Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️Mama ni mchapa kazi na mbunifu sana, ni mtu wa kutatuwa matatizo.
Kwa Mwigulu mama inabidi amuondoe tu wizarani.
Waziri gani anakosolewa zaidi ya mara moja na Spika?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️Mama ni mchapa kazi na mbunifu sana, ni mtu wa kutatuwa matatizo.
Kwa Mwigulu mama inabidi amuondoe tu wizarani.
Waziri gani anakosolewa zaidi ya mara moja na Spika?
Aliyemteua akiendelea kumuwacha ndiyo atakuwa kafanya kosa.Ilipaswa alaumiwe aliemteua.
Maana anao uwezo kumtoa muda wowote akitaka
Anashindwa Nini!?
Anyway hii pia isije kuwa Moja ya zile chuki zako Cha kidini.
Maana hunaga jema na akina John na Alex we hata juma na Mohamed wakiongea kunya huwa unaona dhahabu tu as long as ni mwenzako katika imani.
Hii inafanya hata watu wawe na shaka na maoni au judgement Yako maana washakuwekea kipimo.
Sio huyo peke yake mbona wapo wengi tu.Pale mama kauingia mkenge.
Ni kweli, ila apunguze kuongea pumba
Mawaziri wote ni mabomu, sijajua ni kwanini inatumika nguvu kubwa sana kumchimbia chini Mwigulu.
Mwigulu hatekelezi mipango yake, anatekeleza mipango ya baraza zima la mawaziri.
Acha UZWAZWA wewe Bibi.Pale mama kauingia mkenge.
Mwigulu wizara yake inatakiwa iwe na ubunifu wa wakati tunaoenda nao.
Mawaziri wote ni mabomu, sijajua ni kwanini inatumika nguvu kubwa sana kumchimbia chini Mwigulu.
Mwigulu hatekelezi mipango yake, anatekeleza mipango ya baraza zima la mawaziri.
Hawezi kutoboa anatakiwa awe RCMwenzako anaota kuwa Rais wa kwanza Mlutheri,aahhaaaa
Na kweli taayaari katatuwaa. Tatizo la bandari Sasa hivi inapigwa mnada.Mama ni mchapa kazi na mbunifu sana, ni mtu wa kutatuwa matatizo.
Kwa Mwigulu mama inabidi amuondoe tu wizarani.
Waziri gani anakosolewa zaidi ya mara moja na Spika?
Aahaaaaaa,Hawezi kutoboa anatakiwa awe RC
kwa ushahidi upi?Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.
Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.
Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.
Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.
Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.
Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?
Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Wakilisha ❌Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.
Kwa muono wangu nchi imepata waziri wa fedha Bora kabisa kiwahi kutokea.Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.
Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.
Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.
Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.
Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.
Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?
Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Unataka amtoe amuweke nani. Nchi hii ina vilaza wa kufikiri kweliIlipaswa alaumiwe aliemteua.
Maana anao uwezo kumtoa muda wowote akitaka
Anashindwa Nini!?
Anyway hii pia isije kuwa Moja ya zile chuki zako Cha kidini.
Maana hunaga jema na akina John na Alex we hata juma na Mohamed wakiongea kunya huwa unaona dhahabu tu as long as ni mwenzako katika imani.
Hii inafanya hata watu wawe na shaka na maoni au judgement Yako maana washakuwekea kipimo.