Mwigulu ni kati ya Mawaziri wa Fedha wabovu kuwahi kutokea Tanzania

Mwigulu ni kati ya Mawaziri wa Fedha wabovu kuwahi kutokea Tanzania

Dada Faiza hakuna siku nilishangaa kama siku ile Wafanyabiashara Kariakoo wametangaza mgomo alafu jamaa yupo tu ata kwenda kuwapooza na kushughulikia kero zao!
Yaani sehemu ambayo inaingizia serikali zaidi ya Bilioni 15 per month unaiacha inaingia kwenye chaos!!!
Huyu jamaa anamuharibia Mama sana,hafai kabisa!
Ile ni kutokwenda ni nafsi inamsuta "guilty conscious", anajijuwa kuwa sakata la ksriakoo yeye ndiyo tatizo.
 
Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.

Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.

Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.

Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.

Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.

Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?

Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Kwa mara ya kwanza kabisa nakuunga mkono. Umesema ukweli mtupu ambao kila mtu anauona isipokuwa rais Samia. Ila mimi nadhani huyu jamaa ni mjinga kiasi kwamba mama Samia and co anamtumia jinsi anavyopenda kwa maslahi yake. Na mwingine ni January Makamba!
 
Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.

Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.

Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.

Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.

Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.

Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?

Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Wewe unamuona bogus wakati mama anaona ameokota dodo chini ya mwarobaini? Mama anaona hakuna kichwa kama kile nchini na Africa nzima na haoni kama kitakuja kitokee.
 
Nasikia ni mnoko sana kwa wizara nyingine,kwa position yake yeye anaonana na mama mara kwa mara si mabomu hayo anayowabutulia wenzake.


Nahisi mama kisha mstukia anamlia timing tu.
 
Nasikia ni mnoko sana kwa wizara nyingine,kwa position yake yeye anaonana na mama mara kwa mara si mabomu hayo anayowabutulia wenzake.


Nahisi mama kisha mstukia anamlia timing tu.
Siyo kwamba utolewe kwa ku under perform? Ila sababu ni vibomu! Ukute Faiza we ndo mama SAMIA 😂 tunajibizana anonymously maana alisema anapitia sana JF
 
Unaemwambia ndio huyo hasikii wala haoni kwa mnayoongea ninyi wananchi
Mama ana macho na masikio makubwa sana, muone vile vile tu.

Leo lazima apite JF kutazama hali ya hewa.
 
Ilipaswa alaumiwe aliemteua.

Maana anao uwezo kumtoa muda wowote akitaka

Anashindwa Nini!?

Anyway hii pia isije kuwa Moja ya zile chuki zako Cha kidini.

Maana hunaga jema na akina John na Alex we hata juma na Mohamed wakiongea kunya huwa unaona dhahabu tu as long as ni mwenzako katika imani.

Hii inafanya hata watu wawe na shaka na maoni au judgement Yako maana washakuwekea kipimo.
Inawezekana ni mambo yake ya kidini tu huyu.
 
Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.

Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.

Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.

Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.

Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.

Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?

Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Sasa ukisema wewe hivi, sisi tutasemaje!! Jamaa ni mjivuni sana.
 
Mama ana macho na masikio makubwa sana, muone vile vile tu.

Leo lazima apite JF kutazama hali ya hewa.
Mh! Hujiulizi tu issue ya tozo ilitokea wapi na wananchi waliongea nn kabla ya kuamua tu bora liende baada ya kuona wanampigia mbuzi gitaa. Mgomo wa wafanyabiashara kariakoo walivyoketi na Waziri Mkuu pale Anatolgo pia hukufuatilia sio. Ingekuwa kuchukua hatua angeshachukua kote huko lakini..... Mnampigia kelele tu bora mnyamaze
 
Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.

Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.

Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.

Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.

Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.

Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?

Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.

Leo ndo umeshtuka? Kipenzi chako mvaa dera na baibui ndo anaeendesha mambo haya ya hovyo, so usimilaumu Dr mlaumu huyohuyo. Mana kila kukicha unamtolea marehemu lugha mbaya isiyofaa basi sasa mseme na huyo aliehai kwa hichi kinachoendelea TZ bara
 
Back
Top Bottom