TANZIA Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala


Huyu ni yule aliyenusurika kutekwa mtaani kwake hivi karibuni?
 
Huyu kaka hakuumwa lakini leo anakutwa amefariki.

Mnaotenda huu ukatili mtakosa amani ya moyo hata kama mnaishi kwenye mahekalu na kuendeshwa kwenye VX.

Hizi damu na masononeko lazima zitawawesesha kupita maelezo.
Ajali ya bodaboda ya kikatili sana
 
This is alerting! Maana yake raia tujilinde wenyewe hakuna mtu au mamlaka nyingine iliyo na wajibu wa kulinda usalama wa raia
 
Ajali ya bodaboda ya kikatili sana

Kama ilitokea ajali Ubungo External ,wasamaria wakampeleka hospital ya makuburi ,Je hospital ilipokea majeruhi bila PF3? Kama ilipokea bila PF3 ndiyo utaratibu huo? Kama walienda kuchukua PF3 mbona ndugu walivyokuwa wanamtafuta kwenye vituo vya polisi walisema hawajamuona? Kwanini polisi wasiseme kuna majeruhi wa boda tulipokea PF3 ebu nendeni hsopital flani mkamtambue?

Ajali ilitoke Ubungo ila simu yake mara ya mwisho ilizimwa Chang'ombe ,benefit of doubt(Labda vibaka walichukua baada ya "ajali").
 
Achunguze nani? Project ya wakubwa hii, ndio mana bibi kimya, waziri kimya, vyombo vya usalama hawasemi kitu.
 
Polisi hawana ufuatiliaji kuhusu mtu aliekufa labda labda labda waliofiwa wawe na mawe na waajiri polisi wao private wachunguze ila sio wale wanaolipwa na Serakali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…