TANZIA Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

TANZIA Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

Vifo vingine vinatokana na dhuruma kuiba wake za watu nk. Sidhani kama kufikiria serekali ya fisiemu inauwa hawa watu wote ni sahihi
let be reasonable guys. Serekali haiwezi kuuwa watu hovyo ikuuwe ww nani!!?? Yani serekali ije ikuuwe ww tigopesa kuweni na heshima kidogo basi
Hatuilaumu serikali kwa kuua watu. Bali tunawalaumu kwa mambo 2.

1. Wameshindwa kulinda uhai wa Raia, kama walivosema wata walinda
2.Basi kama wameshindwa no. 1 basi, haki itendeke kwa wale walio husika kudhurumu uhai wa Ndugu zetu.

Kama hayo yote yamewashindwa, Option ya tatu ni wao kujitafakari kama wanatosha katika hizo nafasi.
 
Je tukate tamaa kama wananchi wa kawaida kwamba nothing can be done to change the situation and lead our country into a true and rightful way of governance and transparency?
Yes,....tukate tamaa-------tuendelee TU kuteseka
 
Kwamba hujui wanaopeleka ni squad ya kuteka na kuua kama walivyopeleka mwili wa Mzee Kibao?
Huwezi kuona ajabu kwamba wanasema mwili " umekutwa hospitali" Badala ya mwili umeletwa hospitali na watu xxx baada ya KUMKUTA sehemu xxx ? Mkuu haya mambo ni systematized na wanajua wanachokifanya! Kamanda alipowahi kusema tu uongo kwamba aliuza sijui gari aliyokodi Kwa ajili ya harusi, tra wakakana nk tayari red light ishawaka! Wamemtafuna
Mkuu tuna safari ndefu kama vichwa vyetu wenyewe havijaamua kufikiria vizuri na kuchukua hatua
 
Hivi watamaliza lini uchunguzi?
Tangu yameanza kutokea hatupati majibu ya uchunguzi.
Likitokea tukio ndo linakuwa limepoteza tukio jingine.
Kutoka kwa Kibao, sasa hili ni la ngapi, so kuskia tena habari za Kibao ndo hakuna tena.
Wale akina Soka, wala hakuna anaewakumbuka. Kwa uzembe uko kote kote, kwa wapelelezi na wale tunaopaswa kufatilia.
Ndio maana hatuchangamki kwa sababu ukienda umeenda, wanaobaki wanaendelea na mambo yao. Watasema mawili matatu ndani ya siku tatu then imeisha hiyo.
 
Huo uchunguzi ataufanya nani ndugu yangu na kwa kutumia ushahidi gani?maana hata ukienda leo ukauliza hapo mwili ulikopatikana watoe wajihi wa aliyeupeleka na kuwakabidhi hawajui hata waanzie wapi.

Upo udhaifu Tanzania hii namna miili inavyokabidhiwa hospital,hawaulizi chochote kama ID zaidi ya jina ambalo mtu anaweza akabahatisha lolote akajiandika.
Hili ni tatizo na haya ndio mambo ambayo yanafaa kutoyafumbia macho. Kwa hatua tuliyofikia hii nchi inahitaji watu wenye uthubutu wa kuamsha vichwa vya watanzania mbele ya watawala bila kuogopa kama kina Tundu Lissu.
Cc; Mshana Jr
 
Mkuu tuna safari ndefu kama vichwa vyetu wenyewe havijaamua kufikiria vizuri na kuchukua hatua
Hatari sana polisi na wenyewe wamekua sehemu ya kutengeneza story ya kupindisha ukweli!

Sasa tukiwahoji nani amemuua na kwanini amuue, nani amemleta hospitali na alimkuta wapi kina @tlatlah na Hayawani Lucas Mwashambwa watakuambia tuviachie vyombo vya ulinzi vifanye kazi!
Ameuawa Mtumishi wao aliyekua anatumika katika tukio kama Hilo haraka sana wamekamata Raia wasiopungua watano na wakalia Kwa huzuni sana.

Mtu ametoa taarifa za kufuatiliwa na maisha yake Yako hatarini, wametengeneza story kuwa amejificha, Leo ni marehemu! Damu hii itawalilia kwani IPO siku familia za waliomizwa zitakua nyingi nao watachoka!
 
