidi ya nne zisizoeleweka mwezi marchUmepungua sana baada ya kupunguzwa jamaa zetu wale wanaoabudu fedha kutoka kuleeee
Rais kasema pesa zilikuwa zinachukuliwa kwa nguvu bila ridhaa ya mteja wala bank managerHazitachukuliwa na nani kwani! Tena kinyume cha utaratibu?
Na nani Bwashee! Na kwa sababu zipi huyo mtu/taasisi achukue/ichukue hela za mtu pasipo na ridhaa yake?Rais kasema pesa zilikuwa zinachukuliwa kwa nguvu bila ridhaa ya mteja wala bank manager
Yale majambazi ya jiweHazitachukuliwa na nani kwani! Tena kinyume cha utaratibu?
Magu aliharibu sana hii nchi!!
Ilibaki kidogo jini litoke kwenye chupa maana hata hiyo Tiss yenu ilishazungukwa na Jini ilikuwa tayari mfukoni mwa jini tumshukuru Mungu kwa kulinyima Jini mbinu ya kurithishaMagu aliharibu sana hii nchi!!
These days biashara ni cash kwa cash. Mtu yupo radhi mkutane uchochoroni umkabidhi kijibegi chenye milioni 30 kuliko mambo ya kuziweka bank then zipigwe pin mpaka ukaseme umezitoa wapi na kama TRA ushawapa chao..Tulishanunua vibubu, hela tunaweka ghalani.