My confession: Justin Bieber kuhusu P-Diddy

Lakini hajasema masaa 48 walikua wanafanya nini,labda ni madawa na madem tu.
 
Nyie huyu Kanye sidhani km ni mzima....
Hii ni baada ya kuanza kuachilia siri zao haya Mambo hata Michael Jackson yalimpata. Unatengenezewa mazingira ambayo kila ataekutazama atasema wewe ndo unashida.

Sema pia wasanii wa kariba hii wanatumia sana madawa ya kulevya na ndo maana wanaonekana hawako sawa.
 
Ndio maana huwa nayachukulia maneno na maandishi ya David Ickle Kwa uzito na tafakuri kubwa.
Yeah !
Kuna watu huwa wanamwona kama mwehu flani ila kuna mambo mengi sana anayoongea yana make sense na evidence zipo kabisa na zinaendelea kufunuka
 
Ukitafsiri kitu/makala au andiko lolote kwenye translator jaribu kufanya uhariri binafsi kabla hujapost! Kuna Kiswahili kilichotumika huwa hakiko sawa.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ye a.k.a Kanye west aliyekua anaonekana mwehu nadhani now atapewa sikio sasa ili awafunulie watu ya sirini wasiyoyajua.
 
Ilikua wapi hii kaka!?
 
ukiona watoto zenu wakiume wanakimbilia ma shereh za mastaa kama hawa ujiandae na haya ya Jb

mtakutana. Na wallpuuut ooh
Khaaaah [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 

Source?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…