CHADEMA MNATUMIA MISIBA KUFANYIA KAMPENI, KWANZA HAMNA USHAHIDI WOWOTE ، CHA PILI CHADEMA HAKUNA MLICHOFANYA MLIVYOKUWA BUNGENI MPAKA WANANCHI WAKAWAFUKUZA NYOTE KWA KUWANYIMA KURA, TUNAMSUHUKURU HAYATI MAGUFULI KWA KAZI NZURI ALIZOFANYA MPAKA WATU WAKAONA COVID 19 YA WABUNGE IKAE PEMEBENI. HAYATI MAGUFULI AKAWAONEA HURUMA AKAWALETA BUNGENI KAMA VITI MAALUM SIJUI, HAKUTUFANYIA JAMBO ZURI ILA HATUWEZI MLAUMU COZ AMEFANYA MAZURI MENGI NA TULIAMINI ANAWALETA BUNGENI KUNA KITU AMEONA. ILA CHADEMA HAISTAHIKI HATA KUPEWA MTAA KUONGOZA. MAMA ANA HURUMA ANAWEZA WAPA UBUNGE BAADHI LAKINI NAMSIHI AFUATE KURA. KAMA WANANCHI TUMEAMUA KUWAWEKA BENCHI COVID 19 TUNAOMBA WASIINGIZWE KWENYE BUNGE. KODI ZETU NDIO ZINAWALIPA SIO VIONGOZI. SIWAPANGII KAZI VIONGOZI ILA NI OMBI HILO KWA MAMA SAMIA، IKIWA TUMEWATOA CHADEMA TUNAOMBA KURA ZETU ZITHAMINIWE NA WASILETWE BUNGENI KUJA TOA MATUSI. RAISI ANA HAKI YA KUCHAGUA MTU YYTE ILA HAWA VIUMBE WA MACHAME WASICHAGULIWE
Katombwege huko malaya usiye na ubongo wewe !
Kazi kuandika mavi tu humu ,maneno mengi takataka tupu kujaza servers Tu hapa .
Kajifunze kuandika kwanza zezeta wewe
Unawashambulia Chadema ,Chadema ndio wanateka ,kutesa na kuua watu nchi hii we fala ?
Baba yako ni bora angepiga bao bafuni kuliko kuzaa mbulukenge kama wewe
 
Nasubiri kujua estimate ya time of death ila naamini walivyoona mzigo umeenda viral, mpaka Millard Ayo kareport wameruka naye.
Naamini ni <48 hours, tusubiri report.
 
Yani upo sahihi kabisa mkuu mi nashangaa wanaoitupia lawama Gavoo, mtu kama umeishi nchi zenye matukio utaelewa mambo ya kisasi unaweza mpiga mtu ukampasua ila kisasi chake akikudaka anakumwagia njugu
Logic ndogo kama hizi mnashindwa ,we kuangalia circumstances Tu za mauaji na kuona kwamba kuna tatizo kubwa na ukiangalia trend ya mauaji na pattern zake zilivyo nchi hii ?
Si kuna watu wengi tu wamekuwa wanatekwa na kuaawa na miili yao kukutwa Mwananyamala tena kihuni ,hao akina Sugu na manyika wenyewe mwaka huu tu wamekamatwa na polisi kinyemela wakaenda kuteswa na kupelekwa Mwananyamala , ninyi mnajitoa akili na kuandika upuuzi humu .
Swine
 
CHADEMA NI KELELE ZA MITANDAONI. UKITOA HOJA HAKUNA ANAYEJIBU. NI MATUSI NA KULALAMIKA KWAMBA TUMETUMWA. MAJUKWAA YENU YOTE NI KUISEMA CCM, NA MNAFANYA HIVI KWA SABABU CCM IMEWASHINDA KIMAENDELO NDIO MAANA MNA CHUKI NAYO. WANANCHI HAWAHITAJI CHAMA KINGINE KISICHOJIELEWA KAMA CHADEMA, CHAMA CHA KIDICTETA MWENYEKITI ANAKAA MIAKA ZAIDI YA KUMI HATAKI KUACHIA NGAZI.
Asee unashangaza kwenye ishu ya uhai na kifo unaleta ishu za uchama? Kwahiyo mtu akihoji kuhusu uwajibikaji wa serikali inayotawala kushindwa kukomesha haya yanayotokea anaonekana ni mpinzani. Asee tuna safari ndefu ya kwenda kama taifa.
 
Tumejenga uwoga kiasi kwamba hata kwenye ukweli hatuaminiani tena,so far jeshi la polisi wametoa ufafanuzi wa tukio zima mpaka kupelelea kifo cha marehemu..
 
akili huna au unauwezo mdogo wa kufikiri watu invest sehemu tofauti mtu anaweza kua wakala lakini ana deal na vifaa vya magari,vya ujenzi n.k
Ongezea pia kua na ma deal machafu pia wanakuanayo, na hayo ma deal machafu ndiyo huwa yanawaponza hadi wanaangukia kwenye umauti!!
 
Back
Top Bottom