Pridah
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 1,495
- 3,453
- Thread starter
- #161
😀😀😀Ndo hivyo.
Kuna dogo alikuwa analikia sana game kila ikitoka lazima apate, tena apate mapema kabla ya wenzake.
Lakini akishaipata anacheza hata wiki haifuki anaitupa pembeni kashaisahau.
Anashughulika na mambo mengine.
Lakini asipopata sasa, huo muziki wake 😂😂😂
Ila watoto wana visa jamani😀
Nimempigia picha huyo dogo nimejikuta nacheka😀
Ila pamoja na hekaheka zao zote huwa wanaburudisha sana.
Wana uwezo wa kukukera mpaka ukatamani kumtupa dirishani hlf ndani ya dakika akakufanya utabasamu na usahau yote😀