Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
Wewe unaona swala la kusali linatakiwa liwe shurti? Yani sheria?
Yani ulazimishwe kusali? Ulazimishwe kutoa sadaka? Ulazimishwe kusikiliza mahubiri?
Hata kama huyaamini?
Em weka hisia pembeni za uzazi na utii...fikiria philosophically au basi ukishindwa hata theologically imekaaje?
Huwezi weka philosophical au theological zako kwenye nyumba za watu. Ungekuwa mtu mzima na unaelimu kama usemayo usingeishi kwenu
Utu uzima sio umri pekee Bali ni majukumu pia.
Hata angekuwa anaabudu mashetani anamamlaka ya kukuambia uabudu hayo mashetani na ukafanya