Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Babu Tale na Mwana FAUnazungumzia wabunge wepi mkuu?
Maslahi ya Nchi sio swala la kuletea utaniWakowapi sasa hao wabunge wa kupewa? Au wapewe covid ambao tayari wameshakuwa compromised??
Anzia wewe mkuu mimi sitokuwepo kiukweli 😂😂Nguvu ya umma tu ndio italeta katiba mpya. Bila machafuko sioni watawala wa kiafrika wakikubali katiba mpya. Hii katiba ya kikosi kazi na wanasiasa wa upinzani kwenda ikulu ni kuchorana tu.
Whi single source? Tuanzie hapo kwanzaWhat if hio figure ni VAT?
What if mkataba ulikuwa VAT Exclusive??
Kama umempania hivi
Anzia wewe mkuu mimi sitokuwepo kiukweli 😂😂
Wana macho basi??Wabunge WOTE hawakuiona hii??
Sasa fleet ya mabasi ukiwa na billion 15 tu si unayanunua ya kutosha tu kisha unayasimamia vyema kabisa.MKUU
Hiyo pesa aliopiga unatisha kununua mabasi mapya ya Mwigulu yaanze Safari mikoani!
TUSUBIRI
Is it unacceptable?Whi single source? Tuanzie hapo kwanza
Inategemea na contract valueBabu jinga mali yake inaliwa and you don't care.. Hii nchi ina malofa sanaa, eti VAT exclusive, VAT ya Trilioni na ushee??
Kunaweza kuwepo items ambazo ni VAT Exempt hivyo figure isichukuliwe by default kwa relationship ya 18/118Shule,
Shule,
Shule.
Ikiwa 1.8Tril ni VAT basi amount bila VAT ni 10Tril. Sasa wewe kwenye hili andishi umeona popote p,ametajwa 10Tril?
Mbona umekomaa sana kutetea!!Kunaweza kuwepo items ambazo ni VAT Exempt hivyo figure isichukuliwe by default kwa relationship ya 18/118
Aseme labda VAT sh ngapi
Ili ijulikane hii sio case ya VAT
Ndipo watu wajikite kujadili ni nini
Na btw ana documents zozote kuconclude ama ana assume kwa sababu hana taarifa kamili?
Kuna baadhi ya vitu naamini ukiwa exposed na taarifa utaona hamna issue
Informations affects judgement
Items za VAT Exempt zimebainishwa?VAT ni 18%, piga 18% utajua Kama hiyo ni VAT au sio. Mbona rahisi tu
walaa sitetei afum
Mbona umekomaa sana kutetea!!
Siyo kosa, ila ni kama umepaniki fulani, kulikoni?walaa sitetei afu
Nauliza tu
Ili aboreshe taarifa yake
Mpenzi msomaji sijaona element ya VAT
Ni kosa?
Bora umesema mana watu wanapenda kuchukua kanamba kamoja na kukimbia nako mbele bila kusoma picha kamili na inamaanisha niniTax revenue collection ndio 17.2 Trln na non tax revenues ni the rest.
Haha kuuliza VAT ni sh ngapi ni kupaniki?Siyo kosa, ila ni kama umepaniki fulani, kulikoni?