Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Kwani lazima?
Ili usiulizwe kuhusu misimamo yako
Si unataka uhuru wa kiimani Mama?
Nimemtafuta Mungu kuliko wewe uliyeaminishwa kirahisi na ukaamini tu blindly.
Nimesoma vutabu vyote, nimesali dini na madhebu karibia yote nimetumia nguvu kubwa sana.
Nikaja kugundua nafukuzia upepo unaenda wapi.
too much of anything is harmful

Wl find you that verse
 
Mfano eti papa wa Roman Catholic anajiita God representative on Earth ,how stupid you have got to be to believe in shit like that ,hayo makanisa mengine yaliyobaki ndio hao wazee wa sadaka ,kukanyaga mafuta na takataka nyingine kule kwa wavaa kobaz nako vitimbwi haviishi ni kuvaa mabomu na kujilipua , kulazimisha upuuz wao kwa wengine . Crazy shit
 
Mfano eti papa wa Roman Catholic anajiita God representative on Earth ,how stupid you have got to be to believe in shit like that ,hayo makanisa mengine yaliyobaki ndio hao wazee wa sadaka ,kukanyaga mafuta na takataka nyingine kule kwa wavaa kobaz nako vitimbwi haviishi ni kuvaa mabomu na kujilipua , kulazimisha upuuz wao kwa wengine . Crazy shit
Hasty generalization

So then hamna Mungu sio😅
 
  • Thanks
Reactions: Cyb
Hii iliwahi kunikuta mie, wakati nipo Advance, wazazi walikua wananipigia kelele sana kisa kutoenda kanisani, na kuacha kabisa kufuata misingi ya dini,

Mwanzoni nilikua nawasikiliza ila kanisani siendi, ikafika hatua wazazi wakawaita watu wazima wanikalishe chini huenda nna tatizo, wale watu walio tumwa niliwapa vipande vyao hadi wakasandaa, wakaenda kutoa majibu kwa wazazi, nashangaa wazazi wakaanza kuninunia na kunisusa fulaan hivi, sikuwa najari hata.

Baadae wakanipeleka kwa katekista azungumze na mie, yulee katekistaa alianzaa kunisema na kuhubiri anayoyajua, nkawa namsikiliza tyuuh, mara akaanza oooh sijui motoni mara jehanamu. Nlichoka kusikiliza uongo wake, nkampa swali

"hayo mambo ya motoni na jehanamu sijui akhera na mbinguni wee uthibitisho unao? Uliwahi kwenda kushuhudia? Ni marehemu gani aliyekufa na kuzikwa akarudi tena duniani kusema kuwa huko kuna mbingu na jehanamu? Sasa km yupo nikutanishe nizungumze nae, km hayupoo naomba uniache sina mda wa kusikiliza hizo ngonjera zako hapa, na ukawaambie wale waliokutuma kuwa kanisani siendi kamweee na sitaki nikiwepo wazungumzie masuala ya dini iwe mwanzo na mwisho"

Yule katekistaaa akapekeka ujumbe kwa wazazi, siku ya pili baba ananambia kuna kikao cha familia, nkasema sawa. Jion yake tukakaa sebulen, mara mama anaanza kulia "mwanangu umekumbwa na nn shetan gan kakushika hvyo, pepo chafu hilo likutoke" nkaona huyu ananiletea uchuro, nkawachana ukweli na nlisema msimamo wangu ni huu na haubadiliki.

"Kuanzia leo nitakapokaa au kuwepo mie naomba masuala ya dini yasiwepo na yakiwepo nisihusishwee, sikuzaliwa ili nije kuridhisha watu, nilizaliwa ili kufurahia na kuishi maisha ya hap duniani. Huko kanisani siendi na sitakwenda kwa matakwa ya mtu yeyote ila maamuzi yangu binafsi, sina pepo chafu, shetani wala ndugu zake, ila mie mwenyewe sitaki na sipendi kwenda kanisani. Siwezi kuishi kwa kuwaridhisha nyie, kingine ambacho hamkijui wazazi mie mwanenu niko real sana, huwa sina sababu ya kufake kitu, siwezi kuinyima haki nafsi yangu kisa nyie hapanaa siweziiii.ntafanya yale ambayo natakiwa kufanya kwenu km wazazi ila masuala yangu binafsi uzazi na utoto nauweka pembeni nasimama mie km mie. Nimemalizaaaaa.


