Mwigulu ni kati ya Mawaziri wa Fedha wabovu kuwahi kutokea Tanzania

Mwigulu ni kati ya Mawaziri wa Fedha wabovu kuwahi kutokea Tanzania

bibi faiza leo akili zemekaa sawa au bado unaendekeza mahaba na.waarabu waliondikwa kwenda mbinguni na sisi weusi motoni.
mama anauza nchi kwa mahaba ya msaafau
 
Sijawahi muelewa huyo jamaa kila kukicha analiingiza Taifa kwenye hasara cha kushangaza yupo mbele kweli aisee utadhani tumerogwa kuwa na kiongozi wa Fedha mwenye uwezo ule...
 
Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.

Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.

Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.

Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.

Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.

Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?

Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
DARK DAYS 17/03/2021. Hivi ni kuwasilisha au kuwakilisha?.
 
bibi faiza leo akili zemekaa sawa au bado unaendekeza mahaba na.waarabu waliondikwa kwenda mbinguni na sisi weusi motoni.
mama anauza nchi kwa mahaba ya msaafau
Huu uzi ni kwa Mwigulu tu, usitake kubadili mada.

Kuhusu mwengine yeyote kamwanzishie uzi tutakuja kukujibu.
 
Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.

Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.

Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.

Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.

Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.

Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?

Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Mwigulu sitaki kusikia sauti yake wala kuona picha yake.
 
Back
Top Bottom