Mwigulu Nchemba: Wafanyabiashara msiogope kuweka fedha benki hazitachukuliwa

Mwigulu Nchemba: Wafanyabiashara msiogope kuweka fedha benki hazitachukuliwa

Watu woote wakiamua wasipeleke pesa bank kitakachoikuta TZ ni kibaya zaidi ya kuwa na imani kuwa serikali itazikomba hizo pesa.
Za kuambiwa changanya na zako. Kitu gani kina kupa uhuru wa ma bank kwamba hazito ingiliwa ?
 
Watu woote wakiamua wasipeleke pesa bank kitakachoikuta TZ ni kibaya zaidi ya kuwa na imani kuwa serikali itazikomba hizo pesa.
Kwaiyo ni bora kupeleka bank pesa ambayo huna uhakika nayo wa kesho kuwa yako tena ?
 
Hapana mkuu,
kwa mujibu kwa mkurugenz wa uchaguzi.

Jamaa alikosea kujaza fomu[emoji28]
Lakini si alikuwa na PhD? Ameshindwa kujaza fomu kweli au mizengwe ya mkurugenzi wa uchaguzi tu? Vipi rufaa mkuu?
 
Hv mtu unaweka pesa CRDB unatarajia nn
Duuh... yaani Mkurugenzi mwenyewe wa CRDB alikuwa kila siku yeye ni kwenye misafara ya Rais, mpaka labda akasahau hata kujua linaloendelea na majukumu yake ya msingi kwenye Benki yake.
 
'… Please transfer the availabe balance of Account no..... to consolidated Account no. Maintained at the Bank of Taiwan (BOT) …'

Wangeanza kwa kuwarudishia chao waliofanyiwa hivyo

Mungu anasema hamsamehi Dhulumati hadi asamehewe na aliowadhulumu…

Tumtakie kheri Mchapakazi na Mzalendi wetu huko alipo kwa kurudisha za waliochukuliwa kinyume na haki
Da Mkuu hata wewe leo wa kuyasema haya?
 
Daadaaadeeekiiii!
Zitakaa kwenye chungu hapa mchagoni, mpaka nitakapojidhirishia upepo umebadilika kweli.

Nchi ilijihalalishia unyang'anyi wa kidola!

Everyday is Saturday............................... 😎
Halafu mtu kwenye kanpeni anakwambia nchi mkiwapa wapinzani mnaikabidhi kwa wanyanganyi na mabeberu.
 
Enzi zile zilikuwa zinachukuliwa,, si umemsikia mama juzi?
Task force ilikuwa inafanya yake.
Sasa imebaki hadithi ndo maana anajirudi.
Nimpe tu tano zake, ameongea vizuri.
 
Halafu mtu kwenye kanpeni anakwambia nchi mkiwapa wapinzani mnaikabidhi kwa wanyanganyi na mabeberu.
Weeh ogopa beberu mweusi! Ni mpigajii!
Hela benki kwa sasa watu wenye akili timamu tutauza ng'ombe na mipunga na hela zitakaa ndani ya nyumba, tunamoishi, wapi hata kwenye zizi la ng'ombe nafukia..
Mie nihangaike maporini wao wazikwapue tu, eti kisa sina ushahidi wa kuuza ng'ombe kwa EFD.😂

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Kwaiyo ni bora kupeleka bank pesa ambayo huna uhakika nayo wa kesho kuwa yako tena ?
Jibu ni Hapana! ila uchumi ukidondoka hizo pesa hazina maana kibiashara tena. Labda ziwe ni dola, na kama ni dola si utahitaji kuzibadili siku moja? In long run ni lazima tuaminiane serikali na wafanyabiashara unless Labda kama ni hela chache chache.

Kama utaficha pesa na serikali inadanganya na inampango mmbaya in long run huwezi toboa unless ww ni mfanya biashara mdogo au wa kati.

Kwa biashara kubwa hakuna namna zaidi ya kuonyesha kuwa kuna utayari wa kuiamini tena serikali. Ikisaliti basi watakuwa wajinga first class kuua biashara nchini.

Ts okey to trust Banks once again kwa ajili ya uchumi wetu,. Ila kama masuala yako ya kodi yapo vibaya ni sawa ukiwa na shaka na kuyasuluhisha kwanza.
 
Jibu ni Hapana! ila uchumi ukidondoka hizo pesa hazina maana kibiashara tena. Labda ziwe ni dola, na kama ni dola si utahitaji kuzibadili siku moja? In long run ni lazima tuaminiane serikali na wafanyabiashara unless Labda kama ni hela chache chache.

Kama utaficha pesa na serikali inadanganya na inampango mmbaya in long run huwezi toboa unless ww ni mfanya biashara mdogo au wa kati.

Kwa biashara kubwa hakuna namna zaidi ya kuonyesha kuwa kuna utayari wa kuiamini tena serikali. Ikisaliti basi watakuwa wajinga first class kuua biashara nchini.

Ts okey to trust Banks once again kwa ajili ya uchumi wetu,. Ila kama masuala yako ya kodi yapo vibaya ni sawa ukiwa na shaka na kuyasuluhisha kwanza.
Serikali inatakiwa ijiaminishe kwa wafanya biashara, kisheria kwa kutengua sheria kadhaa za kodi ambazo ni kandamizi. Ikiwemo hiyo ya kuwapa TRA nguvu za kufungia account kunatakiwa kuwa na procesure ya kimahakama iliyo huru tena pasipo sheria ngumu
 
Dah ila kusema kweli Magu aliumiza sana watu japo kuna mambo mazuri pia aliyofanya.
Mzee alikuwa sadist aisee jinsi mkilalamika kuumia ndo anazidi kukaza sijui alikuwa ana roho gani, dah Mimi niliacha kumfatilia mda mrefu Sana, utawala wake ulikuwa na machungu mno, lisipokukuta wewe Basi ndugu yako ana msala mzito, Mara watu wavunjiwe nyumba kah
 
Back
Top Bottom