She Quoted you
JF-Expert Member
- Oct 19, 2020
- 687
- 1,184
- Thread starter
-
- #261
Nipe faida moja tu, Moja tu, Moja tu, Moja tu.....Ambayo siwezi kuipata nje ya dini.Asiyesikia la mkuu...
Waheshimh baba yako na mama yako
Kijana kuna faida nyingi kujihusisha na ibada
Utaelewa tu lakini..zipo siku
Ili usiulizwe kuhusu misimamo yakoKwani lazima?
too much of anything is harmfulNimemtafuta Mungu kuliko wewe uliyeaminishwa kirahisi na ukaamini tu blindly.
Nimesoma vutabu vyote, nimesali dini na madhebu karibia yote nimetumia nguvu kubwa sana.
Nikaja kugundua nafukuzia upepo unaenda wapi.
Zip nyingiiiNipe faida moja tu, Moja tu, Moja tu, Moja tu.....Ambayo siwezi kuipata nje ya dini.
I think uyu s KIUMBEWashashiba wali wa wazazi sasa wanamkana Mungu[emoji28]
Hii ndio point ya msingi, huwezi kujipangia namna ya kuishi kwenye himaya ya mtu mwengineila as long as bado upo chini yangu kanisani ni lazima"
Maisha yako kiroho..kama huoni faida mimi ni nani?Nipe faida moja tu, Moja tu, Moja tu, Moja tu.....Ambayo siwezi kuipata nje ya dini.
NdioooKwani lazima?
Pia kwa mungu tuna pata vingi vyemaaMaisha yako kiroho..kama huoni faida mimi ni nani?
Umeanza kwa kumkana Mungu sasa muda si mrefu nafsi yako itapata cha kuamini na kuabudu...hold on tight ur almost there
Tuna pewa nguvu ya kushinda umautMaisha yako kiroho..kama huoni faida mimi ni nani?
Umeanza kwa kumkana Mungu sasa muda si mrefu nafsi yako itapata cha kuamini na kuabudu...hold on tight ur almost there
Hasty generalizationMfano eti papa wa Roman Catholic anajiita God representative on Earth ,how stupid you have got to be to believe in shit like that ,hayo makanisa mengine yaliyobaki ndio hao wazee wa sadaka ,kukanyaga mafuta na takataka nyingine kule kwa wavaa kobaz nako vitimbwi haviishi ni kuvaa mabomu na kujilipua , kulazimisha upuuz wao kwa wengine . Crazy shit
Ah wewe ni jasiri sana.Hii iliwahi kunikuta mie, wakati nipo Advance, wazazi walikua wananipigia kelele sana kisa kutoenda kanisani, na kuacha kabisa kufuata misingi ya dini,
Mwanzoni nilikua nawasikiliza ila kanisani siendi, ikafika hatua wazazi wakawaita watu wazima wanikalishe chini huenda nna tatizo, wale watu walio tumwa niliwapa vipande vyao hadi wakasandaa, wakaenda kutoa majibu kwa wazazi, nashangaa wazazi wakaanza kuninunia na kunisusa fulaan hivi, sikuwa najari hata.
Baadae wakanipeleka kwa katekista azungumze na mie, yulee katekistaa alianzaa kunisema na kuhubiri anayoyajua, nkawa namsikiliza tyuuh, mara akaanza oooh sijui motoni mara jehanamu. Nlichoka kusikiliza uongo wake, nkampa swali
"hayo mambo ya motoni na jehanamu sijui akhera na mbinguni wee uthibitisho unao? Uliwahi kwenda kushuhudia? Ni marehemu gani aliyekufa na kuzikwa akarudi tena duniani kusema kuwa huko kuna mbingu na jehanamu? Sasa km yupo nikutanishe nizungumze nae, km hayupoo naomba uniache sina mda wa kusikiliza hizo ngonjera zako hapa, na ukawaambie wale waliokutuma kuwa kanisani siendi kamweee na sitaki nikiwepo wazungumzie masuala ya dini iwe mwanzo na mwisho"
Yule katekistaaa akapekeka ujumbe kwa wazazi, siku ya pili baba ananambia kuna kikao cha familia, nkasema sawa. Jion yake tukakaa sebulen, mara mama anaanza kulia "mwanangu umekumbwa na nn shetan gan kakushika hvyo, pepo chafu hilo likutoke" nkaona huyu ananiletea uchuro, nkawachana ukweli na nlisema msimamo wangu ni huu na haubadiliki.
