Mwigulu Nchemba: Wafanyabiashara msiogope kuweka fedha benki hazitachukuliwa

Mwigulu Nchemba: Wafanyabiashara msiogope kuweka fedha benki hazitachukuliwa

Taarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba.

Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.

Dkt. Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.

Hapa kazi tu & Zege halilali

MCL
Hapa Kazi tu,Zege Halilali au Zege Halilali,Hapa Kazi tu.
 
Kwa kuanzia ni kuzishitaki bank husika kwa kutoa fedha zako bila idhini ya mteja baada ya hapo bank na TRA watajuana.


Ni sahihi kabisa mkuu kwani banki kisheria ndio iliyobeba dhamana ya kuhifadhi na kulinda fedha za wateja.
 
Hili tamko waandikiwe kabisa mabenki waandikiwe kabisa TRA wamedsababisha shida kwa wafanyabiashara mfano unadaiwa kodi umepewa order ya mzigo mteja anaweka pesa kwenye Akaunti ili umtumie mzigo au umnunulie TRA wabazibeba !!!

St Jude secondary Arusha walibeba ada za wanafunzi na ni shule ambayo wafadhili ndio hulipia wanafunzi wanaotoka familia maskini

Benki madalali wa mazao hadi wanaziogopa sababu unapewa mzigo uuze kisha umpe tajiripesa yake ukiuza umpe wakikuta pesa benki wanasomba unaonekana mtakatisha pesa au mkwepa kodi
Income badala ya kuangalia business wanaangalia hela zinazoingia kwenye account na ku zi treat kama income wakati pesa ni za customer unayemuwekea kama dalali au aliyekutumia umnunjlie mzigo
Hili la kuangalia deposts na kuziona kama business income na kudai maelezo na ku zi treat kama money laundering si sahihi zina scare depositors
Mwee! Wewe si ulikuwa mstari wa mbele wa kwaya ya kusifu na kuabudu ya mtakatifu jiwe? By the way komredi jamaa yenu amepaga uongozi wa malaika au kura hazijatosha? Nasikia uchaguzi ulikuwa Jana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hili tamko waandikiwe kabisa mabenki waandikiwe kabisa TRA wamedsababisha shida kwa wafanyabiashara mfano unadaiwa kodi umepewa order ya mzigo mteja anaweka pesa kwenye Akaunti ili umtumie mzigo au umnunulie TRA wabazibeba !!!

St Jude secondary Arusha walibeba ada za wanafunzi na ni shule ambayo wafadhili ndio hulipia wanafunzi wanaotoka familia maskini

Benki madalali wa mazao hadi wanaziogopa sababu unapewa mzigo uuze kisha umpe tajiripesa yake ukiuza umpe wakikuta pesa benki wanasomba unaonekana mtakatisha pesa au mkwepa kodi
Income badala ya kuangalia business wanaangalia hela zinazoingia kwenye account na ku zi treat kama income wakati pesa ni za customer unayemuwekea kama dalali au aliyekutumia umnunjlie mzigo
Hili la kuangalia deposts na kuziona kama business income na kudai maelezo na ku zi treat kama money laundering si sahihi zina scare depositors
Mmmmh, yamekuwa hayo tena? Wewe nyoko wewe si ulikuwa unashabikia upumbavu kila uchao? Leo umekuwaje tena? Unaona MATAGA msivyokuwa na akili?
 
Dah! Nchi ngumu Sana hii
IMG_20210313_204658.jpg
 
Kiukweli hii meseji imeumiza wengi Sana[emoji26][emoji116]
"'… Please transfer the availabe balance of Account no..... to consolidated Account no... Maintained at the Bank of Taiwan (BOT) …"
 
Mwee! Wewe si ulikuwa mstari wa mbele wa kwaya ya kusifu na kuabudu ya mtakatifu jiwe? By the way komredi jamaa yenu amepaga uongozi wa malaika au kura hazijatosha? Nasikia uchaguzi ulikuwa Jana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hapana mkuu,
kwa mujibu kwa mkurugenz wa uchaguzi.

Jamaa alikosea kujaza fomu[emoji28]
 
Mwee! Wewe si ulikuwa mstari wa mbele wa kwaya ya kusifu na kuabudu ya mtakatifu jiwe? By the way komredi jamaa yenu amepaga uongozi wa malaika au kura hazijatosha? Nasikia uchaguzi ulikuwa Jana[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wagombea wengine ni saddam, gadafi, amin dada, hitler, nkuruzinza, mobutu, kabila, bokasa, abacha, mugabe
 
Hapana huu si wakati wa kudhoofisha kwa mawazo hasi.

Sidhani kama ndani ya kipindi hichi kutakuwa na yaliyotokea. Tunahitaji mzunguko wa fedha urudi.

Watu waziamini bank zao na fedha zao. Bank ziweze kutoa mikopo hata kwa watu wa chini.
Za kuambiwa changanya na zako. Kitu gani kina kupa uhuru wa ma bank kwamba hazito ingiliwa ?
 
Back
Top Bottom