Tangu siku ile had leo sisikii habari zao za dini wala nn, na tunaishi vizuri tyuuh, nakusihi hebu simamia msimamo wako acha kupelekeshwa, mzazi hawezi kukuingilia ktk masuala yako ya imani. Be you!!!

.............
Ah wewe ni jasiri sana.
Ishu mimi hapa sio kwamba nawaogopa au nini, nachoogopa ni kwamba nikiwaambia hayo wanaweza kufa kwa presha au msononeko maana umri umeenda.
So nawafurahisha not for my good, but for their own good.

Hizo wiki 3 nlizoacha kabla beki 3 kuyatibua, ilikuwa ikifika j2 mama ananinunia siku nzima.
Na unaona kabisa hana furaha ni kama anakuwa na msongo wa mawazo kama mgonjwa.
So nikaamua nikubaliane naye tu kwa afya yake mwenyewe.
 
Maisha yako kiroho..kama huoni faida mimi ni nani?

Umeanza kwa kumkana Mungu sasa muda si mrefu nafsi yako itapata cha kuamini na kuabudu...hold on tight ur almost there
Na kuna tumain siku z mwish kuish na kufurai
 
Husianisha mada yako ni hiki ulichoeleza hapa kwenye maoni haya.
Ndio maana nikakuambia itakuwa maajabu Kama kweli Una Degree.

Nitajie Kanisa au dini yoyote inayotaka FGM,
Unajua unapotoa hoja unatakiwa utumie AKILI ili kuepuka kudharauliwa!

Unaeleza hiki unarukia hiki, unashindwa kufanya Reflection Kama msomi?

Kukaa nyumbani Kwa mtu lazima ufuate sheria zake,
Elewa sheria za watu na kwenye familia zinagaidiwa/zinaongozwa na sheria za nchi pamoja na Dini wanazoziamini.
Kwa hiyo hawawezi kukuagiza mambo yaliyonje ya sheria za Dini au za Nchi.

Kumbuka mpaka iitwe Dini ndani ya nchi yetu lazima iwe imesajiliwa kisheria.
Sasa nafikiri umeelewa ni Kwa nini hawatakuambia mambo ya uhalifu.

Ninachokiona kwako ni unajifunza kujenga hoja. Na upo hatua za awali kabisa.
Hivyo jitahidi utumie akili na Logic katika kujenga hoja zako
Jenga hoja acha kumprove wrong, wew jamaa nakuonaga una akili kumbe bado sehemu ya akili zako imeegemea ktk dini.

Ni ngumu kutenganisha Utumwa na Dini za watu weupe, huwez kujiita umeelimika ilihali bado unaamini dini kuwa kigezo cha maisha ya mtu mweusi, acheni ujinga, someni sana, hivyo videgree vyenu mnavyosoma kwenye vyuo vyenu vya mabua kwa kutegemea boom la serikali ili mtoboe na kukalilishwa upumbavu, basi mkigraduate acheni kujiona wajuaji.

Humu kuna wasomi zaidi yenu ambao elimu wameipata nje ya uwezo wa level zenu za syllabus, so ukiona mtu anapinga jambo fulan, jitahidi kudadisi na sio kuhukumu,

Elimu ni pana, huwa nashangaa kumuona mbongo analingia Elimu hii mnayosoma huko majalalani

Dini zote ni uongo, Mungu wa dini hayupo, na hatowai kuwepo
 
Back
Top Bottom