Ww siku hizi sio bomo tenaWatamchagua mabomu wenzake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ww siku hizi sio bomo tenaWatamchagua mabomu wenzake.
Iza mwane weeUwe mbii Katee mbwanee wee!!
Eti aliyemteua ni msafi sana yeye hausukiNa aliemteua je!!! [emoji848][emoji848][emoji848]
Mkuu tozo halijui huyu ngagangari au ngungungu!Wana CCM sitaki kuingilia ugomvi wenu
DARK DAYS 17/03/2021. Hivi ni kuwasilisha au kuwakilisha?.Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.
Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.
Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.
Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.
Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.
Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?
Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Huu uzi ni kwa Mwigulu tu, usitake kubadili mada.bibi faiza leo akili zemekaa sawa au bado unaendekeza mahaba na.waarabu waliondikwa kwenda mbinguni na sisi weusi motoni.
mama anauza nchi kwa mahaba ya msaafau
mwigulu yupo chini ya nani?Huu uzi ni kwa Mwigulu tu, usitake kubadili mada.
Kuhusu mwengine yeyote kamwanzishie uzi tutakuja kukujibu.
waziri mkuu ana uwezo wa kumuondoa waziri ?Waziri mkuu.
mama mdini sana uyu.Kisa ni Lameck, mbona January usemi kitu?
Angekuwa Abubakar usingesema atolewe
Mwigulu sitaki kusikia sauti yake wala kuona picha yake.Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.
Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.
Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.
Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.
Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.
Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?
Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Sana na bila aibu ajifichi, ya Mbarawa kuuza bandari yetu kanyamaza kimyamama mdini sana uyu.
Sijui kwa nini hawakumpa huyu Mwamba awe kwenye wizara ya fedhaYes, Kimei ni jembe, ana muono wa mbali sana na anaifahamu sekta ya fedha kwa miaka mingi sana.