My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

We jamaa unaandika mengi, ila nimegundua ni muoga sana, ujasiri wako ni kwenye kibodi. Unaombea watu misamaha na mara ooh ndugu, mara oooh yaan fyokofyoko kibao. Achen kutisha watu na hata hujui lolote kuhusu hizo pesa za mastaa sema unapita na upepo na kutisha watu humu. Tulia wacha shuhuda za uongo
 
Nilimpata Yesu, niliacha kila kitu lakini naomba maumivu haya yaondolewe. kwa maana malaika aliyepotea ndani yangu kwa utukufu na matarajio ya ulimwengu, naomba kuzimu isinipe sehemu ya VIP.
Mbona hakuwahi kusema before? Au Siri imekua changamoto?
 
Hata E MOJA ULIPATA KKUU¿
 
Watu wanaamini aliwapelekea moto, lakini Holywood and entertainment ndustry Kuna dhuluma nyingi sana, sasa inawezekana walipigwa na deal mbovu , sasa wako tayari kusema lolote wapate payday
Mwendoowamavuno

Hakim mjanja kajua zilepesa abatoa mashahidi watakimbia zibaki kuwalipa waathirikaa
 
JB
DAH NAANGALIA AISEE KALIVYO SHETANMBAYA SANA
 
Unaokota habari za uongo mtandaoni na wewe unakuja kudanganya watu humu jukwaani ...stupid wahed
 
Justin bierber ni muhanga anapaswa kuonewa huruma.
Na wote waliofanyiwa vile hawapaswi kuchekwa.wanateseka kiakili.
Ndo maana wale jamaa zetu akina nyundo tunataka wale mvua za kutosha.cheo,madaraka utajiri isiwe chanzo cha kuwanyanyasa watu kingono.
 
Huyu kwa hivi inawezekana ata kwa 2pac ni kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…