"Kuanzia leo nitakapokaa au kuwepo mie naomba masuala ya dini yasiwepo na yakiwepo nisihusishwee, sikuzaliwa ili nije kuridhisha watu, nilizaliwa ili kufurahia na kuishi maisha ya hap duniani. Huko kanisani siendi na sitakwenda kwa matakwa ya mtu yeyote ila maamuzi yangu binafsi, sina pepo chafu, shetani wala ndugu zake, ila mie mwenyewe sitaki na sipendi kwenda kanisani. Siwezi kuishi kwa kuwaridhisha nyie, kingine ambacho hamkijui wazazi mie mwanenu niko real sana, huwa sina sababu ya kufake kitu, siwezi kuinyima haki nafsi yangu kisa nyie hapanaa siweziiii.ntafanya yale ambayo natakiwa kufanya kwenu km wazazi ila masuala yangu binafsi uzazi na utoto nauweka pembeni nasimama mie km mie. Nimemalizaaaaa.
Tangu siku ile had leo sisikii habari zao za dini wala nn, na tunaishi vizuri tyuuh, nakusihi hebu simamia msimamo wako acha kupelekeshwa, mzazi hawezi kukuingilia ktk masuala yako ya imani. Be you!!!
.............
Na kuna tumain siku z mwish kuish na kufuraiMaisha yako kiroho..kama huoni faida mimi ni nani?
Umeanza kwa kumkana Mungu sasa muda si mrefu nafsi yako itapata cha kuamini na kuabudu...hold on tight ur almost there
Imani sio lazima uende kanisan na msikitini. HapanaaaaImani ipi na haushiriki msikiti wa kanisa
Ama mtafungua lenu nyumbani[emoji28]
Ngoja mzae wa kwenu afu tuwaone
Imani pia ni for social reasons,kushiriki na wengine
Ila una kibrii shoga kidawaKwani lazima?
Ohh ww nae umepoteaImani sio lazima uende kanisan na msikitini. Hapanaaaa
Yes, God IS energyKesho utaanza kusikia anafanya meditation,oo Mungu Ni energy,ukifa utazaliwa panya ndio hao watu waliomezeshwa falsafa za kishetani
Jenga hoja acha kumprove wrong, wew jamaa nakuonaga una akili kumbe bado sehemu ya akili zako imeegemea ktk dini.Husianisha mada yako ni hiki ulichoeleza hapa kwenye maoni haya.
Ndio maana nikakuambia itakuwa maajabu Kama kweli Una Degree.
Nitajie Kanisa au dini yoyote inayotaka FGM,
Unajua unapotoa hoja unatakiwa utumie AKILI ili kuepuka kudharauliwa!
Unaeleza hiki unarukia hiki, unashindwa kufanya Reflection Kama msomi?
Kukaa nyumbani Kwa mtu lazima ufuate sheria zake,
Elewa sheria za watu na kwenye familia zinagaidiwa/zinaongozwa na sheria za nchi pamoja na Dini wanazoziamini.
Kwa hiyo hawawezi kukuagiza mambo yaliyonje ya sheria za Dini au za Nchi.
Kumbuka mpaka iitwe Dini ndani ya nchi yetu lazima iwe imesajiliwa kisheria.
Sasa nafikiri umeelewa ni Kwa nini hawatakuambia mambo ya uhalifu.
Ninachokiona kwako ni unajifunza kujenga hoja. Na upo hatua za awali kabisa.
Hivyo jitahidi utumie akili na Logic katika kujenga hoja zako
Na wanaosali ni watakatifu?Na wengi wao wanaomkana Muumba wao miongoni mwao ndio wanaofanya maovu na uzinzi na ufiraji na kulawitiwa
Ndo nakuuuliza mtafundishana ndani milele yote na wanao?Imani sio lazima uende kanisan na msikitini. Hapanaaaa