TANZIA Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

TANZIA Mwili wa Ulomi, Mfanyabiashara aliyedaiwa kupotea wakutwa mochwari Mwananyamala

CHADEMA NI KELELE ZA MITANDAONI. UKITOA HOJA HAKUNA ANAYEJIBU. NI MATUSI NA KULALAMIKA KWAMBA TUMETUMWA. MAJUKWAA YENU YOTE NI KUISEMA CCM, NA MNAFANYA HIVI KWA SABABU CCM IMEWASHINDA KIMAENDELO NDIO MAANA MNA CHUKI NAYO. WANANCHI HAWAHITAJI CHAMA KINGINE KISICHOJIELEWA KAMA CHADEMA, CHAMA CHA KIDICTETA MWENYEKITI ANAKAA MIAKA ZAIDI YA KUMI HATAKI KUACHIA NGAZI.
Hoja gani umetoa kwani haijajibiwa..tuanzie hapo kwanza..lol
 
Hoja gani umetoa kwani haijajibiwa..tuanzie hapo kwanza..lol
CHADEMA MNATUMIA MISIBA KUFANYIA KAMPENI, KWANZA HAMNA USHAHIDI WOWOTE ، CHA PILI CHADEMA HAKUNA MLICHOFANYA MLIVYOKUWA BUNGENI MPAKA WANANCHI WAKAWAFUKUZA NYOTE KWA KUWANYIMA KURA, TUNAMSUHUKURU HAYATI MAGUFULI KWA KAZI NZURI ALIZOFANYA MPAKA WATU WAKAONA COVID 19 YA WABUNGE IKAE PEMEBENI. HAYATI MAGUFULI AKAWAONEA HURUMA AKAWALETA BUNGENI KAMA VITI MAALUM SIJUI, HAKUTUFANYIA JAMBO ZURI ILA HATUWEZI MLAUMU COZ AMEFANYA MAZURI MENGI NA TULIAMINI ANAWALETA BUNGENI KUNA KITU AMEONA. ILA CHADEMA HAISTAHIKI HATA KUPEWA MTAA KUONGOZA. MAMA ANA HURUMA ANAWEZA WAPA UBUNGE BAADHI LAKINI NAMSIHI AFUATE KURA. KAMA WANANCHI TUMEAMUA KUWAWEKA BENCHI COVID 19 TUNAOMBA WASIINGIZWE KWENYE BUNGE. KODI ZETU NDIO ZINAWALIPA SIO VIONGOZI. SIWAPANGII KAZI VIONGOZI ILA NI OMBI HILO KWA MAMA SAMIA، IKIWA TUMEWATOA CHADEMA TUNAOMBA KURA ZETU ZITHAMINIWE NA WASILETWE BUNGENI KUJA TOA MATUSI. RAISI ANA HAKI YA KUCHAGUA MTU YYTE ILA HAWA VIUMBE WA MACHAME WASICHAGULIWE
 
IMG-20241216-WA0061.jpg
 
CHADEMA MNATUMIA MISIBA KUFANYIA KAMPENI, KWANZA HAMNA USHAHIDI WOWOTE ، CHA PILI CHADEMA HAKUNA MLICHOFANYA MLIVYOKUWA BUNGENI MPAKA WANANCHI WAKAWAFUKUZA NYOTE KWA KUWANYIMA KURA, TUNAMSUHUKURU HAYATI MAGUFULI KWA KAZI NZURI ALIZOFANYA MPAKA WATU WAKAONA COVID 19 YA WABUNGE IKAE PEMEBENI. HAYATI MAGUFULI AKAWAONEA HURUMA AKAWALETA BUNGENI KAMA VITI MAALUM SIJUI, HAKUTUFANYIA JAMBO ZURI ILA HATUWEZI MLAUMU COZ AMEFANYA MAZURI MENGI NA TULIAMINI ANAWALETA BUNGENI KUNA KITU AMEONA. ILA CHADEMA HAISTAHIKI HATA KUPEWA MTAA KUONGOZA. MAMA ANA HURUMA ANAWEZA WAPA UBUNGE BAADHI LAKINI NAMSIHI AFUATE KURA. KAMA WANANCHI TUMEAMUA KUWAWEKA BENCHI COVID 19 TUNAOMBA WASIINGIZWE KWENYE BUNGE. KODI ZETU NDIO ZINAWALIPA SIO VIONGOZI. SIWAPANGII KAZI VIONGOZI ILA NI OMBI HILO KWA MAMA SAMIA، IKIWA TUMEWATOA CHADEMA TUNAOMBA KURA ZETU ZITHAMINIWE NA WASILETWE BUNGENI KUJA TOA MATUSI. RAISI ANA HAKI YA KUCHAGUA MTU YYTE ILA HAWA VIUMBE WA MACHAME WASICHAGULIWE
Police pamoja na mama wameshindwa ku protect watanzania wenzetu...nyingine zote sijui umetoa wapi..lol
 
Mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi, aliyepotea tangu Desemba 11, 2024 amekutwa amekufa na mwili wake kukutwa katika Hospitali ya Rufaa ya Mwananyamala, jijini Dar es Salaam.
View attachment 3177965
Ulomi aliyekuwa akifanya biashara za fedha za mitandao ya simu maeneo yaa Sinza Kijiweni na Mwenge alipotea tangu 11 Desemba 2024.

Juhudi za kumpata Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Jumanne Muliro zinaendelea, baada ya simu zake kuita bila kupokelewa.

Akizungumza na Mwananchi leo Jumatatu, Desemba 16, 2024 baba mkwe wa Ulomi, Japhet Munisi amesema alipigiwa simu leo asubuhi na mke wa marehemu, akimjulisha kuwa amepata taarifa kuwa mwili wa mumewe uko hospitali.

Pia, Soma:

Mfanyabiashara Ulomi apotea, familia na Polis wanamtafuta
TRA: Hatuhusiki na kupotea kwa mfanyabiashara Daisle Simon Ulomi
Polisi waanza kumtafuta Ulomi anayedaiwa kupotea
My observatiosn;
1. Umekutwa Mwananyamala, nani ameupeleka? coz haujajipeleka kutoka khuko kwenye tukio
2. Una majeraha? kama una majeraha ni ya namna gani, ajali, kuchomwa na kitu chenye ncha kali au kupigwa na vitu butu kama hana majeraha kuna dalili gani za sababu ya kifo mfano kifo kinachosababishwa na kemikali zozote zile kula kunywa , kufukizwa etc, Postermotum itoe majibu
3. Alitoka na pikipiki sinza kijiweni, je pikipiki imepatikana? iko katika hali gani ya ajali, kufichwa au vinginevyo?
4. Mawasiliano yake ya mwisho yakoje kuanzia yule Agenti ugomboaji mizigo na kuendelea.

Tupate majibu haya then tusonge mbele!!!
 
Vifo vingine vinatokana na dhuruma kuiba wake za watu nk. Sidhani kama kufikiria serekali ya fisiemu inauwa hawa watu wote ni sahihi
let be reasonable guys. Serekali haiwezi kuuwa watu hovyo ikuuwe ww nani!!?? Yani serekali ije ikuuwe ww tigopesa kuweni na heshima kidogo basi
Yani upo sahihi kabisa mkuu mi nashangaa wanaoitupia lawama Gavoo, mtu kama umeishi nchi zenye matukio utaelewa mambo ya kisasi unaweza mpiga mtu ukampasua ila kisasi chake akikudaka anakumwagia njugu
 
My observatiosn;
1. Umekutwa Mwananyamala, nani ameupeleka? coz haujajipeleka kutoka khuko kwenye tukio
2. Una majeraha? kama una majeraha ni ya namna gani, ajali, kuchomwa na kitu chenye ncha kali au kupigwa na vitu butu kama hana majeraha kuna dalili gani za sababu ya kifo mfano kifo kinachosababishwa na kemikali zozote zile kula kunywa , kufukizwa etc, Postermotum itoe majibu
3. Alitoka na pikipiki sinza kijiweni, je pikipiki imepatikana? iko katika hali gani ya ajali, kufichwa au vinginevyo?
4. Mawasiliano yake ya mwisho yakoje kuanzia yule Agenti ugomboaji mizigo na kuendelea.

Tupate majibu haya then tusonge mbele!!!
Hayo yote yatajulikana katk uchunguzi hakuna uhalifu usioacha footprint
 
Back
Top Bottom