TANZIA Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

 

Attachments

  • images (13).jpeg
    10.9 KB · Views: 1
Ajali, R.i.p brother😭
 

Attachments

  • 2F08A2BB-22A6-40E4-AD97-2A9F4A631056.png
    560.8 KB · Views: 2
Kule Zaire/Congo miaka ya Mobutu askari aliambiwa na boss wake, umepewa silaha unasemaje huna hela. Anakuja dukani anachukua bidhaa kama mali yake. Anaenda barabarani anasimamisha gari anakuamuru unatoa hela. Iko siku watafika huko.
 
Dah uchunguzi uanzie kwa walioupeleka mwili hapo hospitali, hii itatoa a lead ya walipoupata na mazingira gani then mambo yatajipambanua tu
Huo uchunguzi ataufanya nani ndugu yangu na kwa kutumia ushahidi gani?maana hata ukienda leo ukauliza hapo mwili ulikopatikana watoe wajihi wa aliyeupeleka na kuwakabidhi hawajui hata waanzie wapi.

Upo udhaifu Tanzania hii namna miili inavyokabidhiwa hospital,hawaulizi chochote kama ID zaidi ya jina ambalo mtu anaweza akabahatisha lolote akajiandika.
 
Kule Zaire/Congo miaka ya Mobutu askari aliambiwa na boss wake, umepewa silaha unasemaje huna hela. Anakuja dukani anachukua bidhaa kama mali yake. Anaenda barabarani anasimamisha gari anakuamuru unatoa hela. Iko siku watafika huko.
Pale idadi kubwa ya watanzania watakapofikia hatua ya kupiga mioyo konde na kusema "LIWALO NA LIWE"
Mbaya zaidi ni kwa wavaa uniform za kaki na wanasiasa....
 
Halafu ku a jitu litakuja na ma labi... majora yake lilopoke kifo ni nini tu? Nchi limekuwa la kipumbavu sana hiki!
 
Eti alipata ajali 👇👇

View: https://x.com/millardayo/status/1868689113215328409?t=VZdpX4A-LBemYNm544VF2A&s=19
 
Kinachonishangaza mamlaka za serikali zinazohusika ikitokea mtu katekwa zinatoa majibu mepesi sana mpaka unashangaa hivi huyu amewezaje kupewa nafasi ya uongoz kama hii? Mkuu wa nchi naye Yuko kimya hata kulaani ?
Ukiacha na Mkuu wa Nchi, Kuna mtu anaitwa Mkuu wa kitengo cha usalama wa Taifa, He is so relaxed, Hakuna anae msumbua, ningetegemea mpaka sasa, angekua ameitwa kujieleza mbele ya bunge la Jamhuri ni kwann anazani bado anastahili kuwepo kwenye hyo nafasi
 
Inawezekana akina Soka wameporwq uhai wao kama hivi🥶
 
Sasa kama kuna raia wanajichukukia sheria mkononi,kazi ya serikali ni kuangalia tu,uhalifu ukitokea?
 
Dah uchunguzi uanzie kwa walioupeleka mwili hapo hospitali, hii itatoa a lead ya walipoupata na mazingira gani then mambo yatajipambanua tu
Kwamba hujui wanaopeleka ni squad ya kuteka na kuua kama walivyopeleka mwili wa Mzee Kibao?
Huwezi kuona ajabu kwamba wanasema mwili " umekutwa hospitali" Badala ya mwili umeletwa hospitali na watu xxx baada ya KUMKUTA sehemu xxx ? Mkuu haya mambo ni systematized na wanajua wanachokifanya! Kamanda alipowahi kusema tu uongo kwamba aliuza sijui gari aliyokodi Kwa ajili ya harusi, tra wakakana nk tayari red light ishawaka! Wamemtafuna
 
Katika Dunia ambayo watenda maovu ndio watunga Sheria usitegemee haki
Je tukate tamaa kama wananchi wa kawaida kwamba nothing can be done to change the situation and lead our country into a true and rightful way of governance and transparency?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…