Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wabunge WOTE hawakuiona hii??
Mwigulu anatumia udhaifu wa bunge na baraza la mawaziri kujitengenezea njia.
What if hio figure ni VAT?
What if mkataba ulikuwa VAT Exclusive??
Kama umempania hivi
Muwe mnawapa wabunge wanaoweza kuongea Bungeni hizi tips..
Ujue CCM huwa wanatumia hii miradi mikubwa kuiba pesa za Nchi..
Kwa staili hii,Katiba mpya inahitajika mapema Sana japo haitamaliza rushwa ila itapunguza.
Muwe mnawapa wabunge wanaoweza kuongea Bungeni hizi tips..
Ujue CCM huwa wanatumia hii miradi mikubwa kuiba pesa za Nchi..
Kwa staili hii,Katiba mpya inahitajika mapema Sana japo haitamaliza rushwa ila itapunguza.
Mkuu hiyo ndio maana ya bunge kibogoyo. Na ikitokea mbunge akajilipua lazima afanyiwe mizengwe na akishupaza shingo anaitwa kwenye kamati ya maadili. Hapo inakuwa case closed!
Kuna frem zinajegwa pale sheli njia panda ya generi singidaYaani hii nchi kwa kweli inatuumiza sana. Hawa ccm ni wezi wote. Mwigulu ndo adui no Moja wa nchi hii. Hafai hata kua mtumishi wa ofisi yoyote ya serikali.
Kuna frem zinajegwa pale njia panda ya generi singidaMwigulu anatumia udhaifu wa bunge na baraza la mawaziri kujitengenezea njia.
Kama huna hoja yakujadili bora kukaa kimya kuliko kuonyesha ujinga wako.mtu kaweka hoja ya msingi wewe unaingiza ujinga.Ufisadi ndiyo furaha ya chadema
Hebu tuache uongo kupindisha ukweli hivi kwa akili yako wewe unamshinda mwigulu uzalendo hebu tuache upumbavuMwigulu, tuzungumze kizalendo kidogo!
Bajeti kuu ya serikali, hotuba yako, ukurasa wa 44, unasema serikali imeanza mchakato wa kutafuta mkandarasi wa kujenga kipande cha SGR (Tabora-Kigoma) 514km kwa US$2.1 bilioni (Sh4.89 trillioni). Wakati tunajua umewapa kandarasi CCECC.
Maranja Masese
Mtikila!
Hivi wewe rangi ya Kijana unafikiri sis ni wajinga kiasi hicho. Uzalendo wa mwiguru uko wapi. Wa kurudisha Kodi ya kichwa? Wa kuongeza tozo kila mahali. Wa kukopa kila sku? Ebe acha ujinga ww kijanHebu tuache uongo kupindisha ukweli hivi kwa akili yako wewe unamshinda mwigulu uzalendo hebu tuache upumbavu
VAT ni 18%, piga 18% utajua Kama hiyo ni VAT au sio. Mbona rahisi tuWhat if hio figure ni VAT?
What if mkataba ulikuwa VAT Exclusive??
Kama umempania hivi
Shule,What if hio figure ni VAT?
What if mkataba ulikuwa VAT Exclusive??
Kama umempania hivi
Huruma ya nn mzeeHawa jamaa wa ccm ndiyo kusema hawana huruma hata chembe
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app