whiteskunk
JF-Expert Member
- Jul 24, 2021
- 3,904
- 9,342
Akifika miaka 18+ hata akitaka kusomea uchawi ni yeye tu, mimi jukumu langu ni kihakikisha hapati shida ya chakula na mavazi mpaka atakapoweza kujitegemea.Mtoto ako akikwambia baba me sitak kwenda shule kwa sabb yote ni ukoloni na yametengezwa/yameletwa na binadamu utachukua uamuzi gani?