Mwigulu ni kati ya Mawaziri wa Fedha wabovu kuwahi kutokea Tanzania

Mwigulu ni kati ya Mawaziri wa Fedha wabovu kuwahi kutokea Tanzania

Mama ni mchapa kazi na mbunifu sana, ni mtu wa kutatuwa matatizo.

Kwa Mwigulu mama inabidi amuondoe tu wizarani.

Waziri gani anakosolewa zaidi ya mara moja na Spika?
✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️
 
Ilipaswa alaumiwe aliemteua.

Maana anao uwezo kumtoa muda wowote akitaka

Anashindwa Nini!?

Anyway hii pia isije kuwa Moja ya zile chuki zako Cha kidini.

Maana hunaga jema na akina John na Alex we hata juma na Mohamed wakiongea kunya huwa unaona dhahabu tu as long as ni mwenzako katika imani.

Hii inafanya hata watu wawe na shaka na maoni au judgement Yako maana washakuwekea kipimo.
Aliyemteua akiendelea kumuwacha ndiyo atakuwa kafanya kosa.
 

Mawaziri wote ni mabomu, sijajua ni kwanini inatumika nguvu kubwa sana kumchimbia chini Mwigulu.

Mwigulu hatekelezi mipango yake, anatekeleza mipango ya baraza zima la mawaziri.
Mwigulu wizara yake inatakiwa iwe na ubunifu wa wakati tunaoenda nao.

Waziri anatangaza kwenye hotuba ya bajeti yake eti ataongeza doria mipakani ili kuongeza mapato.

Si ujinga huo.
 
Mwigulu hana haiba wala busara za kuwa kiongozi, mwanasiasa au mwakilishi wa wananchi...

Ana tabia zile za watu wa Singida, hawa ndugu zetu ni watu wenye dharau/wajivuni sana juu ya watu wengine haswa wakishafikia daraja fulani la kisomo (mifano ipo wazi kwa kina Lissu, Nyalandu n.k)

Inawezekana akawa ni mtaalamu wa uchumi, na ingetosha tu akawa mtendaji kama Katibu Mkuu wa wizara, Gavana au Mshauri wa Uchumi...
 
Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.

Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.

Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.

Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.

Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.

Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?

Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
kwa ushahidi upi?
 
🤣🤣faiza,nawe umeona mwigulu hajui kuongea eeh?anaongea kama mtoto mwenye uji mdomoni, hata hivyo mtu wa iramba na art ya kuzungumza wapi na wapi?
 
Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.

Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.

Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.

Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.

Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.

Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?

Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Kwa muono wangu nchi imepata waziri wa fedha Bora kabisa kiwahi kutokea.
 
Ilipaswa alaumiwe aliemteua.

Maana anao uwezo kumtoa muda wowote akitaka

Anashindwa Nini!?

Anyway hii pia isije kuwa Moja ya zile chuki zako Cha kidini.

Maana hunaga jema na akina John na Alex we hata juma na Mohamed wakiongea kunya huwa unaona dhahabu tu as long as ni mwenzako katika imani.

Hii inafanya hata watu wawe na shaka na maoni au judgement Yako maana washakuwekea kipimo.
Unataka amtoe amuweke nani. Nchi hii ina vilaza wa kufikiri kweli
 
Back
Top Bottom