Kalpana
JF-Expert Member
- Jun 16, 2017
- 32,603
- 62,269
Bado tuna wtt wadogo mkuu...tuishi kwanzaHii nchi inatakiwa ipigwe balistic missile la kimataifa kizazi hiki tufe wote kije kingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado tuna wtt wadogo mkuu...tuishi kwanzaHii nchi inatakiwa ipigwe balistic missile la kimataifa kizazi hiki tufe wote kije kingine
Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi, aliyepotea tangu Desemba 11, 2024 amekutwa amekufa na mwili wake kukutwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, jijini Dar es Salaam.
View attachment 3177965
Ulomi aliyekuwa akifanya biashara za fedha za mitandao ya simu maeneo yaa Sinza Kijiweni na Mwenge alipotea tangu 11 Desemba 2024.
Juhudi za kumpata Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro zinaendelea, baada ya simu zake kuita bila kupokelewa.
Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu, Desemba 16, 2024 baba mkwe wa Ulomi, Japhet Munisi amesema alipigiwa simu leo asubuhi na mke wa marehemu, akimjulisha kuwa amepata taarifa kuwa mwili wa mumewe uko hospitali.
Pia, Soma:
• Mfanyabiashara Ulomi apotea, familia na Polis wanamtafuta
• TRA: Hatuhusiki na kupotea kwa mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi
• Polisi waanza kumtafuta Ulomi anayedaiwa kupotea
Akamatwe na nani Mkuu!Akamatwe mganga mkuu aseme mwili umefikaje hospital
Ajali ya bodaboda ya kikatili sanaHuyu kaka hakuumwa lakini leo anakutwa amefariki.
Mnaotenda huu ukatili mtakosa amani ya moyo hata kama mnaishi kwenye mahekalu na kuendeshwa kwenye VX.
Hizi damu na masononeko lazima zitawawesesha kupita maelezo.
Ajali ya bodaboda ya kikatili sana
Magufuli huyo anateka na kuuaSaivi kufariki kwa kupotea imekuwa eazy sana tulipofika ni hatari sana
Mbona wwe hajakuteka na kukuuwa na uko humu hadi saa hizi unabwabwaja kama kawaida yako!!!‽?Magufuli huyo anateka na kuua
Taarifa nyingine inasema alipigiwa simu na wakala wake kuja kukagua mzigo wake uliomo kwenye Contena baada ya maafisa wa Tra kuona vitu suspicious!!
Polisi hawana ufuatiliaji kuhusu mtu aliekufa labda labda labda waliofiwa wawe na mawe na waajiri polisi wao private wachunguze ila sio wale wanaolipwa na SerakaliHivi watanzania tumelogwa? Mpaka lini hawa polisi watafanya tofauti na utaratibu unaopaswa mpaka kufikia hatua ya wananchi kukata tamaa kiasi hiki na kuwaacha wafanye watakavyo huku wananchi wakiwa wameinamisha vichwa chini kama kondoo?
Tunahitaji mageuzi mapema sana kwa mustakabali wa vizazi vyetu hakika nawaambia....
Mkuu usimfananishe kima na vitu vya ajabu ajabu kama huyo jamaa.Narudia tena umeonyesha upumbavu wa hali ya juu. Hao niliorodhesha waliuawa na serikali. Walikuwa na nini cha hatari? Unakuwa ana akili kama kima bwana!
Mkuu fungua codesAchunguze nani? Project ya wakubwa hii, ndio mana bibi kimya, waziri kimya, vyombo vya usalama hawasemi kitu.
Ni vile tuu watu wamekubali kuwa wanyonge kama ingekuwa haki inapatikana hiyo hospital ndio ingewajibika kwa kutaja waliompeleka hapo marehem.Simple tu hospitali inatoa jibu kuwa mgonjwa aliletwa akiwa taabani na wasamaria wema.
Sasa kama kuna raia wanajichukukia sheria mkononi,kazi ya serikali ni kuangalia tu,uhalifu ukitokea?
K.u.ma. L.a mama yangu
Yanatokea haya mambo.. Tunajiuliza haha watu wanaotekwa wamefanya nini kumbe ni ndugu zetu wamtandaoniUko sahihi mkuu. Kuna accounts tokea wamwue yule mzee wa Chadema, humu zimepotea.
johnthebaptist, imhotep au nasema uongo?