Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Nakuketea popcorn na togwa maana najua lazima uweke kilinge hapaš¤£Ambae sio chukizo ni nani?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nakuketea popcorn na togwa maana najua lazima uweke kilinge hapaš¤£Ambae sio chukizo ni nani?
Wewe na huyo ajuza jibuni hoja zangu,mlitaka mteuliwe nyie ndio Mawaziri wabunifu au mlitaka ateuliwe nani?Nakuketea popcorn na togwa maana najua lazima uweke kilinge hapaš¤£
Kama hasara ipi kaliingiza Taifa na mapato yanazidi kukua na miradi inakamilika?Sijawahi muelewa huyo jamaa kila kukicha analiingiza Taifa kwenye hasara cha kushangaza yupo mbele kweli aisee utadhani tumerogwa kuwa na kiongozi wa Fedha mwenye uwezo ule...
Sasa shida zako binafsi na yeye usitulazimishe na sisi tunataka kusikia na kuona picha yakeMwigulu sitaki kusikia sauti yake wala kuona picha yake.
WhereSa100 must go!!!!!
Wepi ambao hamkupigwa?Kama yule saada mkuya yani yule ndo alikua bogus kabisa na akamfundisha mwigulu ubogus zaidi maana alikua ni naibu wake, hawa mawaziri wa fedha tulipigwa sana
Usisahau panadol maana leo una kazi ya kuzuia traffik za hojaš¤£Where
Nimeshamjibu zamani sana amekimbia ,nimemuukiza yeye ana ubunifu upi hajajibu,nikamuuliza anataka tumteue nani hajajibu Sasa Kuna hoja pale au upuuzi na chuki binafsi?Huyo unayemuita ajuza FaizaFoxy unamjua? Jibu hoja zake kwanza badala ya kuwa na makasiriko.
Pia mbona umeng'aka sana? Hatujapeleka memo bado.
Sijawahi ona mtu wa kuni challenge Kwa hoja jf hususani za kiuchumi unless ni hoja za mambo mengineUsisahau panadol maana leo una kazi ya kuzuia traffik za hojaš¤£
Utaenda wewe pangoni sio yeyeAnywhere mbali na nyumba takatifu.
Sa100 must go!!!!
Ona boga jingine hili,huyo ajuza pamoja na mambo mengine amedai Mwigulu hana art kwenye presentation,Sasa Kimei na kigugumizi Cha mara 10 ya Mwigulu anajua hata kuongea yule? Mtu anangea kama amemeza uji wa moto anashindwa kumeza au kutema ndio anaweza jibu hoja za Kisiasa mle Bungeni? Si mtamuua Sasa huyo Kimei Kwa pressure?Naunga mkono hoja yako FaizaFoxy Mh Rais Samia amtoe Mwingulu na ikimpendeza ampe Charlea Kimei mbunge wa Vunjo.
Na Mbalawa nae si alimkataa aiseeJPM akimkataa mtu ujue kuna janga keshaliona.
JF ni eneo la kuelimishana pia.Sijawahi ona mtu wa kuni challenge Kwa hoja jf hususani za kiuchumi unless ni hoja za mambo mengine
Tuna reserves ya miezi 4.3.. Kwa hiyo Dola zimeadimika ni Mwigulu kabasabisha au? Hizo Dola zimeadimika Tanzania tuu? Utasemaje Sasa kuhusu Nigeria ambako watu wanakimbia Nchi mafuta hayakamati?JF ni eneo la kuelimishana pia.
Ukiwa mkamiaji sana utapaliwa na maji, dola zimeadimika na hakuna exports za kutosha. Mahindi yamezuiwa mpakani..... mdogo mdogo tunasogea kusikosogekaš¤£
Alienda Messiah itakuwa mm,Utaenda wewe pangoni sio yeye
Endelea kujifariji,chukua na popcorn kabisa nakuja kulipa huku ukiimba wimbo wa sa100 must go.Alienda Messiah itakuwa mm,
Nakukumbusha pia siku zangu zimehesabiwa na zimefichwa mikononi mwa Mungu na hazitapungua.
Katika masuala ya nchi hatupasi Kumuona yeyote haya,
Tunamwogopa Mungu tu, WANADAMU tunawaheshimu, wakitoka ktk mstari tunawakemea.
Sa100 must go!!!!