Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Jamaa anaenda na upepo wa aliye madarakani. Hana msimamo na haeleweki.Mwigulu Nchemba huyu huy ndio kabadilika tena, si ndio alisema mazingira ya biasashara ni mazuri sana Tanzania? kwahio nini msimamo wa Mwigulu kwa sasa?
Mkuu hata kama sitapata haki ila kuonesha tu kwamba najua haki yangu itatosha.Mkuu utashitaki kwenye mahakama gani labda itakayokupa haki?
jambazi likiisha ingia ndani, cha kwanza kuangalia ni uvunguni, halafu inakuja darini.Tunahifadhi darini, ukiwa na shida unapanda ngazi. Tena tunaweka in USA $ na £ Sterling
Tuombee tu ile roho isirudie tena,pia ni kosa la TISS kutokufanya vetting ya kutosha wakati wa kutafuta dereva makini.Kwahio kumbe zilikua zinachukuliwa ?
Duh aendelee kupumzika kwa mateso
Dotto tubamla kichwa Jumanne, mama si alituahidi tunakutana tena Chamwino?ila dotto sina iman nae kabisa
Apeleke muswada bungeni kuifuta ile sheria iliyoruhusu. Maneno matupu hayavunji mfupTaarifa hii ni kwa mujibu wa Waziri wa Fedha Dkt Mwigulu Lameck Nchemba akiongoza kikao kazi cha kuchakata maagizo ya Rais Samia kwa Wizara hiyo.
Waziri amewaambia Wafanyabiashara nchini kote na Watanzania kwa ujumla wasiogope kuweka fedha zao Benki kwani zitakuwa salama na hazitachukuliwa.
Dkt. Mwigulu ameteuliwa hivi karibuni na Mhesh Rais Samia kuongoza Wizara ya Fedha akitokea Wizara ya Sheria na Katiba.
Hapa kazi tu & Zege halilali
MCL
=============
Waziri wa Fedha na Mipango nchini Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba amewataka wafanyabiashara wanaoficha fedha majumbani kuacha tabia hiyo kwa maelezo kuwa fedha zao haziwezi kuchukuliwa.
Dk Mwigulu ameeleza hayo leo Jumamosi Aprili 3, 2021 katika kikao na watendaji wa wizara hiyo na Mamlaka ya Mapato Nchini (TRA) na Msajili wa Hazina (TR).
“Kwa wale wafanyabiashara walioona wakiweka fedha zao zitaonekana mtandaoni labda zitachukuliwa zote nitoe rai warudishe fedha kwenye mabenki zitaliwa mchwa au panya bila sababu, uchumi wa kisasa sio wa kuweka fedha kwenye boksi.”
“Kodi itatozwa tu kwa sehemu ya fedha inayotakiwa kukusanywa na sisi tujenge utaratibu wa kutii sheria kulipa kodi na kuwa wazalendo kwa nchi yetu.” Amesema Mwigulu.
Mwezi ujao navunja kibubu changu [emoji23]Mwigulu Nchemba huyu huy ndio kabadilika tena, si ndio alisema mazingira ya biasashara ni mazuri sana Tanzania? kwahio nini msimamo wa Mwigulu kwa sasa?
Acha unafiki wewe fala, kipindi Cha nyuma wakati tunalalamikia haya si mlikuwa mnatutukana?Hili tamko waandikiwe kabisa mabenki waandikiwe kabisa TRA wamedsababisha shida kwa wafanyabiashara mfano unadaiwa kodi umepewa order ya mzigo mteja anaweka pesa kwenye Akaunti ili umtumie mzigo au umnunulie TRA wabazibeba !!!
St Jude secondary Arusha walibeba ada za wanafunzi na ni shule ambayo wafadhili ndio hulipia wanafunzi wanaotoka familia maskini
Benki madalali wa mazao hadi wanaziogopa sababu unapewa mzigo uuze kisha umpe tajiripesa yake ukiuza umpe wakikuta pesa benki wanasomba unaonekana mtakatisha pesa au mkwepa kodi
Income badala ya kuangalia business wanaangalia hela zinazoingia kwenye account na ku zi treat kama income wakati pesa ni za customer unayemuwekea kama dalali au aliyekutumia umnunjlie mzigo
Hili la kuangalia deposts na kuziona kama business income na kudai maelezo na ku zi treat kama money laundering si sahihi zina scare depositors
Sabaya kafanya sana huu upuuzi na ushaidi upohadi baadhi ya ma-RC na ma-Dc wakaanza huu mchezo wa kuwapora fedha watu.
Huyu ni wakumtukana matusi ya nguoni kabisa na unafiki wakeMmmmh, yamekuwa hayo tena? Wewe nyoko wewe si ulikuwa unashabikia upumbavu kila uchao? Leo umekuwaje tena? Unaona MATAGA msivyokuwa na akili?