Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Huna imani na Mungu lakini Mungu yupo ndani ya moyo wako. Mara nasoma biblia. Akili gani sasa hizi
 
Mtoto mwenyewee umemkutaa hajui kusimama na msimamo wake, ila sio mie, siishi kwa kumridhisha mtu. Never.

Na wazazi walishindwaaa kwangu tena had kwa kutumia watu wa nje. Lol
 
Una miaka 13 au 15,MTU mwenye miaka 24 hawezi kua mjinga hivyo,unamkosea bi Mkubwa sio kwa kotokwenda kanisani wala msikitini,kwa kutotii sheria zake alizojiwekea kwenye NYUMBA YAKE..Unamnyima raha kwenye NYUMBA yake ,why can't you just leave the nest Dada Mkubwa??why kubishana na mwenye mji??ulipo kua Chuo alikua anakulazimisha uende kanisani??chagua kuha
ma au nenda kanisani...kama waziri alivyo tuambia tutalipa kodi au tuhamie Burundi, sheria zipo hivyo hiyo...upo chini ya sheria zake
 
Hakuna kiashiria chochote. Sema put in perspective, mwaka 1600 ungemuambia mtu kuna simu unaweza kutumia mawimbi kuwasiliana na mtu wa mbali akasikia.. angebisha, ila saivi ni kitu cha kawaida.
So I acknowledge kwamba huu ni ulimwengu wenye infinite possibilities, everything we know might be a very very small slice of everything there is to be known.

Lakini hii haimpi mtu lesseni ya kuclaim kitu chochote na kuforce tuamini kipo, eti kwakuwa 1960 hakukuwa na simu ndio leo useme in the future kutakuwa na watu ambao hawali ila hawafi tukaamini tu bila kiashiria chochote. Hatuwezi kukataa kwa asilimia 100 kwakuwa historia imetufundisha hivyo, lakini tutasema possibility ipo lakini tutakubali with certainity siku tukiona evidence.

Sio lazima uone kiashiria ndio useme kuna possibility ya kitu.

So even with God, currently hakuna kiashiria chochote wala ushahidi wowote kuwa yupo, Lakini naweka akiba ya kutosema hayupo kwasababu ulimwengu huu hautabiriki with certainity...Hata from the fundamental blocks of the universe (atoms, molecules, electrons) it is not predictable, it is probabilistic.

hata infinite multiuniverses could be possible, but not certain.

God could be there but not certain at the moment.

I am not anti-God, if he comes I will beleive, But currently he hasn't.
 
Swala la kutafuta taasisi ya kuzikiwa na kuamini kuna mungu ni vitu viwili tofarent.
 
Maisha ya asili ya africa ni kusali rozali ya bikra maria wa vatican na kumswalia mtume wa Macca??
 
Imani ya kikristo inazalisha Aesheists wengi mno mna sio imani sahihi ndo mna wengi wasioamini Mungu wametokea huko kwenye ukristo

Am proud to be a Muslim
Wow, ni jambo jema la kupongeza. sikujua hili...Basi kumbe hii imani inazalisha free thinkers na sio watumwa wa akili.
 
Kupungukiwa imani ni tatizo linaletwa na usasa! Mama yako anakuelekeza njia iliyo njema. Sali sana uondokane na hako kashetani ka-usasa kalikokukamata.
Yeye usasa wake wa kuacha mila na tamaduni za kiafrica za kuabudu miti, mizimu, na kukimbilia usasa wa kuamini mila za wazungu na waarabu na dini zao unaona ni sawa eti?
 
upo wewe sahihi kabisa,mzazi hayuko sahihi na wala hajui kuwa hayuko sahihi,sasa dawa jitahidi utafute maisha uhame hapo haraka sana
 
Kwa sasa jamii imeharibika sana hasa kwa wanafunzi wa sasa mbaya zaidi hawa wanachuo baadhi yao siyo wote tena wachache tu ila ukibahatika kuwaona mara nyingi wanawabeza hata wazazi wao USHOGA UMEWAHARIBU SANA LESIBIANISM
 
Mtoto mwenyewee umemkutaa hajui kusimama na msimamo wake, ila sio mie, siishi kwa kumridhisha mtu. Never.

Na wazazi walishindwaaa kwangu tena had kwa kutumia watu wa nje. Lol
Ndio nakuambia walichelewa mi wa kwangu tangu akiwa mdogo nimemuivisha sana kwenye dini. Na kingine exposure sana. Mi wanangu nimewapeleka nje sana so nimewafundisha kulinda utamaduni wao coz hakuna jipya. Ndio watu watakuheshim.
 
Maisha ya asili ya africa ni kusali rozali ya bikra maria wa vatican na kumswalia mtume wa Macca??
Hayo unafanya wewe. Mi mlutheri na ni imani tu hiyo haibadilishi asili yangu kama mchagga. Mi sio mlutheri mmorden ni kama ukienda Japan ukakuta Mlutheri mjapan haiuondoi ujapan wake Chief. Kingine safir sana utapata exposure ya kutosha na unavyosikia mtu ana msimamo ni katika kulinda asili yake sio ya watu
 
Kwahyo kabla ya wazungu na usasa wao kuja Africa, wachaga walikuwa Walutheri?
 
Fanya hata kuuza nyanya uishi kivyako hayo yote utaepukana nayo.

By the way namuonea huruma sana mwanaume yyt atakayejichanganya kukuoa.

Tafakari kisha chukua hatua
 
Ongezea tena fungu lingine kutoka kitabu kingine kilichoandikwa na watu wengine ambao kipindi wanaandika walikuwa hawakufikirii wewe mmatumbi.
And when it is said unto them: Follow that which Allah hath revealed, they say: We follow that wherein we found our fathers. What! Even though their fathers were wholly unintelligent and had no guidance, would they follow them?
2:170
 
Kwahyo kabla ya wazungu na usasa wao kuja Africa, wachaga walikuwa Walutheri?
Elewa wazungu nao walipelekewa dini kama sisi tu lakin haijaondoa utamaduni wao. Ni kama mbuddist aliyeko India au Thailand na Japani hao wote ni dini moja ila tamaduni tofauti kabisa. Au ukienda Ethiopia wale waoptic wa pale na wale wa Misri ibada zao ni zile zile ila wanautamaduni tofauti. So muhim nikujigundua we ninan tu. Wazungu wenyewe hawana dini kwasasa kwa taarifa yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…