Mzee ambaye ni informer wa Lissu ambaye kumfata kwake ni safari ya siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege ni yule Mzee wa Bunda?

Mzee ambaye ni informer wa Lissu ambaye kumfata kwake ni safari ya siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege ni yule Mzee wa Bunda?

Wala siyo huyo JSW, maana lisu na mbowe wanataka kumalizana na mbowe alivyo na uchu wa madaraka hatokubali lazima mmoja afe kama alivyomuua chacha wangwe. Na mbowe ana akili sana yaani aliona kabisa lisu ni tatizo akamkosa kosa 2017 sasa sijui safari hii kama atamshindwa
Eeehhh
 
Umeambiwa ni kiongozi wa dini. Hivi mzee. Pengo yuko wapi siku hizi?
Mzee Pengo anaumwa sana siku hizi.
Hawezi kuwa na muda wa kufanya upuuzi kama huu .
Chadema imesambaratka wanashikana mashati eti mtu wa Serikali atake kumuua Tundu Lissu?
 
Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.

Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.

Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
Wauaji wakitafuta mtu wa kumzamisha ardhini huwa na maswali ya kijinga kama yako
 
..Warioba yuko Dsm.

..Wazee ambao wako mikoani ni Wakuu wastaafu wa Majeshi na vyombo vya ulinzi.
 
Hayo mawazo yako ya kichawi umeyatoa wapi why utukane maumbile ya watu umetumie video gani kuhitimisha unene ni ujinga
Mtazamo haupigwi rungu, pole kama nimekuumiza.

Kuna opinion na fact, jua kutofautisha kati ya hivyo viwili na utaishi kwa amani.
 
Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.

Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.

Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
Mke wa Lisu anatokea huko mkoa wa Mara
Huko ni kwa wakwe wa Tundu Lisu
 
Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.

Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.

Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
Kwanza hapa Kuna uongo mwingi hawezi mtaja mtu ambae ana mpa info za kiusalama Ili iwaje? Hapo anawapoteza maboya.
 
Mzee Pengo anaumwa sana siku hizi.
Hawezi kuwa na muda wa kufanya upuuzi kama huu .
Chadema imesambaratka wanashikana mashati eti mtu wa Serikali atake kumuua Tundu Lissu?
Mlimshindwa 2017 na waziwazi akasema ni njama zilipangwa na Jiwe huku Bashite akiongoza kikosi, kwanini hafunguliwi mashtaka kwa kuipaka serikali matope? What are you scared of?
 
Siku 2 kwa gari sawa, na hiyo hiyo safari kwa ndege ni siku moja
Huyo ndege atakuwa Tai kama sio mbuni
Siwezi amini msomi anasema haya
Au hiyo safari ya ndege ni Transit na sio direct
 
Back
Top Bottom