Mzee ambaye ni informer wa Lissu ambaye kumfata kwake ni safari ya siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege ni yule Mzee wa Bunda?

Mzee ambaye ni informer wa Lissu ambaye kumfata kwake ni safari ya siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege ni yule Mzee wa Bunda?

Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.

Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.

Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
Mwacheni Mzee Warioba kumlisha matango pori.
 
..kama mtonyaji anazuia jinai isitendeke dhidi ya Lissu na wanaharakati basi huyo ni mtu mwema.
 
Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.

Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.

Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
Ahahahahaha!! Wakili msomi mwenzake nini!? Ahahahahaha!! Waswahili hujuana kwa viremba!! Ahahahahaha!!!
 
Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.

Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.

Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.

..mtonyaji ni Eng.Mas...

..ndio maana wamempeleka eneo lingine lisilokuwa na siri zao.
 
Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.

Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.

Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
Kwamba unene ni bonge la deal?
 
Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.

Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.

Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
Kumbe hujui mambo mengi 😂
 
Tundu Antipas Mugway Lissu anasema kwamba kuna mtu mkubwa serikalini ambaye humpa siri mbalimbali kwa kupitia Mzee mmoja ambaye kusafiri kwenda kwake inachukua siku mbili kwa gari, na siku moja kwa ndege, ni wazi kwamba katika safari ndefu nchini, moja wapo ni ya kwenda mkoa wa Mara, na utapita Wilaya ya Bunda.

Mtu ambaye amekuwa akitoa milio kama ya Lissu kwa siku za karibuni, anatokea huko huko.

Connect dots utapata jibu na ni anamlisha Lissu taarifa za uchonganishi, japo kwa umri wake alitakiwa awe na busara na hekima. Na ukiwa na shughuli za hivyo unene utausikia tu.
Watu msiojulikana naona mkitajwa mnapanick vibaya.
 
Kama Lissu kasema hivyo kumbe bado ni mshamba mkubwa kisiasa
 
Back
Top Bottom