Mwigulu Nchemba: Wafanyabiashara msiogope kuweka fedha benki hazitachukuliwa

Mwigulu Nchemba: Wafanyabiashara msiogope kuweka fedha benki hazitachukuliwa

Hata kwenda kuchukua pesa zako ulizoweka mwenyewe unapigwa Interview kama unaomba kazi

Sijui unachukua z kazi gani, ulizipata wapu…hawaulizi ukiweka wanauliza siku ukichukua

Matokeo yake watu wakaanza kuweka fedha zao kwa Ma Sheikh Waaminifu wa Mjini interms of foreign currency!
Mimi ni victim wa hii kitu, just three weeks ago, ni pesa ya kazi na ilizuiliwa kwa zaidi ya two days wakitaka mkataba na aiana ya kazi naenda kufanya
 
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba.

Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.

Dkt. Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.

Hapa kazi tu & Zege halilali

MCL
Mwambieni Mwigulu Nchemba aache mbwembwe.


Nilini Serikali itarudisha Pesa ya iliowanyang'anya pesa zao??? Wengine wamekufa kwa presha sababu ya pesa zao kubebwa, wameacha wajane, watoto n.k



Ni Lini serikali itawarudishia pesa zao???


AANZIR HAPA KWANZA....HAYA MENGINE NI MBWEMBWE.
 
Na nani Bwashee! Na kwa sababu zipi huyo mtu/taasisi achukue/ichukue hela za mtu pasipo na ridhaa yake?
Na nani Bwashee! Na kwa sababu zipi huyo mtu/taasisi achukue/ichukue hela za mtu pasipo na ridhaa yake?
Taskforce ya kukusanya pesa za kununua ndege, ujenzi wa uwanja Chato na SGR
 
Wakirudisha walizoiba ndo tutakua na imani nao... Othrewise vibubu ndo habr ya mjini kwa sasa!
 
Zile pesa zote walizoibia wafanyabiashara huko kwenye mabenki inabidi wawarudishie wafanyabiashara ama sivyo inatakiwa washitakiwe kwa wizi wa
uporaji.
Kwa kuanzia ni kuzishitaki bank husika kwa kutoa fedha zako bila idhini ya mteja baada ya hapo bank na TRA watajuana.
 
These days biashara ni cash kwa cash. Mtu yupo radhi mkutane uchochoroni umkabidhi kijibegi chenye milioni 30 kuliko mambo ya kuziweka bank then zipigwe pin mpaka ukaseme umezitoa wapi na kama TRA ushawapa chao..
Sisi wenye nyumba za kupangisha, awamu ya nne ilikua unamwambia mpangaji aweke kodi bank kila mwezi. Yalipoanza haya ya account kupigwa pin, unamwambia mpangaji akusanye kodi ya mwaka akupe mkononi. Tena unampa punguzo la miezi miwili, kama ni laki mbili kwa mwezi akikupa milioni mbili unashukuru.
 
Za kuambiwa changanya zako..

Usimuamini mwana siasa hata siku moja..
Hapana huu si wakati wa kudhoofisha kwa mawazo hasi.

Sidhani kama ndani ya kipindi hichi kutakuwa na yaliyotokea. Tunahitaji mzunguko wa fedha urudi.

Watu waziamini bank zao na fedha zao. Bank ziweze kutoa mikopo hata kwa watu wa chini.
 
Mimi ni victim wa hii kitu, just three weeks ago, ni pesa ya kazi na ilizuiliwa kwa zaidi ya two days wakitaka mkataba na aiana ya kazi naenda kufanya
Mkuu mimi nakomaa kuweka ndani tu, bank siweki zaidi ya Milioni 3.
 
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba.

Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.

Dkt. Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.

Hapa kazi tu & Zege halilali

MCL
Kwani Mwigullu Nchemba ni Chadema?
 
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba.

Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.

Dkt. Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.

Hapa kazi tu & Zege halilali

MCL
Ndio waziri anaona leo kuwa walikuwa wanawapiga waganya biashara hela sio.
Ukiwa na hela benki ishageuka dhambi [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hili tamko waandikiwe kabisa mabenki waandikiwe kabisa TRA wamedsababisha shida kwa wafanyabiashara mfano unadaiwa kodi umepewa order ya mzigo mteja anaweka pesa kwenye Akaunti ili umtumie mzigo au umnunulie TRA wabazibeba !!!

St Jude secondary Arusha walibeba ada za wanafunzi na ni shule ambayo wafadhili ndio hulipia wanafunzi wanaotoka familia maskini

Benki madalali wa mazao hadi wanaziogopa sababu unapewa mzigo uuze kisha umpe tajiripesa yake ukiuza umpe wakikuta pesa benki wanasomba unaonekana mtakatisha pesa au mkwepa kodi
Income badala ya kuangalia business wanaangalia hela zinazoingia kwenye account na ku zi treat kama income wakati pesa ni za customer unayemuwekea kama dalali au aliyekutumia umnunjlie mzigo
Hili la kuangalia deposts na kuziona kama business income na kudai maelezo na ku zi treat kama money laundering si sahihi zina scare depositors
 
Taarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba.

Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.

Dkt. Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.

Hapa kazi tu & Zege halilali

MCL
Kwanza atwambie zile fedha zetu za kigeni tunarudishiwa lini?
 
Jee, rasilimali za Bearue d' Change $$$$ watawarudishia ??????????? Jamani mitaji na capital za wateja !!
Hebu fanyeni huruma na haki....
 
Back
Top Bottom