Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeambiwa ni proxy tu. Kazi yakeni kuwezesha ya waliyomuweka pale.Yaani yule jamaa hana muono kabisa.
Khaa, dunia ya leo inakwenda kasi ya ajabu unaongelea doria za Mipakani ziliongezee taifa kipato?
Ile ni kutokwenda ni nafsi inamsuta "guilty conscious", anajijuwa kuwa sakata la ksriakoo yeye ndiyo tatizo.Dada Faiza hakuna siku nilishangaa kama siku ile Wafanyabiashara Kariakoo wametangaza mgomo alafu jamaa yupo tu ata kwenda kuwapooza na kushughulikia kero zao!
Yaani sehemu ambayo inaingizia serikali zaidi ya Bilioni 15 per month unaiacha inaingia kwenye chaos!!!
Huyu jamaa anamuharibia Mama sana,hafai kabisa!
Kwa mara ya kwanza kabisa nakuunga mkono. Umesema ukweli mtupu ambao kila mtu anauona isipokuwa rais Samia. Ila mimi nadhani huyu jamaa ni mjinga kiasi kwamba mama Samia and co anamtumia jinsi anavyopenda kwa maslahi yake. Na mwingine ni January Makamba!Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.
Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.
Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.
Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.
Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.
Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?
Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Ndiyo maana hasa yuko mpaka sasa. Ni jinga kubwa linalotumiwa kwa maslahi ya waliomuweka.Umeambiwa ni proxy tu. Kazi yakeni kuwezesha ya waliyomuweka pale.
Wewe unamuona bogus wakati mama anaona ameokota dodo chini ya mwarobaini? Mama anaona hakuna kichwa kama kile nchini na Africa nzima na haoni kama kitakuja kitokee.Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.
Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.
Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.
Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.
Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.
Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?
Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Haha Haha 😛Mwenzako anaota kuwa Rais wa kwanza Mlutheri, aahhaaaa
Siyo kwamba utolewe kwa ku under perform? Ila sababu ni vibomu! Ukute Faiza we ndo mama SAMIA 😂 tunajibizana anonymously maana alisema anapitia sana JFNasikia ni mnoko sana kwa wizara nyingine,kwa position yake yeye anaonana na mama mara kwa mara si mabomu hayo anayowabutulia wenzake.
Nahisi mama kisha mstukia anamlia timing tu.
Pale mama kauingia mkenge.
Inawezekana ni mambo yake ya kidini tu huyu.Ilipaswa alaumiwe aliemteua.
Maana anao uwezo kumtoa muda wowote akitaka
Anashindwa Nini!?
Anyway hii pia isije kuwa Moja ya zile chuki zako Cha kidini.
Maana hunaga jema na akina John na Alex we hata juma na Mohamed wakiongea kunya huwa unaona dhahabu tu as long as ni mwenzako katika imani.
Hii inafanya hata watu wawe na shaka na maoni au judgement Yako maana washakuwekea kipimo.
Sasa ukisema wewe hivi, sisi tutasemaje!! Jamaa ni mjivuni sana.Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.
Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.
Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.
Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.
Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.
Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?
Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Mh! Hujiulizi tu issue ya tozo ilitokea wapi na wananchi waliongea nn kabla ya kuamua tu bora liende baada ya kuona wanampigia mbuzi gitaa. Mgomo wa wafanyabiashara kariakoo walivyoketi na Waziri Mkuu pale Anatolgo pia hukufuatilia sio. Ingekuwa kuchukua hatua angeshachukua kote huko lakini..... Mnampigia kelele tu bora mnyamazeMama ana macho na masikio makubwa sana, muone vile vile tu.
Leo lazima apite JF kutazama hali ya hewa.
Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.
Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.
Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.
Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.
Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.
Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?
Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Angekuwa wa Dini yetu ile ungesema?