Mwigulu ni kati ya Mawaziri wa Fedha wabovu kuwahi kutokea Tanzania

Mwigulu ni kati ya Mawaziri wa Fedha wabovu kuwahi kutokea Tanzania

Sijawahi muelewa huyo jamaa kila kukicha analiingiza Taifa kwenye hasara cha kushangaza yupo mbele kweli aisee utadhani tumerogwa kuwa na kiongozi wa Fedha mwenye uwezo ule...
Kama hasara ipi kaliingiza Taifa na mapato yanazidi kukua na miradi inakamilika?

Hoja Yako ni ipi hasa?
 
Wewe na huyo ajuza jibuni hoja zangu,mlitaka mteuliwe nyie ndio Mawaziri wabunifu au mlitaka ateuliwe nani?
Huyo unayemuita ajuza FaizaFoxy unamjua? Jibu hoja zake kwanza badala ya kuwa na makasiriko.

Pia mbona umeng'aka sana? Hatujapeleka memo bado.
 
Huyo unayemuita ajuza FaizaFoxy unamjua? Jibu hoja zake kwanza badala ya kuwa na makasiriko.

Pia mbona umeng'aka sana? Hatujapeleka memo bado.
Nimeshamjibu zamani sana amekimbia ,nimemuukiza yeye ana ubunifu upi hajajibu,nikamuuliza anataka tumteue nani hajajibu Sasa Kuna hoja pale au upuuzi na chuki binafsi?
 
Naunga mkono hoja yako FaizaFoxy Mh Rais Samia amtoe Mwingulu na ikimpendeza ampe Charlea Kimei mbunge wa Vunjo.
Ona boga jingine hili,huyo ajuza pamoja na mambo mengine amedai Mwigulu hana art kwenye presentation,Sasa Kimei na kigugumizi Cha mara 10 ya Mwigulu anajua hata kuongea yule? Mtu anangea kama amemeza uji wa moto anashindwa kumeza au kutema ndio anaweza jibu hoja za Kisiasa mle Bungeni? Si mtamuua Sasa huyo Kimei Kwa pressure?

La mwisho hata hamjui falsasa za Kimei,mara nyingi amepinga kuweka ceiling ya inflation kwenye 5% akisema inapunguza Kasi ya kukua Kwa uchumi hivyo yeye anapendelea inflationary policies,Sasa nyie mbuzi si mtakufa Kwa kihoro Kimei akiwa Waziri kama saiizi mnasema vitu vina bei akina huyo na vile hajui kuongea siasa mtafanyaje? šŸ˜†šŸ˜†šŸ˜†
 
Sijawahi ona mtu wa kuni challenge Kwa hoja jf hususani za kiuchumi unless ni hoja za mambo mengine
JF ni eneo la kuelimishana pia.

Ukiwa mkamiaji sana utapaliwa na maji, dola zimeadimika na hakuna exports za kutosha. Mahindi yamezuiwa mpakani..... mdogo mdogo tunasogea kusikosogeka🤣
 
JF ni eneo la kuelimishana pia.

Ukiwa mkamiaji sana utapaliwa na maji, dola zimeadimika na hakuna exports za kutosha. Mahindi yamezuiwa mpakani..... mdogo mdogo tunasogea kusikosogeka🤣
Tuna reserves ya miezi 4.3.. Kwa hiyo Dola zimeadimika ni Mwigulu kabasabisha au? Hizo Dola zimeadimika Tanzania tuu? Utasemaje Sasa kuhusu Nigeria ambako watu wanakimbia Nchi mafuta hayakamati?

Turkiye,Kenya na Pakistan Je? Zambia,Ghana na Marekani ambako wameshindwa kulipa Madeni Hadi wanakopeshwa bailout na wengine kuongeza ceiling ya Madeni watasemaje?

Uliwahi ona wapi Uchumi mbaya Serikali ikatoa maelfu ya Ajira?

Kukwama Kwa Malori mpakani Mwigulu anahusikaje? Ndio Waziri wa Kilimo au wa Mambo ya Nje ?

Acheni ujinga wenu nyie mbumbumbu ndio maana Huwa anawatukana
 
Utaenda wewe pangoni sio yeye
Alienda Messiah itakuwa mm,

Nakukumbusha pia siku zangu zimehesabiwa na zimefichwa mikononi mwa Mungu na hazitapungua.

Katika masuala ya nchi hatupasi Kumuona yeyote haya,

Tunamwogopa Mungu tu, WANADAMU tunawaheshimu, wakitoka ktk mstari tunawakemea.

Sa100 must go!!!!
 
Alienda Messiah itakuwa mm,

Nakukumbusha pia siku zangu zimehesabiwa na zimefichwa mikononi mwa Mungu na hazitapungua.

Katika masuala ya nchi hatupasi Kumuona yeyote haya,

Tunamwogopa Mungu tu, WANADAMU tunawaheshimu, wakitoka ktk mstari tunawakemea.

Sa100 must go!!!!
Endelea kujifariji,chukua na popcorn kabisa nakuja kulipa huku ukiimba wimbo wa sa100 must go.
 
Back
Top Bottom