Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Mzazi kumlazimisha mtoto wake kwenda kanisani ni sawa?

Wewe unaona swala la kusali linatakiwa liwe shurti? Yani sheria?
Yani ulazimishwe kusali? Ulazimishwe kutoa sadaka? Ulazimishwe kusikiliza mahubiri?
Hata kama huyaamini?

Em weka hisia pembeni za uzazi na utii...fikiria philosophically au basi ukishindwa hata theologically imekaaje?
Acha ujuaji ndugu swala la kuamini au kutokuamini ni lako na ufanye maamuzi unayotaka kujiskia wewe ukiwa kwenye himaya yako sio kwenye himaya ya mtu
Kama mzazi anaona ni sawa kukuelekeza kwenye njia anayoona kwake inafaa hata kama wewe unaona anakupotezea Muda wako
Ile hali ya kua unaishi kwake fuata maelekezo unayopewa tofauti na hapo tafuta kwako upangiane hizo ratiba na mumeo
 
Duh, okay mkuu uko sahihi.

Inashangaza mtu unafikisha miaka 20 bado hujui mambo madogo Kama hayo?

Hata Rais Samia akifika NYUMBANI kwako lazima afuate sheria zako bila kujali Urais wake.

Ndio maana Hata Magufuli alipokuwa akiingia msikitini alikuwa anavua viatu licha ya kuwa yeye ni Mkristo na haamini katika kivua viatu ukiingia Nyumba za Ibada.

Elewa kuwa kila Jambo linamipaka yake.
Hata Wewe ukiwa na familia yako ukaweka sheria, mama au Baba yako akija kwako atafuata sheria za Nyumba yako.
Bila kujali anaamini au haamini.

Hataki aondoke.
Sijui wapi unakwama
 
Mleta mada hujitambui, yawezekena unatumia ngada au unasumbuliwa na ujuaji wa kijinga au usomi uchwara. Wewe mtu mzima gani unaishi kwenu, alafu unaambiwa na mzazi wako ufuate taratibu za mji wake unashupaza shingo. Au unataka wakati wanapoenda kanisani ubaki unamtafuna housegirl. Hapo Mzee akitangulia mbele za haki na wewe utatanguliza tumbo lako kudai urithi wakati sasa hivi unasema wewe ni mtu mzima hupangiwi Wala kulazimishwa. Kuwa na adabu kwa baba yako, na wewe utafanyiwa upuuzi km huu na watoto wako. Wazazi wako ni Mungu wa pili wanakuongoza kwa mema. Acha ujuaji na usera wa kijinga. Umeniudhi sana km Mzazi.
Wa kike huyu mkuu
 
Huwezi kumuamulia mtu anaekufanya ulale, ule, unye na uwe na nguvu ya kupost mitandaoni. Mtoto Kwa mama hakui ndiomaana hata ukioa Kuna mazingira utamhitaji tu kwahiyo usije ukaharibu uhusiano na mzazi kisa ujeuri wako.
Sawa nmekupata
 
Watu wengi walio magerazani ni watu wenye dini zao, watu wengi wanoharibu nchi ni watu wenye dini, watu wengi makatili na wadhulumaji ni wana dini.
Huyo brainwashed ndiye kamzaa na kumpa hiyo degree , sasa huyu malezi ya mwanaye yatakuwaje, kama hayatakuwa ma'mpotompoto.
 
Issue hapo sio dini wala kulazimishwa. Unachotetea ndio kinachotumika hapo.
1. Wewe unataka uhuru pasipo kuingiliwa privacy yako. Si ndio? Uwe na maamuzi yako na utawala wa kujiamulia wako.
2. Je umeangalia kuhusu utawala wa mama yako na kutoingiliwa kwa mama yako katika himaya yake?
3. Unawezaje kupeleka amri ya uishi namna gani katila himaya ya mwingine?
4. Hivi tukikuamlia usivae chupi ili tujifurahishe sisi kuona tako. Utakubali?

Unataka kuishi kwenye himaya ya mwingine fuata masharti, tena anakubembeleza tu ilibidi ulipie kodi kuanzia kulala na vyote wewe si mtoto kisheria.

Kuhusu dini kama Yoda anavyokutetea. Nadhani wewe hauko hata blue level wala moron, huenda kwa mjibu wa akina Alyce Bailey ambao wanachukua imani zao kwa Adam Weishaupt kwenye Morals and Dogma wewe bado uko aquatic stage, bado hata reptile hujafika. Kama unataka kujua wewe ni kiumbe, kilichoumbwa angalia nywele zako za siri.

Kwa swala la Uhuru na Haki katika sayari hii haupo, ndio maana tunajua kuna survival of the fittest hapa kuna Law of the jungle, au neno mabadiliko ya tabia nchi husikii yakiongewa?

Usitake kuishi maisha ya ulaya na Marekani kwa uhuru wakati uko hapo Muzilakende kwa mama na uko 24 yrs, ONDOKA utakuwa huru kuwa na nguo zako za [emoji304]
Mtu anaweza kudhani kabisa nawewe ni critical thinker
 
uzi hauhutaji ushauri kiivo,as long as unaishi kwangu utafata matakwa yangu,unataka kujitawala tafuta mji wako,ondoka hapo kwenu kajitawale
binafsi ningeshakufukuza kwangu,
 
Hayo mengine utajua wewe na Mungu wako ila as long as upo kwa wazazi tii kile unachoambiwa hata kama utafanya kumridhisha tu ila mtii mzazi ndo Mungu wa duniani.
 
Inashangaza mtu unafikisha miaka 20 bado hujui mambo madogo Kama hayo?

Hata Rais Samia akifika NYUMBANI kwako lazima afuate sheria zako bila kujali Urais wake.

Ndio maana Hata Magufuli alipokuwa akiingia msikitini alikuwa anavua viatu licha ya kuwa yeye ni Mkristo na haamini katika kivua viatu ukiingia Nyumba za Ibada.

Elewa kuwa kila Jambo linamipaka yake.
Hata Wewe ukiwa na familia yako ukaweka sheria, mama au Baba yako akija kwako atafuata sheria za Nyumba yako.
Bila kujali anaamini au haamini.

Hataki aondoke.
Sijui wapi unakwama
Ni kweli
 
Watu wengi walio magerazani ni watu wenye dini zao, watu wengi wanoharibu nchi ni watu wenye dini, watu wengi makatili na wadhulumaji ni wana dini.

Ndio maana nikamuambia mwenzako kuwa kama anaupeo mdogo WA MAMBO aache kujadili mambo makubwa.

Na Wewe upo kundi Hilo Hilo.

Kama hujui tofauti ya mambo haya jua unaakili mgando.
1. Dini Vs Imani
2. Elimu Vs Akili
3. Urembo Vs Uzuri
4. Mapenzi Vs Upendo

Mfano yeye amesoma mpaka Degree hivyo anaelimulakini Hana Akili

Yeye kuambiwa aende Kanisani haimaanishi awe na Imani na Dini au Kanisa Hilo.
Hapo ni suala la mamlaka na taratibu za familia.
 
Back
Top Bottom