Utawala wowote wa ccm hakuna siku utafaa katika nchi hii, wao ndio mchawi anayekuloga kisha tena kujifanya kukuagua.
Sio Samia wala Mwigulu aliyelaumu dhuluma ambayo dikteta Magufuli alikuwa akiwatendea watanzania na wenyewe walikuwa ni sahemu ya hiyo dhuluma. Leo amekufa Magufuli ndio wanajifanya kuongea huo unafiki.
Naona hata huu utawala wa sasa utafeli tu kwa sababu umezidi unafiki. Wawarudishie watu waliodhulumiwa mali zao na Magufuli kama akina mama Antonia Zakaria, Tundu Lissu, Mbowe, Kabendera, Ruge, Singa Singa nk na wajue wakiendeleza dhuluma kazi itarudiwa tena na wale wanaowakejeli kila siku kwa kuwaita mabeberu. Mzungu hashindwi kitu.