Mama weee, kumbe tozo zetu ndiyo zinateketezwa hivigreed elite ktk eneo lake la ufanisi
View attachment 2650380
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mama weee, kumbe tozo zetu ndiyo zinateketezwa hivigreed elite ktk eneo lake la ufanisi
View attachment 2650380
Sahihi kabisa kiongozi
Mawaziri wote ni mabomu, sijajua ni kwanini inatumika nguvu kubwa sana kumchimbia chini Mwigulu.
Mwigulu hatekelezi mipango yake, anatekeleza mipango ya baraza zima la mawaziri.
SawasawaAliyemteua akiendelea kumuwacha ndiyo atakuwa kafanya kosa.
AiseeAnachoweza ni kubadili tie na kuvaa mtandio shingoni tu
Na kuchekacheka ata anapoambiwa hafaiMwigulu ni kilaza wahed,yupo yupo tu
Waziri mzima anaona fahari kupiga picha kama ndiyo ishara ya yeye kupongezwa Kwa uchumi mzuri
Kweli kupiga picha ndiyo criteria ya kupima uwajibikaji wa majukumu ya mtu kweli!?
Pathetic
Ninavyokujua ulivyojaa udini mpaka kwenye kucha na mifupa, angekuwa muislam usingeandika haya.Kwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.
Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.
Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.
Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.
Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.
Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?
Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
CCM yupi si bomu akishapewa madaraka.Watamchagua mabomu wenzake.
Sahihi kabisa kiongozi
CCM yupi si bomu akishapewa madaraka.
Kwa Mara ya kwanzaKwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.
Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.
Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.
Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.
Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.
Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?
Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Jitahidi kutafsiri upendavyo.Uchumi haupimwi Kwa macho Wala Kwa hisia
Mbona huwataji waislamu wenzio Mbarawa, Aweso, Bashe Makamba, Ummy na Mchengerwa wanafanya nini cha maana? we ajuza ni mdini sn. Shame on youKwa mtazamo wangu, Mwigulu hafai kabisa kuwa waziri wa wizara yoyote licha ya kuwa waziri wa fedha.
Sijamuona kuwa na ubunifu wowote kwenye kazi zake.
Huwa nashangaa ni vipi mtu kama Mwigulu, ambae hana kabisa hata "art" ya kuongea anaweza kuteuliwa kuwa waziri.
Hata jinsi alivyowakilisha bajeti yake haikuwa na mvuto na wala hakuonesha ubunifu wowote.
Mama Samia tuondolee hilo bomu wizara hiyo.
Mbona kuna wengi sana bungeni ambao wana muono wa hali ya juu bungeni?
Kwa ufupi, Mwigulu hafai kabisa.
Wewe ajuza ni mdini sn tunakujua, mfumo wote ni ovu tupu lakini umekomaa na Mwigulu pekee kwanini usitaje wote? acha udini shame on youWafungulie uzi wao, ulikatazwa?
Ndiyo mbovu mara 12 yakeNa aliemteua je!!! [emoji848][emoji848][emoji848]