My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

Ngoja kwanza, Hizo kafara zinatolewa vipi?

Huyo mtu anaye tolewa kafara anauwawa vipi?

Au wanamteka kisha kumuua?
 
Kama njaa jamaa asingekata $50 milioni, ni tamaa tu hamna kingine
 
C2 SIJAWAACHA NYUMA KULA HIIO
Leo kama hujui kiingereza ,umbea unakupita!!
Really 😮‼️

"Diddy was controlled to do everything he did. I've been there, and I can tell you every Hollywood celebrity has a story to tell. There are people in power who control you, turning you into a d£mon so they have something to use against you if you choose to turn your back on them tomorrow. They give you everything with conditions and tell you they can take it all back if you don't follow instructions.

I had to be the brave one to tell them no, and they made it look like I was m@d. All the musicians with power are pup_pets to a group of influential people. They use them to win souls and when you are tired, they bring you down and continue their mission." ~ Kanye West

#worldwideblogstandard
 
Kuna mwingine alisema waliyofanyiwa kule hayafai ku post mitandaoni, ila meneja wake akatoa hint kwamba walienda chumbani kwa diddy wakamkuta anafanyiwa massage na baadaye akamfukuza yule bint aliyekuwa akimfanyia massage.
 
Wasanii wa bongo ni maskini kuliko inavyodhaniwa. Na wao pia hawako nyuma kwenye ushenzi ingawa bado hawawezi kumfikia Diddy.
 
P. DIDDY NA SHEREHE ZA SHETANI

Nimeandika maada nyingi kuonesha muziki na mafanikio makubwa hutawaliwa na nguvu za kishetani. Kadiri binadamu anavyo jaribu kuwa kubwa zaidi ndipo hukutana na ukuu wa shetani.

Muziki kwa kiwango kikubwa hutaliwa na Chama cha shetani kiitwacho Illuminant au Freemason. Hawa jamaa wanao uwezo kukufanya kuwa mkubwa na kuwa juu ya sheria duniani.

Lakini pindi utakavyokiuka maagano yao ukushusha sababu wao umiliki pia makampuni makubwa na kuwa sehemu ya serikali mbalimbali duniani.

Sherehe zao hutawaliwa na mambo mengi ya ushoga, ndio maana kila msanii aliyekuwa karibu au kuwahi kuhudhuria sherehe za P. Diddy ni ngumu kusimulia nini kilitokea ndani ya sherehe hizo.

Tanzania Babu Tale na Diamond wamewahi kuhudhuria sherehe za Diddy, katika mahojiano Diamond amewahi kusema sio vizuri kusimulia yaliyoendelea ndani ya sherehe hizo.

Nimewahi kuandika muziki husimamiwa na nguvu za giza za kiafrika na Ulaya. Baada ya kukiukwa na masharti Diddy alishikwa na Mafuta ya vilainishi karibu chupa 1,000 na anakabiliwa na kashfa mbalimbali zilizomuweka chini uangalizi wa polisi.

Baadhi ya wasanii wakubwa wamekuwa wakimkana Diddy na kufuta picha walizopiga na Diddy kwa hofu ya kukabiliwa na ushoga.

Mtazamo wa kidunia wengi waliohudhuria sherehe za Diddy wanatazamwa kama binadamu walioingiliwa kimwili. Licha kuwa jinsi zao za kiume.

Dalili zote nilishaandika mnataka niandike nini tena? Macho mnayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…