Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Wewe unaona swala la kusali linatakiwa liwe shurti? Yani sheria?
Yani ulazimishwe kusali? Ulazimishwe kutoa sadaka? Ulazimishwe kusikiliza mahubiri?
Hata kama huyaamini?

Em weka hisia pembeni za uzazi na utii...fikiria philosophically au basi ukishindwa hata theologically imekaaje?

Huwezi weka philosophical au theological zako kwenye nyumba za watu. Ungekuwa mtu mzima na unaelimu kama usemayo usingeishi kwenu

Utu uzima sio umri pekee Bali ni majukumu pia.

Hata angekuwa anaabudu mashetani anamamlaka ya kukuambia uabudu hayo mashetani na ukafanya
 
Mleta mada hujitambui, yawezekena unatumia ngada au unasumbuliwa na ujuaji wa kijinga au usomi uchwara. Wewe mtu mzima gani unaishi kwenu, alafu unaambiwa na mzazi wako ufuate taratibu za mji wake unashupaza shingo. Au unataka wakati wanapoenda kanisani ubaki unamtafuna housegirl. Hapo Mzee akitangulia mbele za haki na wewe utatanguliza tumbo lako kudai urithi wakati sasa hivi unasema wewe ni mtu mzima hupangiwi Wala kulazimishwa. Kuwa na adabu kwa baba yako, na wewe utafanyiwa upuuzi km huu na watoto wako. Wazazi wako ni Mungu wa pili wanakuongoza kwa mema. Acha ujuaji na usera wa kijinga. Umeniudhi sana km Mzazi.
Doh! Wewe ni so closeminded mpaka sina la kukujibu. Have a nice day
 
Asante, Nimegundua Athiest wengi ni critical thinkers maana hawana institution au dini yoyote inayowasaidia kufikiria...Ninashangaa hapa hata watu hawafikirii nje ya box. Yani wanafikiria ndani ya box la dini zao tu.
ila ajabu ningesema mimi naamini uislam mama analazimisha niende kanisani. Ungeona wanavyojaa kunitetea.
Hapa ishu ni mimi kuwa athiest ndio maana wananipinga.

Yani hizi dini zimefunga sana akili za watu.
Kila la kheri, lakini toka kwa mama yako usipe sonona. Kapambane na shida au raha zako mwenyewe
 
Huyu ni kimbulu kashagongwa huko chuo, visharobaro vimempa kiburi, analeta dharau kweny nyumba za watu.
Hawa ndo wale wanafunzi wazazi wao wanajua wanakaa hostel kumbe wanaish na vibwana vyao pika pakua wakirudi nyumbani wanakua watu wazima wanaonunuliwa hadi pads.
Thanks for your judgement
 
Mkuu nakushauri uhame tu hapo home ukajitegemee ili uishi upendavyo. Kuna wenzio hawana hata mama wa kuwakumbusha kwenda kanisani,wewe unae unamfanyia dharau na bado ati unaenda kanisani na kuchat ibada nzima mkuu laana nyingine ni za kujitakia. Punguza dharau na ujuaji.

Jishushe,mpe thamani sahihi mzazi wako.
 
Huwezi weka philosophical au theological zako kwenye nyumba za watu. Ungekuwa mtu mzima na unaelimu kama usemayo usingeishi kwenu

Utu uzima sio umri pekee Bali ni majukumu pia.

Hata angekuwa anaabudu mashetani anamamlaka ya kukuambia uabudu hayo mashetani na ukafanya
Nyie ndio mnaosapoti mpaka FGM
 
Huyu ni kimbulu kashagongwa huko chuo, visharobaro vimempa kiburi, analeta dharau kweny nyumba za watu.
Hawa ndo wale wanafunzi wazazi wao wanajua wanakaa hostel kumbe wanaish na vibwana vyao pika pakua wakirudi nyumbani wanakua watu wazima wanaonunuliwa hadi pads.
Hapana mkuu, ukiona mwanamke ana uwezo wa ku reason maswala ya kiimani huyo ni level nyingine. Nadhani jf nzima hawazidi 10.
 
Hapana mkuu, ukiona mwanamke ana uwezo wa ku reason maswala ya kiimani huyo ni level nyingine. Nadhani jf nzima hawazidi 10.
Mpe kichwa ndugu yako,
Kumcha Bwana ndio hekima
 
Mkuu nakushauri uhame tu hapo home ukajitegemee ili uishi upendavyo. Kuna wenzio hawana hata mama wa kuwakumbusha kwenda kanisani,wewe unae unamfanyia dharau na bado ati unaenda kanisani na kuchat ibada nzima mkuu laana nyingine ni za kujitakia. Punguza dharau na ujuaji.

Jishushe,mpe thamani sahihi mzazi wako.
Kitendo cha kwenda ili anione ni thamani kubwa sana nmempa. Maana kiuhalisia sipendi hata kwenda hayo maeneo.

Na nachat kwasababu sioni cha kugain hapo kanisani, kila hubiri nlishasikia na hiyo biblia naijua kuliko wachungaji. Na hata nikisema niwaulize maswali hakuna atakayechomoka.

Na hizo laana unazosema mimi siziamini.
 
Back
Top Bottom